miss personal cook
Member
- Apr 4, 2019
- 81
- 90
Utapigiwa simu na bank husika usiku na mchana hutaishi kwa amani kamwe
Will come soon (anonymous content to anonymous members)
Will come soon (anonymous content to anonymous members)
Kimsingi inategemea na eneo husika, mfano Dar ni ngumu kupata ule udongo wa tofali za kuchomaOook,, basi mi Najua matofali ya kuchoma ndo safi
Vipi mkuu ulifanikiwa?Will come soon (anonymous content to anonymous members)
Una umri gani na je hiyo ni mara ya ngapi unaajiriwa na je unataka ukafanye biashara gani? Nijibu niendeleeWill come soon (anonymous content to anonymous members)
Nimependa shedo yakoVipi mkuu ulifanikiwa?
ushauri wangu asifanye hivyo sababu mwajiri ndio mdhamini wa kwanza katika mkopo afu kwa mifumo ilivyo sasa hivi kila kitu kimesajiriwa kidigital ukikopa benki moja benk zingine wanakuona TRA wakihitaji data zako kwenye taasisi za kifedha utaonekana tu ukihitaji TIN no utahitaji kuwasilisha taarifa zako kuna maeneo watakupata tu labda uchukue hilo bumu ukawe mkulima huko mbwidu au matomboSasa ndo akaibe bank? maisha huhitaji kulazimisha sana mkuu..hapo ni kosa kama kosa lingine kwa kuwa mwajiri lazima amdhamini na ili uache kazi kuna taratibu za kufuata ikiwemo kuandika notisi ya mwezi ama masaa 24 na mwajiri wako akubali...kama una deni atakubali ili kabla ya kusaini exit form na taratibu zingine atakutaka uweke sawa mambo yako ikiwa pamoja na kulipa madeni na ku-handle over mali za ofisi n.k ndipo anaposaini kuondoka (mpaka hapo ujiulize atafanyaje ili atoke kwa mwajiri vinginevyo atatuhumiwa kwa makosa mawili ya kukimbia mkopo bank na kutoroka kazini maana hawezi kuacha kazi kienyeji na hakuna mwajiri atakubali wakati ana mkopo)