ushauri pliz: Nafikiria divorce

ushauri pliz: Nafikiria divorce

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo

fyufyu fovyofivyo fafufakiiiiiiiuuu fufuffifio fafeffifofffooo ............. nimetukana tu yaani maana haina shobo!

mbona ndoa changa ndugu yangu, vp tena mbona watukatisha tamaa jamani???
 
yaani mtu anapoandika comment na kuniita WE MALAYA anakua ameshauri nini?

angalia matusi yangu yote yanelekeezwa kwa comment zipi?

mimi ukinitukana nitakutukana na waungwana nawashukuru sana.

HABARI NDO HIYO
Mh aisee kumbuka dawa ya moto sio moto rafiki. Kama wamekutukana mimi nadhani ni busara kunyamaza kimya na kuziacha/kuzipita comment zao bado hautadhurika na utaonyesha kua wewe ni mwenye hekima na busara nyingi. Najua wewe ni mtu msomi sana na pengine unajua mambo mengi , ningependa nikushauri kidogo pindi uombapo ushauri muombe mungu akusaidie uwe mvumilivu hasa unapokua offended na baadhi ya maushauri, chukua mfano wa kikwete anavyotukanwa , hivi angerudisha matusi ingekuaje. Pamoja na kwamba wewe ni wa mujini mno bado sie tunaotoka kusiko na umeme tunaweza kukushauri japo kwa nukta. I believe unayo busara.
 
Kwa hiyo unataka kuniambia kuwa 2 jumlisha 2= 4 na 2 times 2=4,wewe unadhani tatizo langu ni lako au mimi kuja kutaka ushauri na kuongeza maarifa toka kwa wadau ndo nilikuwa sijui kila kitu? We unadhani watoto unawajua wewe tu si ndio ee?Au ulitaka usiambiwe ukweli kutokana na tatizo lako? Pole na samahani sana na nisingependa nifanye lig na wewe dada yangu!

HAPO KWENYE RED, we lazima utakua mtu wa mahesabu kwa sana.

ila unaonekana mstaarabu kwa maandishi yako.

wala haina haja ya ligi bana, ligi gani bila mkwanja?

najua unaelewa sana kuhusu watoto, ila ulikua kama vile unanijudge hivi, na mi siku zote mtu akinijudge namkumbusha kasoro zake pia.

kiukweli, hata mi sihitaji ligi.
 
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo

LoL.....ni balaa ya kuoa mke wa mtu au kuolewa na mume wa mtu
 
this was good to hear from you.

unaendeleaje na mkeo

Tatizo lako unarukaruka na umekariri kuwa unajibu vibaya watu hasa walokujib tofaut na maono yako,si sahihi hata kidogo kusema eti "nimeshajua cha kufanya sa hiz najib wale wote walotukana na kujib vibaya" Hata kukaa kimya ni jib tosha. Nimeona wadau weng umewajib majib yasiyo mazuri hasa huku mwishon,si vyema.
 
fyufyu fovyofivyo fafufakiiiiiiiuuu fufuffifio fafeffifofffooo ............. nimetukana tu yaani maana haina shobo!

mbona ndoa changa ndugu yangu, vp tena mbona watukatisha tamaa jamani???


yaani majanga yoteeee ya ndoa dunia hii ndo uje ukatishwe tamaa na haya yangu?

hebu acha uongo wewe
 
Tatizo lako unarukaruka na umekariri kuwa unajibu vibaya watu hasa walokujib tofaut na maono yako,si sahihi hata kidogo kusema eti "nimeshajua cha kufanya sa hiz najib wale wote walotukana na kujib vibaya" Hata kukaa kimya ni jib tosha. Nimeona wadau weng umewajib majib yasiyo mazuri hasa huku mwishon,si vyema.

you are too way nice jamani, lol halafu mkeo anakujibu nyodo lol

yaani type ya mwanaume cool kama hii ndo naipenda.

sasa sikiliza hakuna niliyemjibu vibaya kama hajatoa kejeli ama tusi, we angalia utagundua.

hawa wanaotukana nimeshawazoea kwahiyo ni jadi yangu kutukana anayenitukana.

sawa lakini, nitajifunza kukaa kimya lol.

aisee nimekupendaje na ushauri wako so cool and warm.

ila hujajibu swali langu.
 
yaani majanga yoteeee ya ndoa dunia hii ndo uje ukatishwe tamaa na haya yangu?

hebu acha uongo wewe

mwenzio bado nipo benchi napiga jeramba, bado kocha hajanipa namba kwenye kikosi cha kwanza yaani ndoa!

ila na wewe ayanda mboan hivyo sasa, huoni kuwa mnatutisha sie underground, jamani miaka 4 tu ndo haina tena ladha?

au sema jamaa anapiga mzigo chini ya kiwango, pengine ningeweza hata kufikiria, sema ukweli wako ayanda!
 
Last edited by a moderator:
ila tusi nililokupa limekumaliza. hakuna kipya utakachonitukana besty.

hilo tusi lako kwangu ni salamu tu ya asubuhi.

ila mama yako aliyezalishwa wewe then akaachiwa zigo la kukulea ndo imekula kwake mwambie aache maana k yenyewe ndo ishazeeshwa na baba zako wa kambo. Nasikia anatafuta viserengeti boys na anavipata sana tu pamoja na k kuzeeka.

mwambie aje tubadilishane, anipe contact za baba yako nimpe za mume wangu amshughulikie

Heeeh!............
 
LoL.....ni balaa ya kuoa mke wa mtu au kuolewa na mume wa mtu

utaoaje mke wa mtu bana, mke wa mtu huwezi oa mara ya pili ila unaweza oa ex-wife ya mtu.

kuhusu mume wa mtu, mbona wanawake wa kiislamu wanaolewa na waume za watu?

hata kwenye african culture, wanawake walikua wanaolewa na waume za watu?
 
Heeeh!............

wala usishangae hapo bwana kaka.

hebu abgalia alichokiandika, sasa hapo ningetoa jibu gani.

yaani mtu anatukana sehemu za uzazi za kike kweli jamani?

na mimi ikabidi nimjibu kwa lugha hiyo hiyo.
 
mwenzio bado nipo benchi napiga jeramba, bado kocha hajanipa namba kwenye kikosi cha kwanza yaani ndoa!

ila na wewe ayanda mboan hivyo sasa, huoni kuwa mnatutisha sie underground, jamani miaka 4 tu ndo haina tena ladha?

au sema jamaa anapiga mzigo chini ya kiwango, pengine ningeweza hata kufikiria, sema ukweli wako ayanda!


HIVI UNADHANI NAONA AIBU KUFUNGUKA AMA?

Sijui kwanini watu wengi mnawaza sex, mimi kwangu sex is a non issue kabisa.
 
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo

Tafuta mchungaji au Sheikh akuombee wewe una mapepo ya ngono.
 
I am sorry dear, ni kweli hata mimi sikujui lkn tafadhari hata kama ushauri wetu unaonekana wa kipumbavu au sisi wapumbavu si ungejali hata muda tuliopoteza wa kujibu mada yako kwa kadri ya uelewa wetu. Kama tayari unawatu unaofahamiana nao sidhani kama ni busara kuiweka mada yako hadhari , ungewapm tu ingetosha. Kiukweli nimejisikia vibaya. Kumbuka unapoomba ushauri kwenye jamii kama hii yenye watu mchanganyiko lazima upate majibu tofauti tofauti sababu tupo tofauti.

Nakumbuka kule kijijini kwetu bibi yangu aliniambia , "kamwe usidharau ushauri wowote unaopewa na binadamu na usionyeshe dharau hata kama ushauri wao hukubaliani nao hiyo itakufanya uonekane umestaarabika, daima jifunze kushukuru".

Well said!
 
Kwa nijuavyo mimi tabia hizo ulizoainisha kama mtu unauhusiano nae kwa muda flani lazima utajua kuwa huyu hawezi kunicontrol au hawezi kuwa boss wa familia yangu yaani lazima bwana utajua. Nakumbuka kuna dada flani alikua na mahusiano na kijana mmoja. Kiukweli kijana yule alikua mpole, msomi n.k lakn tulishangaa baada miezi kadhaa dada alikuja kutuambia kua hayuko tayari kuolewa na yule bwana kwani yeye angetamani mwanaume wa tabia kama ulizosema. Tulishangaa sababu kijana alikua na tabia njema mno na hakua kicheche lkn mdada allikomaa na kusema hapana siwezi kuolewa nae. Sasa sielewi bado wewe ilikuaje hukujua mapema mume unaeolewa nae tabia zake !!!!!!!!!Si unajua unapokwenda dukani tayari unajua nini unataka sasa wewe pengine kwa bahati mbaya au nini hukujua type ya mume unaemtaka. Angalizo tu ni kuwa hata hao wa 42 wapo mazoba wengi so watch out.


nadhani nimekosea kutaja age ya 42 maana imewapeleka wengi chaka mpaka kama hamielewi hivi!

ah sasa Kafman huyu katoa ushauri gani?

mimi naona ananilaumu tu.

wacha ninyamaze.
 
Mama au mwanamke mwenzangu please waangalie watoto wako,km wewe ulilelewa na wazazi wawili naomba na kukusihi wape watoto nao haki zao,kwani hakuna ndoa iliyo perfect kila ndoa ina mikwaluzo ndani yake,pia hata wazazi wako walivumiliana wakakulea wewe pamoja,hebu anza kumwonea wivu na kumpenda sana mumeo na kumfanyia suprise kibao uone km hajamsahau huyo kimada wake,wanaume wote wanafanana inategemea unampetipeti vipi ili nawe ufanyiwe vizuri ufurahi,usiivunje ndoa yako kwa mikono yako dada yangu utajutia.Una 30s sasa bado kidogo huo mvuto utapotea ,usijidanganye.Kuna umri ukifika lazima ukae ulipo hata kama kimazoea,pia km umesahau jikumbushe siku ya kwanza ulipokutana nae ulifurahiaje,na uyarudishe yale mapenzi .Anza kutoka na mumeo out kama mwanzoni .
 
Back
Top Bottom