Ushauri kwa Mwanajamiiforum Frey Cosseny baada ya hukumu

Ushauri kwa Mwanajamiiforum Frey Cosseny baada ya hukumu

Napenda kumshauri kada huyu wa CCM ambaye alitumia nguvu nyingi sana kumtetea ole Sabaya kwakua walikua ni genge moja, ametishia sana watu na kujiona kua yeye ndio chama na yeye ni kila kitu.

Asome alama za nyakati, kuishi kwa kutegemea kuumiza wenzako laana ya Mola haitakuacha salama. Tena ana bahati huyu mtu alitakiwa naye awe ndani. Kutwa nzima alikua akimtetea Sabaya anajua walichokuwa wanakifanya.
Mmh
 
Niliwahi kusema humu watekaji wamo pia.

Aliyemtishia Ben Saanane yumo humu.

Aliyemmaliza Thadei Ole Mushi yumo humu.

Na sasa hili genge la kumshambulia Kitima limo humu.

Kinachoshangaza ni hawa watekaji kuamini kila siku wataendelea hivyo hivyo bila kujulikana na pia siku zote wataendelea kupata immunity kutoka serikali ya CCM.

Huyu Frey siamini kama kakamatwa kweli kama wamemkamata polisi watuonyeshe picha na ukitaka kuona ni story za kubumba ni kuwa kachapisha hilp bandiko shambulizi la Kitima ni siku 2 mbele , polisi wakadai wanamshikilia mtu mwingine kabisa wa kuitwa Rahul.

Ghafla Bashungwa anaibuka anaagiza huyu Frey akamatwe.

Swali la kujiuliza zile screenshot watu walizoweka kwenye page ya polisi kule X , kuhusu bandiko la huyo kibaka polisi walikuwa hawazioni hadi siku 2 zipite ndio wakamkamate kwa agizo la Bashungwa?


Hapa ni mchezo wa policcm, hawa watekaji raia wanatakiwa kudeal nao ground tu sababu imani na polisi haipo tena.
 
Ila hayuko active kuanzia Januari 2021
Walipumzika wengi tu sio huyo sasa naona huyu mama kaenda kupitia archives za yale magenge anawarudisha.

Hata baada ya jiwe kufa kuna magenge yalikuwa disbanded wengine walimalizana kimya kimya wengine wakatupwa vyeo vya chini.

Kwanini tunajua ni sababu hao watu walikuwa na ndugu jamaa na marafiki ambao walikuwa hawapendi kila aina ya matendo maovu ya utawala ule hivyo kuna taarifa zilikuwa zinatoka kuepusha mengi.

Ni insiders ndio waliwasaidia Lissu,Lema ,Mbowe na kina Hilda kukimbia nchi baada ya uchafuzi mkuu 2020.
 
Niliwahi kusema humu watekaji wamo pia.

Aliyemtishia Ben Saanane yumo humu.

Aliyemmaliza Thadei Ole Mushi yumo humu.

Na sasa hili genge la kumshambulia Kitima limo humu.

Kinachoshangaza ni hawa watekaji kuamini kila siku wataendelea hivyo hivyo bila kujulikana na pia siku zote wataendelea kupata immunity kutoka serikali ya CCM.

Huyu Frey siamini kama kakamatwa kweli kama wamemkamata polisi watuonyeshe picha na ukitaka kuona ni story za kubumba ni kuwa kachapisha hilp bandiko shambulizi la Kitima ni siku 2 mbele , polisi wakadai wanamshikilia mtu mwingine kabisa wa kuitwa Rahul.

Ghafla Bashungwa anaibuka anaagiza huyu Frey akamatwe.

Swali la kujiuliza zile screenshot watu walizoweka kwenye page ya polisi kule X , kuhusu bandiko la huyo kibaka polisi walikuwa hawazioni hadi siku 2 zipite ndio wakamkamate kwa agizo la Bashungwa?


Hapa ni mchezo wa policcm, hawa watekaji raia wanatakiwa kudeal nao ground tu sababu imani na polisi haipo tena.
Hao jamaa ni watekaji wa muda mrefu. Na polisi haiwafanyi kitu
20250506_091432.jpg
 
Napenda kumshauri kada huyu wa CCM ambaye alitumia nguvu nyingi sana kumtetea ole Sabaya kwakua walikua ni genge moja, ametishia sana watu na kujiona kua yeye ndio chama na yeye ni kila kitu.

