USHAURI: Simuelewi mume wangu

Acheni kupenda vihela vya wanawake
 
1. Hali yake kimaisha iko sawa au imeshuka....ukame huondoa nyege hasa uliyezoea kushika pesa ndefu.....naongea kwa uzoefu.

2. Biashara zimemnyookea?

3. Yuko busy na simu?

4. Anachelewa kurudi?

5. Unamkoromea? Au mnalumbanaga?
Ni kweli. Tuanzie hapa. Ufungua wa hili jambo uko hapa.
 
Mashine inasimama vizuri tu haina shida alafu ulivyoongelea mashine mpaka mwili umesisimka na nyege ndo kwanza zimeongezeka Mungu wangu niepushe na hiki kikombe
Soon utaliwa na wapita njia wewe
 

Kwa nini huanzi na jambo la urahisi nalo ni kumuweka chini na kumuuliza ni nini cha mno? Kwa nini hapendi chakula ya usiku? Anza hapo kabla ya kuanza kutafuta ushauri kwa watu wengine au kulalamika kwa wazee.
 
Kwani kwao alishindwa kufanya hizo kazi

Unajua mtu alie free ni tofauti na yule asie free, simaanishi kumuweka buzy ili kufanya wasiwe wanasex, namanisha kumkeep buzy kunamsaidia ubongo wake kutowaza sana sex, ila upande wa kufanya tendo ni muhimu, jamaa inabidi ajitahidi kumkaza mkewe maana nyie viumbe bila ivo hua mnakua na maamuzi yahajabu.
 
Anayajua makosa yake.... Ukiwa mkosaji na ukarudu kwenu na wakakuopokea wewe na familia yako wote mnauwa wa hovyo. Narudia ANAJUA MAKOSA YAKE.
Hata kama anajua makosa yake. Mtu kusema ananisaidia maana yake aliniona nina shida sana kunioa ni kama amenipa msaada.
Halafu asilale na mimi kila mtu room yake loh.
Bado sijafanywa hivyo hata kama nina makosa.
Either unisamehe au ijulikane hujanisamehe.
Maisha ya hivyo yanipitie mbali.
 
Tatizo inakera sana yani Kama hapa nimezidiwa alafu mwenzangu ndo kwanza anakoroma napata hasira mpaka linanijia wazo nimuangushie hata kabati
Hivi uko serious kwamba wewe una hamu hizo?..naonaga wake wengi hamu zinakata mapema..ww uko juu...
Bdw Hongera🤣🙌
 
Kitu kizuri mwanamke aombe au aililie. Daima wanaume tumekuwa watu wa kuomba Kila mara. Mimi ningekupa wewe Hadi Raha.
Kweli kwako kukifuka moshi kwa jirani kunaungua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…