Ushauri: Nimeitwa Polisi

Ushauri: Nimeitwa Polisi

Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?

Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?

Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.

Then waoneshe ushirikiano.

Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
Mengine nakubaliana na wewe, tena ikiwezekana kama ikiwezekana kama anajuana na wakili au mwanasheria yoyote aende nae. Lakini pia kuchati na mke wa mtu au hata kufanya nae mapenzi siyo kosa la jinai hivyo haiwezi kuwa sababu ya kuitwa kituo cha polisi, labda iwe kwenye kuchat mlitumiana picha za utupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?

Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?

Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.

Then waoneshe ushirikiano.

Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
Kama ni issue ya mke wa mtu ni kesi ndogo tu,ukipatkana na kosa utalipa fidia tu. Usiogope

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambazi/mhalifu unawasiliana naye au mtu wako wa karibu?

Aliyekuita alijitambulisha vipi na wewe unamwamini vipi kuwa ni polisi na si tapeli au mwenye nia mbaya na wewe?

Kama upo ok chukua mtu wa kukusindikiza ambaye atakuwa nawe in case of anything. Ili ukatoe ushirikiano kwa kile unachokifahamu.chukua jina la askari husika na namba yake. Nenda kituoni uliza kama kuna mtu mwenye jina na namba hiyo.then waambie amekuita kwa simu unataka onana naye ukiwa na mtu amekusindikiza na umeoa taarifa kwa watu wa karibu.

Then waoneshe ushirikiano.

Kama unatembea na mke wa mtu na chats zenu zimeonekana ni issue ujue. Ombea mwenye mke asiwe karibu akakuona na jinsi ulivyokuwa ukitamba kwenye chats kwa kumkunja mkewe pasipo huruma.
Hahahaha!kumbe siku hizi Kuna criminal case za kumtafuna mke wa mtu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USHAURI wa bure jitahidi kuepuka majungu, matusi, kuandika au kusema kila unachoona kwako ni kizuri. Usipende kuwa na namba hiyohiyo miaka yooote. Badili badili namba zako.

Inafaida gani
Unapunguza watu wanaokufaham utakaa nao mbali

Utaanza na watu wa karibu yako na muhimi tuu

Utapunguza uwezekano wa waliopeana namba zako kukukosa si lazima usubiri dili kwa namba ya zamani.

Na mengine mengi.
 
USHAURI wa bure jitahidi kuepuka majungu, matusi, kuandika au kusema kila unachoona kwako ni kizuri. Usipende kuwa na namba hiyohiyo miaka yooote. Badili badili namba zako.

Inafaida gani
Unapunguza watu wanaokufaham utakaa nao mbali

Utaanza na watu wa karibu yako na muhimi tuu

Utapunguza uwezekano wa waliopeana namba zako kukukosa si lazima usubiri dili kwa namba ya zamani.

Na mengine mengi.
Kama ni namba unaitumia kiofisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom