ushauri pliz: Nafikiria divorce

ushauri pliz: Nafikiria divorce

Mpaka hapo nishajua kwamba wewe ndo unavunja ndoa na ndo last option kwako,trust me that imekuwa hivyo kwa sabab kila mmoja kaamua kwenda njia yake! Je,umeshawah waona watoto wanateseka sana na wazazi wote wapo duniani? Msijifikirie nyie tu waangalien na watoto wenu pia. Lakin kwa majibu uliyowajib wadau hapo juu wewe ndo unaonekana chanzo cha matatizo yote haya!


majibu yepi?

mdau yeyote akija hapa na comment ya kunitukana na yeye atapata matusi tu.

ushauri na ideas nishapata, sasa naendelea kuwajibu wajinga wanaodhani wanajua matusi

i have nothing to loose hapa
 
Mpaka hapo nishajua kwamba wewe ndo unavunja ndoa na ndo last option kwako,trust me that imekuwa hivyo kwa sabab kila mmoja kaamua kwenda njia yake! Je,umeshawah waona watoto wanateseka sana na wazazi wote wapo duniani? Msijifikirie nyie tu waangalien na watoto wenu pia. Lakin kwa majibu uliyowajib wadau hapo juu wewe ndo unaonekana chanzo cha matatizo yote haya!

tena nimekumbuka kitu

wewe si ndo ulikuja hapa juzi kati eti unataka kumuacha wife sijui ni mkorofi sijui anajibu short ama si wewe Kafman?

leo tena unajifanya eti ndoa ndo unaijua sanaaaaaa

aisee sisi binadamu wa ajabu sana
 
Kama ndo hivyo basi ni bora muongee na mmeo na yeye aseme kama anawaza kama wewe,maanake isije kuwa hizo torture za mwaka jana ndo zimekufanya ukawa hivyo sababu akirud kama zaman utampenda! Muhim zaid ni nyie kama mtakubaliana muivunje baasi sawa, lakini inatakiwa muwaze future ya watoto wenu pia!

mh. ni wewe ama mwingine

leo umejua kuwaza watoto
 
ndo maana sijielewi nitaishi hivi kwa muda gani? am jus 30, i need to make my life wakati bado mapema
Ndoa bwana, ukishawaza nje tu, feelings za ndani ya ndoa zinapotea.
4 years plus 2 kids with the same husband,all of the sudden, umeanza kuijutia ndoa?
Jaribu kuondoa feelings za nje ya ndoa, na u-concentrate on what you have, mambo yatarudi kama zamani.
 
My sista jaribu kutulia usikilizie kwanza kwa kumwambia ukweli mmeo kuwa unakerwa na tabia anazozifanya,ukiona response ni ndogo mwende kwa wazaz mkayazungumze LAKINI inavyoonekana pia na wewe umemchoka mmeo sasa jiulize moyoni kwa nini? Usije taka kuvunja ndoa yako ukaenda kwa huyo mshikaji wako wa zamani na unajua urafiki(uchumba) ni tofauti kuwa na huyo huyo mtu kwenye ndoa? Kwenye urafiki drama ni nying kuliko ndoa ambapo ukweli na uhalisia hujidhihirisha,sasa usije enda huko mambo yakawa magumu kuliko ulikotoka. La MSINGI tatua matatizo ya ndoa yako kwa ushirikiano na mmeo na mmshirikishe sana Mungu ktk matatizo yenu yatakwisha!

this was good to hear from you.

unaendeleaje na mkeo
 
Nzuriiip Dada yangu Ayanda wala haitaji ushauri wenu, kashafanya maamuzi yake mwenyewe alikuwa anawapa taarifa tu wadau kama alivyotoa taarifa ya nddoa.

Kwako Dada mpendwa, maisha ni mafupi weka shida hizo chini nyanyua furaha ilipo kula maisha. Watoto unao, unayemfeel unaye hatakama ni mme wa mtu mbona wako analiwa mpaka kakusahau? Na ww futa ndoa go where ur Heart tell u to go.