Asome alama za nyakati, kuishi kwa kutegemea kuumiza wenzako laana ya Mola haitakuacha salama. Tena ana bahati huyu mtu alitakiwa naye awe ndani. Kutwa nzima alikua akimtetea Sabaya anajua walichokuwa wanakifanya.
Kumbe huyu jambazi ameanza siku nyingi kutishia watu na kushirikiana na wauaji kama Sabaya na Makonda
 
Niliwahi kusema humu watekaji wamo pia.

Aliyemtishia Ben Saanane yumo humu.

Aliyemmaliza Thadei Ole Mushi yumo humu.

Na sasa hili genge la kumshambulia Kitima limo humu.

Kinachoshangaza ni hawa watekaji kuamini kila siku wataendelea hivyo hivyo bila kujulikana na pia siku zote wataendelea kupata immunity kutoka serikali ya CCM.

Huyu Frey siamini kama kakamatwa kweli kama wamemkamata polisi watuonyeshe picha na ukitaka kuona ni story za kubumba ni kuwa kachapisha hilp bandiko shambulizi la Kitima ni siku 2 mbele , polisi wakadai wanamshikilia mtu mwingine kabisa wa kuitwa Rahul.

Ghafla Bashungwa anaibuka anaagiza huyu Frey akamatwe.

Swali la kujiuliza zile screenshot watu walizoweka kwenye page ya polisi kule X , kuhusu bandiko la huyo kibaka polisi walikuwa hawazioni hadi siku 2 zipite ndio wakamkamate kwa agizo la Bashungwa?


Hapa ni mchezo wa policcm, hawa watekaji raia wanatakiwa kudeal nao ground tu sababu imani na polisi haipo tena.
Aliyemuua brother Thadei ole Mushi Kwa kumuwekea sumu ni member mwenzetu humu mangi uchwara Gilbert A Massawe. Na Yuko active ila ajue we're tracking him, we'll find him and fix him up.

Nyau de adriz
 
Napenda kumshauri kada huyu wa CCM ambaye alitumia nguvu nyingi sana kumtetea ole Sabaya kwakua walikua ni genge moja, ametishia sana watu na kujiona kua yeye ndio chama na yeye ni kila kitu.

Asome alama za nyakati, kuishi kwa kutegemea kuumiza wenzako laana ya Mola haitakuacha salama. Tena ana bahati huyu mtu alitakiwa naye awe ndani. Kutwa nzima alikua akimtetea Sabaya anajua walichokuwa wanakifanya.
Duh!..
 
Aliyemuua brother Thadei ole Mushi Kwa kumuwekea sumu ni member mwenzetu humu mangi uchwara Gilbert A Massawe. Na Yuko active ila ajue we're tracking him, will find him and fix him up.

Nyau de adriz
Wewe bwege unataka kutolewa marinda?

Mpumbavu mimi nahusikaje na Kifo cha Mtu?

Anaetwaa uhai ni Mola acheni fix za kipumbavu na shoga mwenzio Chief Priest
 
Niliwahi kusema humu watekaji wamo pia.

Aliyemtishia Ben Saanane yumo humu.

Aliyemmaliza Thadei Ole Mushi yumo humu.

Na sasa hili genge la kumshambulia Kitima limo humu.

Kinachoshangaza ni hawa watekaji kuamini kila siku wataendelea hivyo hivyo bila kujulikana na pia siku zote wataendelea kupata immunity kutoka serikali ya CCM.

Huyu Frey siamini kama kakamatwa kweli kama wamemkamata polisi watuonyeshe picha na ukitaka kuona ni story za kubumba ni kuwa kachapisha hilp bandiko shambulizi la Kitima ni siku 2 mbele , polisi wakadai wanamshikilia mtu mwingine kabisa wa kuitwa Rahul.

Ghafla Bashungwa anaibuka anaagiza huyu Frey akamatwe.

Swali la kujiuliza zile screenshot watu walizoweka kwenye page ya polisi kule X , kuhusu bandiko la huyo kibaka polisi walikuwa hawazioni hadi siku 2 zipite ndio wakamkamate kwa agizo la Bashungwa?


Hapa ni mchezo wa policcm, hawa watekaji raia wanatakiwa kudeal nao ground tu sababu imani na polisi haipo tena.
Aliyemuua Thadei Ole Mushi ni Gilbert A Massawe na bado anaendelea kutisha watu humu JF
 
Wewe bwege unataka kutolewa marinda?

Mpumbavu mimi nahusikaje na Kifo cha Mtu?

Anaetwaa uhai ni Mola acheni fix za kipumbavu na shoga mwenzio Chief Priest
Damu ya Thadei bado inakutesa na itakutesa hadi siku unaingia kaburini. Hiyo hela uliyolipwa mbona haijakusiadia kimaisha hadi umewekwa kinyumba na basha wa kiarabu kule Masaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom