Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Habari zenu.
Nimesikia Waziri wa fedha anapanga kutafuta namna ya kupata tozo kwenye mitandao ya kijamii.
Kama hili likiwezekana natoa ushauri kwa serikali kutumia fedha hizo kuunda wakala wa Ardhi na mipango miji.
Kazi hii imekuwa inafanywa na Halmashauri lakini zimeshindwa kupima viwanja vya kutosha,kulipa fidia,kupanga matumizi bora ya ardhi na kutatua migogoro.
Kana kwamba haitoshi Serikali ikahamishia hiyo Idara Wizarani na mikoani lakini bado hakuna kinachofanyika.
Shida kubwa hapo ni upatikanaji wa pesa.Sasa kama wakipata fedha huko waunde hiyo wakala kwa ajili kusimamia matumizi sahihi ya ardhi na mipango miji kote Vijijini na mijini.
Hawa ndio watasimamia utoaji vibali vya ujenzi nk.Ni aibu kuona nchi yote takribani 80% ni slums tupu.Habari za kulasimisha makazi nk vyote viratibiwe na Hiyo Agency.
Serikali imefaulu na kuwa na ufanisi kupitia wakala na mamlaka za serikali kuliko kuwa centrallised.Hii ni njia ya ugatuzi.
Kama wameweza kwa kutumia wakala kama Tanroads, Tarura, Ruwasa,TRA,TBS,Bandari,REA nk ,ni vyema na suala la Ardhi na mipango miji ikawekewa wakali na chanzo chake maalumu cha fedha.
Hili wazo limfikie Waziri wa Ardhi na Waziri wa fedha.
Nimesikia Waziri wa fedha anapanga kutafuta namna ya kupata tozo kwenye mitandao ya kijamii.
Kama hili likiwezekana natoa ushauri kwa serikali kutumia fedha hizo kuunda wakala wa Ardhi na mipango miji.
Kazi hii imekuwa inafanywa na Halmashauri lakini zimeshindwa kupima viwanja vya kutosha,kulipa fidia,kupanga matumizi bora ya ardhi na kutatua migogoro.
Kana kwamba haitoshi Serikali ikahamishia hiyo Idara Wizarani na mikoani lakini bado hakuna kinachofanyika.
Shida kubwa hapo ni upatikanaji wa pesa.Sasa kama wakipata fedha huko waunde hiyo wakala kwa ajili kusimamia matumizi sahihi ya ardhi na mipango miji kote Vijijini na mijini.
Hawa ndio watasimamia utoaji vibali vya ujenzi nk.Ni aibu kuona nchi yote takribani 80% ni slums tupu.Habari za kulasimisha makazi nk vyote viratibiwe na Hiyo Agency.
Serikali imefaulu na kuwa na ufanisi kupitia wakala na mamlaka za serikali kuliko kuwa centrallised.Hii ni njia ya ugatuzi.
Kama wameweza kwa kutumia wakala kama Tanroads, Tarura, Ruwasa,TRA,TBS,Bandari,REA nk ,ni vyema na suala la Ardhi na mipango miji ikawekewa wakali na chanzo chake maalumu cha fedha.
Hili wazo limfikie Waziri wa Ardhi na Waziri wa fedha.