Ila mwanangu miaka minne michache sana turudishie chenchi ya michango yetu na zawadi zetu.

sikuchangisha mtu hata mmoja
 
inamaana ww unataka kwenda kuvunja ndoa ya watu wengine kutokana na matatizo yako.

kilio cha huyo mke wa 42 kipo juu yako, wamama wengi wanaomba/kufunga (kama ni wakristo) wengine sina uzoef, hiyo laana itakuwa juu yako.

kama umeshindwa kukaa na mumeo wa ndoa tafuta mwanaume asiekuwa na mke ndo ukae nae sio kuvunja ndoa ya mwanamke mwenzio. mwache afaidi ukizingatia hakuna alie kuchagulia.

samahan kama nimekuudhi

ha ha ha ha ha bado hujaona wewe ya dunia

huyu mke wa mtu anayetembea na mume wangu mchana kweupe ni mjumbe wa kamati ya jumuiya parokia ya .....

anasali sana na ni mtu wa maombi yani kwa walokole hakosi.

na huyu mke wa jamaa huyu wa 42 nilivyomuona tu ni mzuri sana kwakweli amefungashia haswa ila anaonekana malaya tu.

Hivi unadhani hao wanawake wanaokesha wakiomba mbona wanakesha na wachungaji ambao ni waume za watu.

watu wanaimba kwaya daily kanisani na wanachapagana gesti kama kawa.

HATA HIVYO MIMI SIJASEMA NATAKA KUVUNJA NDOA YA MTU, ILA KUTEMBEA NA MWANAUME ALIYE KWENYE NDOA MI SIONI ISHU.

HABARI NDO HIYO
 
haya nimekusikia, basi wenyewe ambao hamjaolewa mnafarijika maskini.

mnafurahi wenyewe kusikia majanga ya ndoa

ha ha ha ha ha

Mi napenda sana hit and run stress kama hizi zipo likizo kwangu, mi nakung'uta naacha
 
ha haaaa, wewe umesema ni chizi.....mimi mmbea....
chizi anaweza ongea peke yake, mmbea lazima atafuta watu wa kuwapa umbea, upo?
kutokujiamini kwangu hakupo kabisa, ndo maana nikitoa point za maana siiti mtu, ukiona naita watu ujue nawapa maumbea tu hakuna la maana....... umenisoma?


Hivi chizi nae anajuaga kusoma?

wala sijakusoma maana hata kusoma nijulie wapi chizi mie
 
wewe kabla ya kuchukua maamuzi
mshirikishe kidumu chako kwanza ili ajue

si ajabu akakwambia usidai talaka

kumbuka maamuzi yako yata waatjiri wengi pia
lakini hata hivyo tayari umeshaamua so bora umshirikishe yule ambae ana
matter kwako for now
ambae ni huyo wa 42....

all in all hakuna ubaya wa talaka kama ndoa ni stressful zaidi

good luck

ha ha ha hata mimi siwezi mshauri kidumu atoe talaka kwa mkewe kwahiyo hata yeye atanishauri nibaki kwa ndoa.

ha ha ha The Boss umenichekeshaje
 
Unajua mtoa mada tayari anajua cha kufanya kwani kila aliejaribu kumpa ushauri yeye hauafiki. Pengine wengi tumeshindwa kuielewa mada hasa mimi binafsi.

wewe hebu acha uongo hapa. Kwa taarifa yako nimepata ushauri mzuri sana na nashukuru sana kwa watu walionipa mwanga ambao nilikua sijauona mwanzoni.

Hawa watoto wanaokazana kutukana ndo wanapata majibu ya matusi kama kawa.

nahitaji ushauri, for real na nimeupata ila pamoja na kuwa hizi changamoto za ndoa haina kwamba eti ndo i can take shit from any one.

tatizo ninalo but am not ready kuwa undermined na wapumbavu wnisiowajua hap JF.
 
Thats why I dont wana rush into this, I will wait for hubby even if I am 40, age is nothing but a number but if you loose your freedom to be happy its hard to regain.
Acha pupa mdada, mwombe mungu aifufue ndoa yako hata hao kina Ex na Z wanakupenda coz uko kwenye ndoa yako,ukiachika hutowaona wala kusikia hata harufu yao. Think twice before you close that door
 
Kumbe angecheat kisomi/ kitaalam usingejali. Maisha ya ndoa hayajengwi kwa misingi ya kuogopana , hiyo kutompa respect dada siku ukiamua utampa. Sasa unataka huyo wa 42 kisa yuko matured kwani uliolewa na wa 22 au. Anyway follow your intuitive.

