Wewe jaribu ili ikipona ujue kuwa ni kweli au si kweli. Usisahau kutujuza kama ni kweli.
Sawa mkuu...
LAKINI KUJITOA MUHANGA Yataka moyo
Wewe jaribu ili ikipona ujue kuwa ni kweli au si kweli. Usisahau kutujuza kama ni kweli.
Wanajamvi nahitaji msaada kama kuna ukweli wowote juu ya hiyo ishu.
Hivi ni kweli kwamba Ukichanganya chumvi na majivu alafu ukalamba, itakuwezesha kupona kifua kikavu?
Manake huu ni uvumi nimeusikia tu mtaani, hivo nikaona sio vizuri kujaribu jaribu kila dawa...
NAOMBENI MSAADA JAMANI
KWASABABU KIFUA KINANISUMBUA SANA, NAKOHOA hadi kifua kinauma!
Ndugu yangu Wizvee kweli kabisa umekosa buku 2 ya Mucolin au buku ya 'mkojo wa punda?'
Mbona unataka kuziumiza figo zako bila huruma!?
Het mkojo wa punda duuuu...!
Ni dawa rasmi ya hospital hilo ni jina lake maarufu
Niliskiaga kwamba mkojo wa punda ulipigwa marufuku
yani na mimi nilikuwa nataka kuuliza swali linalolingana na lako cause naona dawa hazinisaidii...kulala na blocked nose shida..ila kwa haraka haraka mzee wngu aliwahi kuniambia wakati wa kulala nikate kitunguu niweke kwny kikombe kilichojaa maji alafu nilale, so angalau sipigi chafya sana na pua haiwi blocked, ila inakera, siwezi lala hvyo kila siku..mtu tusaidie
icho kikombe unalala nacho au nimeelewa vibaya
Tafuta pilipili zile ndogo ndogo unazisaga na kuzikausha,unakuwa unavuta kama sigara kila unapotaka kulala,dozi 1/7 kwa muda wa wiki mbili
unakiweka chumbani kwako kwnye meza, dressn table au chini,popote ila chumbani unapolala
Tafuta pilipili zile ndogo ndogo unazisaga na kuzikausha,unakuwa unavuta kama sigara kila unapotaka kulala,dozi 1/7 kwa muda wa wiki mbili
Chaguwa mojawapo kati ya dawa zangu mbili Mkuu HAZOLE Kuhusu Habbat Sawda Hebu tembelea bonyez hapa.ahsante mzizi.
habati ndiyo nini? hata nilikuwa sijui kama o live oil inatumika kama chakula mimi huwa napakaa miguuzi tu.
na je nitumie tiba zote 2 ziende pa1 au nianze na limao na maji then ikishindikana nije hiyo ya habat?
Si nasikia ukimuambukiza mtu unapona...! Ah ah ah ah (joking).
Pole sana.