Ushauri kwa waislamu Tanzania, hasa walio mtandaoni

Ushauri kwa waislamu Tanzania, hasa walio mtandaoni

Hapo tatizo la kwanza si kuendesha hiyo taasisi tatizo ni kutambulika kisheria, huwezi kuwa na chombo cha kusimamia haki kisicho na nguvu za kisheria, hilo lieleweke kwanza
 
Suala kwa nini serikali wasijenge za umma?
Wanaziendesha za wakristo halafu wana jisifu ? Kumbe zao jina tu ?

duuh hebu kuwa neutral kwanza ndio utaweza kuelewa.serikali haina uwezo wa kuanzisha na kujenga mahospitali,vyuo na vituo vya yatima na wazee na kuvihudumia nchi nzima.Inachikifanya ni kushirikiana na taasisi zinazoonesha nia ya kusaidia jamii,na sio kwamba pesa inayotolewa na serkali inacover expenses za huduma zinazotolewa.
 
duuh hebu kuwa neutral kwanza ndio utaweza kuelewa.serikali haina uwezo wa kuanzisha na kujenga mahospitali,vyuo na vituo vya yatima na wazee na kuvihudumia nchi nzima.Inachikifanya ni kushirikiana na taasisi zinazoonesha nia ya kusaidia jamii,na sio kwamba pesa inayotolewa na serkali inacover expenses za huduma zinazotolewa.

Kwa nini isiweze ?
69b miaka kumi ni ngapi?
Ngapi zingejengwa?
Hapo miaka ya nyuma ilipo geresha kuwa imetaifisha mbona wakiziendesha?
Nipo neutral katika suala zima la serikali kutokuwa na dini na katika hili ni kuacha kuwa dkuble standard.
Kuna mou na serikali ya ujerumani kuilazimisha serikali kusaidia makanisa lakini OIC hapana kwa vile kuna neno uislam.
Tuache undumi la kuwili.
Kama wakristo wasaidiwe na kutoa huduma well fine ni jambo jema lakini hilo na kwa waislam pia.
Ila kwa waislam kuna zuio.
Hapo ndio ninaposema why zisaidiwe 69b kila mwaka?
 
Kwa nini isiweze ?
69b miaka kumi ni ngapi?
Ngapi zingejengwa?
Hapo miaka ya nyuma ilipo geresha kuwa imetaifisha mbona wakiziendesha?
Nipo neutral katika suala zima la serikali kutokuwa na dini na katika hili ni kuacha kuwa dkuble standard.
Kuna mou na serikali ya ujerumani kuilazimisha serikali kusaidia makanisa lakini OIC hapana kwa vile kuna neno uislam.
Tuache undumi la kuwili.
Kama wakristo wasaidiwe na kutoa huduma well fine ni jambo jema lakini hilo na kwa waislam pia.
Ila kwa waislam kuna zuio.
Hapo ndio ninaposema why zisaidiwe 69b kila mwaka?

sasa nimeelewa tatizo lako,kumbe tatizo ni huduma kutolewa na taasisi za kikristo na si uhalali wa utaratibu wa kuziwezesha taasisi binafsi kutoa huduma.Serikali haiwezi kuacha fursa za maendeleo kisa waislam hawatafurahi japo wananufaika na huduma hizo.Hata kama serikali ikitaifisha taasisi hizi,gharama za uendeshaji ikiwa ni pamoja na madawa,vifaa,vyakula,mishahara nk zitakuwa ni kubwa kuliko hizo 69 b unazotaja kwa mwaka,hapo hujaweka gharama za ujenzi.Usiwe mlalamishi tu,jengeni hospitali then mtoe huduma bila ubaguzi muone kama ruzuku hamtapata.mfano mzuri ni chuo cha moro,mmekifanya kuwa cha waislamu pekee wakati mmepewa bure na serikali.
Hivi unayajua maazimio ya OIC au umeandika tu?sidhani kama mtu timamu baada ya kusoma maazimio yale anaweza kuwaunga mkono.
Madai kama haya ni ya mtu asiyejua anachopigania,huduma ambazo mimi na wewe tunapata imekuwa nongwa kisa tu zinatolewa na taasisi za kikristo.
 
Back
Top Bottom