Hapana mkuuUsikute tunamjadili adui aliyoko nje kumbe adui yupo hapa. Hakuna UZI wowote ulioupost jf ambao unatishia amani na mamlaka ya nchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inshu waweza uichukulie poa
Ila kusema ukweli kupigiwa simu ya kiofisi na police nakukuita kituoni ni shughuli nyingee
Mm walishawahi nipigia japo ile najiandaa niende wakaniambia samahani tumekosea una bahati sanaa.
Aloo nili haha sanaa
Niliwaza kila kitu lakn sioni nilipo na kosaa
Nilitrace miaka miwili nyuma sioni kosa ila naogopa.
Polisi wakikupigia simu tuu jua huna pakutokea wakiamua, labda km wanaona uhitaji wao kwako sio mkubwa sanaaa wakiona unawasumbua na huna msaada mkubwa wanakupotezea.
Tena washakuambia hao n watu wa Cyber
Amini usiamini, wanamawasiliamo ya watu angalau watano unaowasiliana nao mara kwa mara,
Kwenye hio kesi ya mshkaj wangu niliyosema hapo juu, nae walimuita akagoma
Wakanipigia mm, nikaongea na mshkaji akagoma,
Wakampigia baba yake, baba akampigia mwanae ndio mshkaji akaenda, tunafika wakamweka ndani kwa usumbufu.
Mkuu nakushauri sana nenda mzee nendaaa....
Wana angalau nusu ya details zako zote ndio maana wanajiamini kukupigia
Nenda mzeee
Ila twaweza ongea hapa kumbe una siri zako,
Kama una msala mzito mzee USIENDEEEEEE
Japo unazidi kuharibu ila sikushauri
Mm nikiwa na msala mkubwa haki nahama nchi
Kule mahali sipoooo
Kitu cha kwanza kikubwa achana na yote Ni TB.
Hii kitu asilimia kubwa wanaoenda selo wanatoka nayo
Ni hayo tuu
Hivi we pdidy si mtu mzima ww kabsaa unaandika ujinga hiviiKAMA UNAMKE NAOMBA NAMBA YAKE ASITESEKE PLS
WENGINE HIZI KAZI NWITO KUWALEA YATIMA NA WAJANE WATARAJIWA
Kwa uzoefu wangu mdogo, hapo ishu sio wewe ila unaweza kusaidia kupata wanachotaka, kama unaweza na una nafasi nenda au kama una ofisi binafsi muelekeze aje ofisini onesha kujiamin ukianza kutetemeka bila kujua sababu watakutesa.
Ushauri mzuri. Ila hili la kumkunja bila huruma, mkuu umebonyeza sana.Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?
Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?
Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.
Then waoneshe ushirikiano.
Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
Kabisa, lakin makwambia mara mia uwasiliane kwa Kutumia WhatsApp tuKwani sheria inasemaje kuhusu summons za polisi?
Yaani inaingia simu out of nowhere eti mtu anadai ni polisi,utaamini vipi?
Vipi Kama simu akipokea mtoto,au houseboy utajuaje unahitajika?
Kwanini wasilete summons physically?
Polisi wana utaratibu wa kumuita mtu kituoni, huwa wana ku summon, Usiende polisi mpaka upate samass wao huuiita.Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?
Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?
Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.
Then waoneshe ushirikiano.
Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
Ukiweza kupata wakili wa kuongozana naye, itakuwa ni jambo jema zaidi, na wao pia watakuwa waangalifu ktk utendaji kazi wao.Habari wakuu
Nimepokea simu kutoka kwa mtu anasema yuko central kitengo cha cyber na kuna namba inaonekana naongea nayo na wanataka kujua machache kuihusu
Nimewauliza ni ipi niwajibu? wamekataa wamesema niende central au niwaambie nilipo wanifate nimewajibu ntaenda kesho
Hasa hapa najiuliza niende au? maana polisi wetu hawaaminiki unaeza fika yakawa mengine
Ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa, ila tutumie wanasheria wakuu, wako tele waliosajiliwa na kulipa ada zao, lawyers lawyers lawyers....Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?
Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?
Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.
Then waoneshe ushirikiano.
Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
Wakuu
Kuna ushauri ametoa TheSpam nadhani ni issue ya simu maana kuna mshkaji wangu mmoja tulienda nae kununua Tecno Cammon X kwenye madukavwanayouza simu used kipindi cha nyuma na ndo anayo mpaka sai
Na kweli huwa tunawasiliana sana maana ndo mshkaji wangu mno Asa kwa mantiki hii nafanyaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi anaweza kukuambia ukaapishwe mjengoni..