Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,547
- 34,873
Mkuu, hata Chechnya iliwahi kuwa na makundi kama haya japo ilikuwa chini ya himaya ya Urusi.Hapana, ni huyu mmakonde ni mwenzetu kabisa na ni zao la Nachingwea.
Hivyo kama magaidi wameingia Msumbiji na yeye yupo, wewe waona nisimpe changamoto?
Hivyo kuzuka kwa haya makundi haijalishi nani yupo madarakani.