Ushauri: Nimeitwa Polisi

Ushauri: Nimeitwa Polisi

Wew cha mhimu mwambie mtu wako wa Karibu kuhusu kuitwa kwako then nenda Central na huyo mtu wako ukifika mpigie huyo aliyekwambia kwamb ni polisi wa kitengo Cha Cyber, Kuchelewa kwako au kutokwenda unaweza ukawa unaongeza kosa maan tayari ushaambiwa kuna mtu unawasiliana nae mara kwa mara
Kwa hyo kama anaetaftwa ni huyo mtu kupitia wew,na usipoenda watajua kabisa kwamb wew na huyo unaewasiliana nae mara kwa mara kuna kitu kinachoendelea dhidi yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umemshauri vyema, Mtu asijemdanganya eti Asiende,Asipoenda wao watajua tu kwamba amefanya makusudi na ukikamatwa kifuatacho ni ITV,
Na wale jamaa kama anaamin hajawah fanya uhalifu, hawatakuwa na shida nae
Ngoja nikupe kisa kilichonitokea miaka kadhaa iliyopita...

Niliamka asubuhi, mara paaap simu inaita namba mpya nikaona nipoke!

"unaongea na afande .... kutoka kituo cha polisi, unatakiwa ufike hapa haraka sana...akakata simu.."

Ilinishtua sana, nikawaza nishawahi piga dili mahali? no sijawahi! Basi nikawajulisha ndugu na jamaa ina case likitokea la kutokea!

Kufika kituoni nikakuta viajana kama wanne hivi wako selo, then afande akawaita!

"Huyu ndiye aliyewapa huo mzigo?"

Wakasema HAPANA!...nikawapiga mkwara wale polisi... lakini nikaona isiwe shida!

Basi nikawaacha pale wanabishana na wafungwa wao! Mimi huyo nikasepa zangu!

USHAURI.

Mpaka wamepata namba yako jua kabisa wana jina lako! ILA Kama unajiamini HUNA MABAYA NENDA ILA KUNA RISK UNAEZA ENDA UKAUNGWA NA UNAWEZA USIENDE WAKAKUSAKA (na mpaka wakusake utakua na jibu wakikupata nini kitafwata...)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew unaewaza kubadili line inawezekana kuna kitu ambacho unahusika na unatafta namna ya kukikwepa,Hata ukibadili line au ukikaa bila Simu,wakitaka watakupata tu labda wasidhamirie kukupata, Cha mhimu nenda wasikilize ila uende na ndg wa Karibu na Usikubali mkutane au mzungumze sehemu ambayo sio kituo cha polisi,Mazungumzo yenu lazima yawe kituo cha Polisi
Asante mkuu
Hapa nawaza kubadili na line asa sijui unanishauri vipi maana hii nchi kwa kweli polisi wake nawajua

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho

Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine

Ushauri


Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie waje wakuchukue....acha hofu...mkutane Serikali za mtaa au waelekeze hao polisi wapite kwa Mkiti wa mtaa ..... Hata kama unamakosa umefanya acha woga...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilishuhudia jamaa kaenda pale anasema nimekuja niliitwa sasa nimekuja, akaulizwa unaitiwa nini akasema mimi sijui lakini nimeambiwa nahusishwa na wizi wa laptop, akaulizwa aliyekushitaki yupo wapi? Akasema sijui? Wakamwambia basi kaa hapo usubiri yeye akasema mm sina muda nina mambo yangu mengine kama yeye hayupo basi ile kabla hajamaliza akaambiwa hiyo haya vua mkanda, vua viatu, weka mazaga pale alafu kachague selo.
Hahaahahahhajaajjaajjajajajaanajahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho

Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine

Ushauri


Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nakupa pole Sana kwa kuitwa kituo Cha polisi.
Nakumbuka mwaka Jana 2018 nimewahi kukaa selo kwa siku 5 bila kutarajia.Kituo kikubwa Cha magomeni usalama.
 
Kwanza nakupa pole Sana kwa kuitwa kituo Cha polisi.
Nakumbuka mwaka Jana 2018 nimewahi kukaa selo kwa siku 5 bila kutarajia.Kituo kikubwa Cha magomeni usalama.
Siku 5 zote hizo?
 
Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?

Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?

Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.

Then waoneshe ushirikiano.

Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
GuDume katika ubora wake... hajaacha comment yake burebure akachomekea kaparagraph mwishoni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha unafika tu wanakwambia vua viatu, vua mkanda? Hahahaha kama utani vile ila ni ukweli mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaan mzeee kaongea kiutani ila ndio ukweli, tulimepeleka jamaa yetu alieuziwaga simu ya wizi aloooo hatukuamini tumefka hatukuamini, alisagura ontime kwa mbaaali tunamuona yuleeee kwenye korido yenye giza huku wadau wanamkaribishaaa
 
Back
Top Bottom