- Thread starter
- #281
Ayanda pole sana mdada,ila nawe umri wa kuolewa umewahi sana...sisi tuna miaka kama iyo hata sijaanza kuwaza kuoa,si kwamba maisha magumu,hapana kila kitu kitu kipo,gari,makaz bora na kazi nzuri...anyway hapo hakuna reverse na nakushauri ukomae na uyo tu. Vijana hatuelewek utajuta zaidi,mayb kama una hamu na mweusi mayb kama mim,tafta kijana akupe vya kukupa alaf urudi kwa mumeo mwepeeesi basi. Alaf eti unamtaka mme wa mtu,utauawa bure...ndoa yako ikushinde then unataka ukabomoe ya mwenzio?vibaya ivo,tutafte ambao hawajaoa kuliko kuua familia za wenzio...nadhan apa nimeeleweka.
hivi kuna mahali nimesema nataka kubomoa familia ya mtu?
je ina kwani huyu mume wa mtu hajui kwamba ana mke? na je yeye anavyotembea na mke wa mtu ina maana anataka kubomoa ndoa yangu?
hebu acha utoto wewe.
mi siwezi tembea na bachelor hata siku moja, wa kazi gani mie mtu asie na majukumu na tena wewe ushasema ni mtoto wa kishua ndo kabisa unaonekana tegemezi home.
Mume wa mtu simuachi ngo na wala sitauwa kwani huyu mke wa mtu anayetembea na mume wangu mbona bado yupo hai?