NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,747
1/ Aishi Manula hakupaswa kuanza/kucheza kabisa kwa sababu hakuwa na match fitness, japo kuwa benchi la ufundi lilikua na maono ya kumrudisha Aish Manula rasmi katika ligi kutokea Majeruhi lakini hesabu zimekua tofauti na vile benchi la ufundi lilivyoamini/kutegemea Aishi Manula angefanya vizuri katika Derby ya Kariakoo.
2/Ukuta wa YERIKO (Inonga na Che Malone) Hawa mabeki wote ni wacheza na jukwaa Bora hata Chemalone Fondoh anakua serious kidogo lakini Enonga utoto mwingi na kicheza na jukwaa ndiyo kitu anachoweza.
Simba sc waliposawazisha nilimuona Inonga alianza sifa anapokua na mpira anataka achezee mpira/apige chenga Mara amtishie Max Nzengeli kiufupi huo ni utoto.
Robertinho hapa angevunja mmoja angeanzia benchi na mmoja wapo angecheza na KENNEDY JUMA.
3/Viungo wakabaji Kati ya Ngoma na Kanuti mmoja wapo angeanza nje haswaa na Kanuti MZAMIRU angeanza, hii NI Derby na katika dabi ya karikoo huwa tunashuhudia dabi mbili Kati ya MZAMIRU na AUCHO.
Mzamiru huwa anamuweza sana AUCHO mpaka aucho anapaniki tofauti na Kanuti/Ngoma hapa Robertinho alibugi pakubwa sana Mchezaji mwandamizi Kama Mzamiru kuanzia benchi kwenye mechi Kama hii.
4/Chama na Saidoo ntibazonkiza hapa mmoja wao alipaswa kukaa benchi maana uchezaji Wa Yanga sc ni mpira wa speed ili uweze kupora mpira kwao unapaswa kuwakaba mawili wawili na msitegemee Viungo wakabaji.
Chama na Saidoo ntibazonkiza Hawa wote wakipoteza mpira siyo wakabaji Kama Viungo washambuliaji wa Yanga sc.
5/Uchoyo wa Kibu Denis kila anapopata mpira anataka afunge yeye sijui Kama Robertinho hakuliona hili kila anapopata mpira anataka apige golini tu hata Kama wenzie wamefungua nafasi wapasiwe mpira lakini hakufanya Hilo na kocha Robertinho hakumuambia mpaka anapata majeruhi.
6/Physical coach ajitafakari maana timu inacheza Kama imefungwa mawe miguuni wazito sana hakuna morali ndani ya kikosi kila mchezaji anacheza Kama anavyojua yeye.
7/Rotation ya wachezaji ni muhimu sana Shomari kapombe na Muhammed Hussein wanapaswa kupumnzika na vijana wadogo waanze kupata namba Israel mwenda na Duchu wapewe nafasi.
NB: Yanga sc ilikua Bora molari ya wachezaji na kupambana kwa Kasi ile ile mpaka mwisho ndiyo sababu ya KULETA matokeo Chanya kwao.
2/Ukuta wa YERIKO (Inonga na Che Malone) Hawa mabeki wote ni wacheza na jukwaa Bora hata Chemalone Fondoh anakua serious kidogo lakini Enonga utoto mwingi na kicheza na jukwaa ndiyo kitu anachoweza.
Simba sc waliposawazisha nilimuona Inonga alianza sifa anapokua na mpira anataka achezee mpira/apige chenga Mara amtishie Max Nzengeli kiufupi huo ni utoto.
Robertinho hapa angevunja mmoja angeanzia benchi na mmoja wapo angecheza na KENNEDY JUMA.
3/Viungo wakabaji Kati ya Ngoma na Kanuti mmoja wapo angeanza nje haswaa na Kanuti MZAMIRU angeanza, hii NI Derby na katika dabi ya karikoo huwa tunashuhudia dabi mbili Kati ya MZAMIRU na AUCHO.
Mzamiru huwa anamuweza sana AUCHO mpaka aucho anapaniki tofauti na Kanuti/Ngoma hapa Robertinho alibugi pakubwa sana Mchezaji mwandamizi Kama Mzamiru kuanzia benchi kwenye mechi Kama hii.
4/Chama na Saidoo ntibazonkiza hapa mmoja wao alipaswa kukaa benchi maana uchezaji Wa Yanga sc ni mpira wa speed ili uweze kupora mpira kwao unapaswa kuwakaba mawili wawili na msitegemee Viungo wakabaji.
Chama na Saidoo ntibazonkiza Hawa wote wakipoteza mpira siyo wakabaji Kama Viungo washambuliaji wa Yanga sc.
5/Uchoyo wa Kibu Denis kila anapopata mpira anataka afunge yeye sijui Kama Robertinho hakuliona hili kila anapopata mpira anataka apige golini tu hata Kama wenzie wamefungua nafasi wapasiwe mpira lakini hakufanya Hilo na kocha Robertinho hakumuambia mpaka anapata majeruhi.
6/Physical coach ajitafakari maana timu inacheza Kama imefungwa mawe miguuni wazito sana hakuna morali ndani ya kikosi kila mchezaji anacheza Kama anavyojua yeye.
7/Rotation ya wachezaji ni muhimu sana Shomari kapombe na Muhammed Hussein wanapaswa kupumnzika na vijana wadogo waanze kupata namba Israel mwenda na Duchu wapewe nafasi.
NB: Yanga sc ilikua Bora molari ya wachezaji na kupambana kwa Kasi ile ile mpaka mwisho ndiyo sababu ya KULETA matokeo Chanya kwao.