Angecheat Kiuanaume ingekua powa, maana isingenichanganya sana ingeniumiza then ningepotezea fasta.

Na pia mimi nampenda mwanaume amabaye namuogopa na kumheshimu. Mwanaume zobe zobe mi haniwezi, i need a man mtawala na ambaye ni Big Boss.

haya maneno yenu ya siku hizi eti mwanaume ni kama mtoto kwangu hayaappply, TO ME A HUSBAND IS A BOSS. Kwahiyo ni lazima adhibitishe u-boss wake. Akiwa mtoto nitamburuza kama watoto wangu wengine.

ndivyo hivyo best, maybe mi mshamba ama nina mambo ya kizamani sana but habari ndo hiyo
 
Thats why I dont wana rush into this, I will wait for hubby even if I am 40, age is nothing but a number but if you loose your freedom to be happy its hard to regain.
Acha pupa mdada, mwombe mungu aifufue ndoa yako hata hao kina Ex na Z wanakupenda coz uko kwenye ndoa yako,ukiachika hutowaona wala kusikia hata harufu yao. Think twice before you close that door

acha kujifariji sababu hujapata mchumba hadi wa leo.

Ndoa ni nzuri sana best, acha kujifariji unaposikia majanga kama haya yangu.

pIA hao kina X na Z ndo nani? mi sina mpango na mwanaume yeyote.

hujanielewa
 
Kutoa mzigo kwa huyo jamaa ndo kutatatua tatizo la ndoa yako au ???????? Mnataka kuwaumiza watoto?????? Au ndo kutamrudisha mumeo nyumbani????

Ushauri ya BURE... Jiulize mumeo anafata nini kwa huyo dada? mpe mashine asage akitoka hana hamu... Wanawake wengi hujisahau baada ya miaka flani ya kuolewa na mwanaume hutoka nje baada ya kukosa kitu nje na anapoonja nnje hunogewa.

UKIMWI JAMANI NA WATOTO MTAWAACHA NA NANI.????

Yani we ndo hujaelewa kabisaaaaaaaaaa

mume wangu yupo home na anabembeleza sana ila mi ndo simfeel tena na huwa namshauri aende kwa huyu hawara akapige chap chap ila namshangaa haendagi nikimwambia aende maybe anakua ameshapa mida ya lunch then anakuja kunizuga tu usiku.

anyway, kuhusu alichonegewa huko sijui maana kama ni utamu mbona huyo hawara mumewe pia anatoka nje ndo maana yeye(hawara) kajituliza kwa mume wangu? Hamna lolote ambalo sina na wala siwezi poteza muda eti nijishushe thamani kisa mume lol.

kama kunogewa na mie mwenyewe nimenogewa na dushelele la kidumu basi.

yaani hujatoa ushauri wa maana zaidi ya yale yale mawazo ya kijinga kwamba ndoa ni mke kumfurahisha mume and not vise versa. ah niondokeee
 
leo umekuwa mpole best! Mambo vp? Ni aje? Unakumbuka tulishawahi kuchat kipind fulan kuhusu ishu kama hii lkn hatukuelewana, ukasema unachoangalia ni watt, na gud relations na wanajamii.

Unatakiwa uwe ucrudi nyuma kama kweli ulimaanisha ulicho ongeaga. Angalia watt best, wanawake walio wengi wanataman divorce bt cha kwanza kufikiri na watt. Mfano mama yangu alipata shida ktk ndoa yk kwa 28 yrs, akawa ananiambia naangalia wanangu, wasome, wavae vzr na furaha yao ndio yangu.

Ongea suala hili na mumeo, uone atalichukuliaje. Pia angalia wanao wanavyokuwa happy akiona baba na mama amekaa pamoja n.k.
Kingine tunachogombanaga ni hiikiiiii, acha kucheat best yaan utajickia aman nakwambia.

Ni mawazo yangu tu mpendwa.

nakubaliana na wewe vyote.

ila hapo kwamba mi nacheat sijakuelewa, mimi sicheat ila najipa raha kama binadamu yeyote tu na sometimes huwa namwambia live kwamba nachapwa nje ila huwa anajua namrusha tu kumbe yote ni serious.

kwahiyo kuacha kujirusha mara 1 ka mwezi na kidumu siachi ngo na tena hivi hatujaonana wiki 2 nimemmiss sana
 
Back
Top Bottom