Ngoja nikupe kisa kilichonitokea miaka kadhaa iliyopita...
Niliamka asubuhi, mara paaap simu inaita namba mpya nikaona nipoke!
"unaongea na afande .... kutoka kituo cha polisi, unatakiwa ufike hapa haraka sana...akakata simu.."
Ilinishtua sana, nikawaza nishawahi piga dili mahali? no sijawahi! Basi nikawajulisha ndugu na jamaa ina case likitokea la kutokea!
Kufika kituoni nikakuta viajana kama wanne hivi wako selo, then afande akawaita!
"Huyu ndiye aliyewapa huo mzigo?"
Wakasema HAPANA!...nikawapiga mkwara wale polisi... lakini nikaona isiwe shida!
Basi nikawaacha pale wanabishana na wafungwa wao! Mimi huyo nikasepa zangu!
USHAURI.
Mpaka wamepata namba yako jua kabisa wana jina lako! ILA Kama unajiamini HUNA MABAYA NENDA ILA KUNA RISK UNAEZA ENDA UKAUNGWA NA UNAWEZA USIENDE WAKAKUSAKA (na mpaka wakusake utakua na jibu wakikupata nini kitafwata...)