- Thread starter
- #301
Dharau zimekufikisha hapo ulipo. Unaona talaka ni kitu rahisi. Mwanamke mpumbavu anavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
aah hebu na wewe niondokee hapa.
Dharau zimekufikisha hapo ulipo. Unaona talaka ni kitu rahisi. Mwanamke mpumbavu anavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
naogopa.
nitataja some other time.
what about TMK?
Does TMK stand for anything.
name of place or name of someone?
ok nitamueleza
it seems like unanikejeli but hujanipata bado.
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
TMK does not denote anything for me, an issue here is the place where we met,is this an issue?. H've I made it clear for you?
Mwanzo ulisema nimekuchekesha
now nakukejeli
always unanisoma between the lines,
mnhhh i sense some tension you have towards me
Is it sexual tension? lol
hebu ni pm tuondoe hii tension lol
TMK does not denote anything for me, an issue here is the place where we met,is this an issue?. H've I made it clear for you?
sexual tension? Big No. jamani nimeshasema kuna anayenikuna vizuri tu sasa tension itoke wapi?
I just like your name, i hope uko kama unavyojipresent , I mean The really Boss.
washahili wanasema umuhimu wakitu chochote utakiona baada ya kukipoteza nakushauri usijidanganye kwamba utapata raha baada ya kuachana nae lahasha hao wanaokudanganya sasa ukishaachana nae nao watasepa hii ni kweli kabisa na utakumbuka ulikotoka.yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
ha haa kwani kutamani chips ina maana hushibi nyumbani?
if you like my name then ndo umeanza tamani chips ..lol
nimekuelewa but tayari nimshatamani chips za banda la jirani na ninashiba kiukweli kwahiyo siwezi tamani za mwingine.
ur very funny, i must admitt
washahili wanasema umuhimu wakitu chochote utakiona baada ya kukipoteza nakushauri usijidanganye kwamba utapata raha baada ya kuachana nae lahasha hao wanaokudanganya sasa ukishaachana nae nao watasepa hii ni kweli kabisa na utakumbuka ulikotoka.
Kwelii?
Hivi unajua ukiongea na watu wengi humu you sound so confident and so sure
but with me naona sauti yako ina hiss hivi lol
Ayanda have enough problems on her hands right now, tafuta jinsi ya kumshauri sio kusikiliza hizo 'hissing' sounds...lol...
Kwelii?
Hivi unajua ukiongea na watu wengi humu you sound so confident and so sure
but with me naona sauti yako ina hiss hivi lol
sauti inahisi?
anyway, kiukweli nimeyatafakari mawazo na michango ya wadau tangu siku ya kwanza ya huu mjadala na nimeanza kuangalia upande wa pili wa shillingi, besides hubby mwenyewe namuonea huruma maana kashaanza kuona kwamba niko mguu mmoja nje kwahiyo amekua mnyenyekevu hadi namuonea huruma sana.
but either way, siwezi kuacha affair na jamaa wa nje hata iweje na still i dont trust him.
Kwa ujumla, nipo tu naendelea kufanya mambo mengine ya msingi for children and nakula bata za ujana kwa nafasi yangu. Sitaki kukaa kuwaza na kuwaza ndoa all the time, I have alot to do and time is moving very fast, ofkoz my kids are also growing up.
kwahiyo ni kweli kwa sasa nimepoa, sio moto wala baridi.
Labda anahitaji a distraction right now
na a thing by the side it can be a very good distraction, trust me..
na wewe mzima?au wahitaji a distraction pia?lol
Ayanda have enough problems on her hands right now, tafuta jinsi ya kumshauri sio kusikiliza hizo 'hissing' sounds...lol...
Ayanda ayanda ayanda, umeanza tena!!! nilikukataza umerudia angalia ulivyopandisha pressure wakati mwenyewe ulisema:aah hebu na wewe niondokee hapa.
Sasa povu la nini? Ayanda huishi vituko na matusi. Acha hizo tulia dada yangu......ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo