Ushauri: Nimeitwa Polisi

Ushauri: Nimeitwa Polisi

Habari wakuu

Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho

Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine

Ushauri


Sent using Jamii Forums mobile app

Ingia hapa.

Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Kama unajiamini hujawahi kufanya lolote baya nenda. Pia jua ukienda leo utawekwa ndani mpaka J3. Kumbuka kujiamini maana hawa policcm divsheni four huwaga na katabia ka kupiga mkwara ukiwa muoga imekula!

Cc Dragoon Petro E. Mselewa BISECKO Pascal Mayalla
 
Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?

Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?

Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything.ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake.nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.

Then waoneshe ushirikiano.

Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue.ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma....
Hahahaha hivi mkuu mme anaweza akaomba chats za mkewe tcra/polisi na wakampa pasipo ridhaa ya mke(mwenye namba)?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi usiende kama unaenda bar! Unaweza fika pale ukaambiwa vua viatu, vua mkanda, toa ulivyonavyo weka ubaoni alafu ukasikia mweke selo namba 4 ya majambazi huyo mpelelezi wa kesi yake ana udhuru mpaka week ijayo..mjomba fuata ushauri wa Gudume.
Hahahaha unafika tu wanakwambia vua viatu, vua mkanda? Hahahaha kama utani vile ila ni ukweli mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha unafika tu wanakwambia vua viatu, vua mkanda? Hahahaha kama utani vile ila ni ukweli mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nilishuhudia jamaa kaenda pale anasema nimekuja niliitwa sasa nimekuja, akaulizwa unaitiwa nini akasema mimi sijui lakini nimeambiwa nahusishwa na wizi wa laptop, akaulizwa aliyekushitaki yupo wapi? Akasema sijui? Wakamwambia basi kaa hapo usubiri yeye akasema mm sina muda nina mambo yangu mengine kama yeye hayupo basi ile kabla hajamaliza akaambiwa hiyo haya vua mkanda, vua viatu, weka mazaga pale alafu kachague selo.
 
Habari wakuu

Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho

Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine

Ushauri


Sent using Jamii Forums mobile app

Fikra ya haraka inanitumua kukuuliza kama hiyo simu unayotumia ulinunua dukani au kwa mtu? Hakikisha una risiti ya manunuzi. Kwa vyovyote vile ama wewe au huyo rafiki yako mmoja wenu anatumia simu yenye RB.
 
Me mwananchi wa kawaida sina hata level ya kuwa na mwanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Hui wako ni 'Ujinga' (Sio Tusi,- Hujui)
Hakuna Raia mwenye Haki zaidi ya mwingine au aside Haki kama mwingine.
Hata kama huna Mwanasheria ulieingia nae rasmi Mkataba,
Upo uwezekano wa kumpata wa kukusaidia kwa Makubaliano hata kwa Ushauri tu.
Iwapo unayo makandokando yako makubwa usitie pua Bila kashauriwa.
 
Habari wakuu

Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho

Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine

Ushauri


Sent using Jamii Forums mobile app
KAMA UNAMKE NAOMBA NAMBA YAKE ASITESEKE PLS

WENGINE HIZI KAZI NWITO KUWALEA YATIMA NA WAJANE WATARAJIWA
 
Nchi hii uonevu na ugandamizaji umekithiri. Hivi inakuwaje mtu aitwe polisi amekwenda pasi na shaka, akahojiwa mawili matatu akajibu na ikabainika kwamba mtu huyo hana shida sana,iweje aambiwe vua viatu,mkanda zama ndani? Kwa nini asiendelee kutoa ushirikiani huku akiwa nje na shughuli zake za kila siku? Hii nchi raia akiitwa polisi pasipokujali alichoitiwa 99% ana uwezekani Wa kuwekwa ndani
 
Habari wakuu

Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho

Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine

Ushauri


Sent using Jamii Forums mobile app

Chukua Mwanasheria kisha nenda nae. Incase of any issues atakusaidia kutafsiri vifungu vya Sheria na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom