- Thread starter
- #221
Ayanda(wa isdingo?) pole sana dada yangu.
Sijui umri wako labda nigekuwa more specific katika ushauri wangu lakini nawezahata hivyo kukusahuri machache nikianza na hili kuwa "divorce is very rarely the solution".
Sina uhakika kama unapenda kusoma vitabu- sasa hivi nasoma kitabu kimoja kinaitwa " Tough Times Never Last But Tough People Do!
By Dr Schuller. Ni kitabu kizuri kinazungumzia mambo mengi ambayo yangekufaa ukiwa hapa ulipofikia. Anasema "When you think you have tried all alternatives remember one thing you have not"
Katika kitabu hiki anazungumzia anachokiita 'Possibility thinking' try it huenda kikakusaidi katika wakati huu mgumu
Thanx alot.
mi si Ayanda wa Isidingo but kiasi tunafanana but i have dreads anyway, kuhusu kusoma vitabu hilo ni IMPOSSIBLE.