- Thread starter
- #221
yeye sio mangi sasaMbona mangi anaacha mkewe kijijini anaenda mjini kutafuta Maisha?
yeye sio mangi sasaMbona mangi anaacha mkewe kijijini anaenda mjini kutafuta Maisha?
Basi aache kazi akae na mkewe hapa dsmyeye sio mangi sasa
Nimejikuta nacheka Sana. Yaani Mkuu umeamua kutufananisha na mbuzi wanaokula majani....... Dahhh.....Hahahah yani mwanamke ni kama mbuzi ukimuachia uhuru lazima ale mboga za watu tu. Ukiwa karibu ni kama umeshikilia kamba yake anakuwa alert kuwa kuna some kind of monitoring.
Habarini wadau,
Nina rafiki yangu anahamia Dodoma sasa mke wake yupo benki hapa Dar es salaam kwahiyo anataka kumuhamishia huko Dodoma.
Tatizo nafasi kwenye hiyo benki hamna na anaogopa kuwa ikiwa atamuacha Dar es Salaam watu wanaweza kuanza kumla.
Sasa afanyeje maana amejaribu kuuliza uhamisho imekua ngumu.
Mrejesho; yule jamaa anatakiwa aende dodoma tarehe 31 january ndo uhamisho wake unaanza....Mpaka sasa bado anajiuliza itakuwaje
anasoma nini mkuu miaka10?Me mke wangu mwaka wa kumi sasa yupo masomoni USA lkn me sina wasiwasi
Miaka kumi hyo n mke au rafki yako.anasoma nini mkuu miaka10?
Mke jombaaMiaka kumi hyo n mke au rafki yako.
Poa poa ntamwambiaInawezekana wote wapo dar na bado huyo Bibie analiwa, wanawake ndugu zangu ndo hao hao tu! hawana maana kabisa
Asa y imetokea hvyo .....du miaka 10
Khy aanze ku mtrackHakuna namna brow jipe moyo ila yatayofata nyuma yanafurahisha
Kiukwel kama mke wako bado masharaha utagongewa tuu (especially anafanya kazi ) uvumulivu wake mwisho miez 6
La mcng usizngatie hayo mkuu kafanye kazi alafu tupia mtego katk smartphone yake uone madudu
Itakua anafanya kazzianasoma nini mkuu miaka10?
Yaah aisee maana jamaa kila wiki anarud dar asa anachokaNimekuja kugundua wengi humu wanao comments wengi na wahuni na Ni mabachela wengi wao hawajui nini maana ya mke au mume ndo maana wengi wanacomment kirahisi rahisi tu. Naomba Ni wajuze mabachela wote humu kuwa mke/ mume syo girlfriend/boyfriend so msichukulie mambo ya mke na mume kimasihara hapo tunaongelea familia sio ile mnakula chips mayai kla mtu anaenda kwao.
Sasa watakula nini
Inaonesha wewe ndo muhusika,umetumia kigezo cha rafik Tu. We nenda,halafu mfunge CCTV kichwani kila atachofanya utakua unamuonaWote nahic km wako sawa kimshahara
C unajua visomo vya nje, kusoma miaka mitano research miaka5Itakua anafanya kazzi
Mkuu yule demu wa azania bank vpC unajua visomo vya nje, kusoma miaka mitano research miaka5
Hahaha duh! Bado hujafanikiwa kumpata tu me nilijua ulijiongezaMkuu yule demu wa azania bank vp