Mwaka wa kumi duuhMe mke wangu mwaka wa kumi sasa yupo masomoni USA lkn me sina wasiwasi
Ina maana miaka yote kumi hatiw..Mwaka wa kumi duuh
Jamaa ameniomba ushauriSasa we joto linakupata la nini
Ila atakuwa amechepuka sanaMwaka wa kumi duuh
Yeye aende mke abaki km ana msimamo basi mke anaweza kutuliaHabarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
Kwa dar hakuna ukarbu wowote, mtu anatoka nyumban saa 12 kurudi saa 3 usiku hiyo ni january to dec. sasa ukarbu uko wapi, jpili maombi.Sawa....lakin unajua benki vishawishi vingi hivyo ndo mana anataka awe naye karibu
Okay ntampa huo ushaurihii rahisi, ahakikishe miezi hii iliyobaki anampa ujauzito ili akiwa dom ni mwendo wa kulea mimba tu
Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje