Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi

Kuna opportunity nimeiona mahali.
Nishaifanyia intensive analysis na kuona potential yake (actually I want to take a Risk)

Tatizo nakosa vitu viwili, muda na mtaji. Ni muajiriwa serikalini na mtaji wangu bado mdogo.

Nimefikiria nichukue Mkopo taasisi yoyote ya fedha (kwa kigezo kuwa watakua wananikata kwenye mshahara) kisha niwekeze resource zote kwenye hiyo opportunity.

Pasingekua na figisu kwenye Mifuko ya pension ningeacha Kazi kisha nikachukua mafao yangu (kwa sasa yamefika almost 6 Milioni) nikatembea mbele kiroho safi.

Wakuu wangu nishaurini:
Nikisema nichukue mkopo paaap kwa kutumia ajira yangu (Mkopo nahitaji ni 5 Milioni tu) then niache kazi next month Je watanitafuta wanikamate wanipeleke mahakamani ama Makato yao watachukua kwenye Pension Fund yangu na hawatashughulika namie.

Hivi unapoacha kazi mwajiri akakuta unadaiwa Mkopo na taasisi ya fedha inakuaje hapo.

Mdogo wenu CCNP
Vipi ulifanikiwa kuchukua mkopo na kuacha kazi au uliachana na huo mpango?
 
Mhhh kuna dalili za usanii hapa...huyu si alisema yeye ni engineer amesajiliwa tena ana gpa ya first class na div 1 ya pointi 3. Hivi engineer kweli anakosa namna ya kuoata 5m mpaka kuwaza kuiibia bank???
 
Mhhh kuna dalili za usanii hapa...huyu si alisema yeye ni engineer amesajiliwa tena ana gpa ya first class na div 1 ya pointi 3. Hivi engineer kweli anakosa namna ya kuoata 5m mpaka kuwaza kuiibia bank???
Ahahahahahahaha!! Huwa nikiwa bored nakuja kwenye hii sredi nacheeeeka sana. hadi nimeisubscribe na kuifollow.

Yaani ukimsoma Maandishi yake unahisi huyu jamaa hata akifanya mtihani pekee yake darasani anaweza kushika namba mbili....yaani he is super dumb kama jellyfish samaki asie na ubongo wala akili Duniani. then baadae anakwambia ni engineer mwenye one Kali ya O level na A level..C'moon man!

 
Last edited:
Mh mpaka hapa nimechoka hoiiiiiiiijij maana leo nimepitia ile Siledi ya kuwashauri madogo wa A-level nikakuta upinzani fulani kumbe huyu jamaa yuko hivi duh.
 
Ukiwa na mkopo jiandae kwanza kisaikolojia. Japo M5 ni kidogo sana kwa kukopa ila kama u ajiweka fressh itakutoa, mm huwa nakopa 20m kila miaka 3 ikiisha, nishakopa mara2 namalizia jun2019 huwa kila nikikopa nashusha mjengo japo hauishi ila sasa nina mijengo yangu2
 
Watu km hawa huwa wanakuja kutaka mawazo kwa kujaribu...


Iba baba usepe ukaanze maisha ... Uone vumbi lake
 
Msimlaumu sana labda ni engineer wa halmashauri na ameona anabanwa sasa anataka asanuke aanze mambo yake binafsi so anaomba ushauri.
Kuhusu AAA kuna watu wana magpa makubwa lakini sasa hivi hawajaweza ju secure job any hata kujiajiri. Wanafunzi wengi sana huwa wanaamini kuwa akitoka chuo afanye hata kwa kipindi kifupi kile akichokisomea kisha anaweza kufanya mambo meingine pia huwa kuna raha fulani hivi kufanya kazi iliyokuweka 3-4 etc yrs at college
 
Chukua Mkopo, anza kuweka foundation ya project yako ungali ukiwa kazini. Usiache kazi. AT least unaweza kuacha kazi pale unapojihakikishia mradi wako umesimama vizuri, issue ya makato ya mkopo siyo tatizo maana kama una hela zako kwenye akaunt kila mwezi benki husika watakuwa wanafyeka tu kila mwisho wa mwezi kiroho safi.
 
Umenikumbusha kituu...

Jamaa mmoja ( X )..akajenga nyumba yake safi kwatofali zakuchoma ,,ila ilikua Kubwa sanaa,, akailemba freshi ...alitumia km milion 60-70 .

Jamaaa alivyoona yafaa kwa makazi ..akaenda CRDB akachukua mkopo wa milioni 250 dhamana ninyumbaaa ...CRDB walivyocheki ule mjengo wakasema sawaa...wakampaaa.

Jamaa MPKA waleo hajulikani alipo....CRDB walishajaribu kuuza nyumba wamekoswa mteja maana imekuka julikana nyumba niyatofaul za kuchoma.
Nyumba ya matofali ya kuchoma INA Shida gani
 
Back
Top Bottom