ushauri pliz: Nafikiria divorce


Swali gani hilo? La maendeleo na ma wife? Tunaendelea vyema ila bado nina-aply majib ya wadau baada ya muda ntaleta feedback kwa wadau,sijui nimekujib?
 

nimekupendaje rafiki~kuwa basi dada yangu wa hiyari...
 

Mimi na hubby tunatoka out kila weekend ama hata katikati ya wiki!

kuhusu kunonea wivu ndo atamsahau kimada umekosea sanaaaaaaaaaaaaa

nilikua namfuatiliaga sana yani full mawivu ndo kwanza wakawa wananionyeshea live tena live ya digital no chenga.

siku hizi simpigii simu, akipiga napokea na siulizi yupo wapi na akichelewa wala simuulizi basi ndo kama vile kanikumbuka, maana kila baada ya nusu saa kapiga cmu.Na anapata shida maana hanielewielewi, tena hata akitaka sex namwambia live ampigie simu kimada ampe na huwa naongea taratibuuuuuu bila hata hasira, and YES i mean it.

Yaani siku hizi ikitokea nimemuuliza upo wapi anajawa na furaha wakati zamani nilikua namuuliza hivyo naishia kupigwa ama kujibiwa nyodo.

an short, kimada sasa ndo amekua very available to him na mimi nimekua adimu. Sasa binadamu siku zote tunapenda vitu adimu.

mimi ndo moyo wangu bado sanaaaaaaaa
 
nadhani nimekosea kutaja age ya 42 maana imewapeleka wengi chaka mpaka kama hamielewi hivi!

ah sasa Kafman huyu katoa ushauri gani?

mimi naona ananilaumu tu.

wacha ninyamaze.

Ee dada angu naona,bora unyamaze ndo binadamu tulivyo! Pole sana.
 
Swali gani hilo? La maendeleo na ma wife? Tunaendelea vyema ila bado nina-aply majib ya wadau baada ya muda ntaleta feedback kwa wadau,sijui nimekujib?

yeah nilitaka kujua hilo.

nasubiria feedback.

kuna kitu kuhusu wewe, ah wacha ninyamaze.
 
ndo maana sijielewi nitaishi hivi kwa muda gani? am jus 30, i need to make my life wakati bado mapema

Tofauti yenu ya umri 12 yrs inanifanya nisishangae hayo mawazo yako ya talaka. Ama uliolewa mdogo na ukiwa hujui maana ya ndoa au mumeo alikuoa akiwa ameshaponda sana mambo ya sex.

Nachoona hapo ni somo tu kwa wanandoa watarajiwa, pengo la umri baina ya wanandoa ni muhimu sana kuzingatia maana ndoa ni mahusiano na urafiki pia.
 

my husband is just 5 yrs older than me.

hujaelewa mada au hujasoma vizuri uzi huu.

anyway ushauri wako hauko relevant kwangu at all
 
utaoaje mke wa mtu bana, mke wa mtu huwezi oa mara ya pili ila unaweza oa ex-wife ya mtu.

kuhusu mume wa mtu, mbona wanawake wa kiislamu wanaolewa na waume za watu?

hata kwenye african culture, wanawake walikua wanaolewa na waume za watu?

chinese philospher Tsan Nzu said once....kila mtu ameumbiwa mktu wake wa kuoa au kuolewa naye. Tatizo ni kumpata uliyeumbiwa naye....
 
wapi tena huko.

nyie watoto milomaliza form 4 mwaka jana mnasumbua sana

mtoa maada inaonekana unahitaji ushauri amabao tayari ulishajishauri mwenyewe,mtu akitoa ushauri tofauti ambao uko tofauti na mawazo yako basi unakuwa mkali,kama vipi ungejaribu kuingia fb ukutanane na 20s nadhani wale ni wafariji wazuri sana kimapenzi,lakini huku 90% wako kwenye ndoa hivyo ukileta post ambazo hazina utajibiwa simple san,nimeona watu wengi sana waliokushauri unawajibu kiukali san,pole sana hii ni jf wan great thinkers
 
mie nimekuelewa ile mbaya, siku zote nasemaga katika life commitment akili itume zaidi kuliko moyo na mihemko, vinginevyo moyo utauponza mwili..
 
ha ha ha hata mimi siwezi mshauri kidumu atoe talaka kwa mkewe kwahiyo hata yeye atanishauri nibaki kwa ndoa.

ha ha ha The Boss umenichekeshaje

sikusema umshauri amuache mkewe
nimesema mueleze kuwa unafikiria divorce ili ajue
since yeye ndie muhimu kwako for now
na maamuzi yako yanamhusu
 
Thanks ayanda kuna kitu umenifundisha...
 
Last edited by a moderator:
Naomba namba yake

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ayanda pole sana mdada,ila nawe umri wa kuolewa umewahi sana...sisi tuna miaka kama iyo hata sijaanza kuwaza kuoa,si kwamba maisha magumu,hapana kila kitu kitu kipo,gari,makaz bora na kazi nzuri...anyway hapo hakuna reverse na nakushauri ukomae na uyo tu. Vijana hatuelewek utajuta zaidi,mayb kama una hamu na mweusi mayb kama mim,tafta kijana akupe vya kukupa alaf urudi kwa mumeo mwepeeesi basi. Alaf eti unamtaka mme wa mtu,utauawa bure...ndoa yako ikushinde then unataka ukabomoe ya mwenzio?vibaya ivo,tutafte ambao hawajaoa kuliko kuua familia za wenzio...nadhan apa nimeeleweka.
 
Huku tumezidi bwana coz umasikini unaleta maugomvi hata yasioleweka.In short tumevurugwa kama unabisha kwa kheriiiii.

ni kweli umasikini unaleta maugomvi kwa sisi masikini na kwa matajiri kuna mambo mengine yanayoleta maugomvi, kwa hiyo wote tuna matatizo.
 
Kitu gani tena hicho?

seems like someone i know tena kwa karibu tu.

ah naogopa bwana hebu nikuache maana sitaki surprizes kama za kwenye movie za kinigeria.

Kafman sounds like kaf.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…