Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,877
- 46,400
Mimi mtanganyika unanieleza habari za Zanzibar za nini Zanzibar ni nchi kama nchi zingine Waislam wa Zanzibar hawawakilishi Waislam wa Tanganyika.Eti Wasomi wa kikiristo wamejazana Serikalini ? Kwa kuna mtu amewakata Waislamu kusoma? Mbona kuna waisilamu wasomi nao wamejazana Serikalini kule Zanzibar Serikali yoote ni waislamu huku bara Serikalini wapo waislamu wa kutosha Serikalini na hawana mambo ya Ajabu ajabu kama waisilamu wale jobless washinda vibalazani, chuma Ulete na vijiweni ambao Ndiyo wapo busy kudai mahakama ya Kadhi pasipo kujua hata inaendeshwaje na Sheria zake zipoje nk ! Waislamu wasomi walipa kodi wapo busy na kusaka maendeleo hawana mda na kuhangaika na mambo yasiyo na Tija kwani wanajua kuwa kodi ya Serikalini hutokana na pesa za Pombe na Kitimoto hivyo si vyema kuwalipa mishahara pesa Haramu kwao.
Msome mleta bada anajapa kuwa nyie na Wakirsto wa Tanzania ni wasomi sasa tufahamishene huo usomi wenu mnaojitapa nao kila siku umelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbi la umasikini.
Nasubiri majibu.