Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Declaration of interest:
========
mleta mada hii ana wake watatu ambao ni marafikiri na wanashirikiana na kusaidiana kwa karibu sana.
======÷==
Facts 15 kuhusu ndoa ukizitumia zitakusaidia.
1. Ndoa japo ya mke mmoja, kwa mwanaume ni kujivika majukumu. Kama haupendi majukumu usioe, kama unapenda oa.
2. Usioe ( japo mke mmoja ) kwa kutegemea starehe. Kama unapenda starehe, unaweza kupata starehe zaidi bila ndoa kuliko ndani ya ndoa. Oa kwa malengo ya kuwajibika na sio kustarehe, ukikutana na starehe mbele ya safari chukulia kama bahati tu(bonus).
3. Usioe mwanamke ukikusudia akusaidie kwa namna yoyote ile. Ukifanya hivyo unajiandaa kuwa disappointed. Oa mwanamke/ wanawake ukiwa umejiandaa kisaikolojia kuwa wewe ndio utam/utawasaidia, kwa lugha nyingine utakuwa mtumishi wake/wao kwa 100℅ . Hapo ndoa haitakuangusha kwa kuwa utakuwa huna cha kupoteza.
5. Usioe ili upate sex. Hiyo ni sehemu ndogo sana ya ndoa na baada ya muda mwanaume akishamzoea mwanamke anamuona wa kawaida. Kumbuka pia kuna kuzeeka na kupoteza mvuto. Aidha, siku hizi sex ni soo cheap. Kwa hiyo kuoa kwa lengo hilo ni kuanza kwa mguu wa kushoto.
6. Usioe kama una asili ya uchoyo. Ukishaoa ni kama unakuwa umejicommit kugawa vitu vyako kwa watu wengine. So kama una roho ya ubinafsi utaishi kwa shida sana.Ili ndoa isikupe stress oa kama wewe ni "giver" .ila kama ni "taker" au "matcher" ndoa waachie wenzio au ujiandae kuishi kwa mateso maisha yako yote.
7. Kama una wivu sana usioe. Ukioa ili uweze kuishi kwa amani, unatakiwa usiwe na wivu sana kwa sababu unayemuoa pia alikuwa na uhusiano na watu wengine kwa namna mbalimbali na huko anakopita anakutana na mengi.Kuwa na imani na mke/wake zako maadam hujaona jambo la kukudhuru.
8. Usimchunguze sana mwanamke. Maadam hajakudhuru na anakuheshimu na hujamuona akifanya kitu kisichokuwa cha kawaida. Vinginevyo unachokitafuta utakipata.
9. Watoto wa mke wako, amini ni wako bila kutaka ushahidi wa ziada. Usichunguze wala kuhoji. Aidha, hata ukibaini si wako, usipaniki, wapende na uwaleee kiroho safi kwani watoto ni watoto tu.
9. Ukioa mke/ wake, usiwe laizess affair sana. Demokrasia haifanyi kazi kwa hawa wenzetu. Wakati fulani kuwa na misimamo mikali. Wakibaini wewe ni tia maji tia maji, wanachukua uongozi wa familia wao, na wao wana option moja tu; Kukutawala kidikteta.Na
10. Usioe mke zaidi ya mmoja ukilenga kustarehe bali oa ukilenga kujiongezea majukumu ya ziada. Hautajuta kwa namna yoyote na ikitokea wakiwa wa msaada kwako, itakuwa added advantage.Aidha, hao wanawake wajue kabisa kuwa hujawaoa ili kuwatumia bali kuwatumikia/kuwajenga. Hapo ni rahisi ku maintain nidhamu.
Bonus
11. Sio kila mwanamke anayefaa kuoa, usikimbilie kuoa bali kuwa makini sana unamuoa nani au unawaoa kina nani. Tumia zaidi akili kuliko hisia pia epuka mashinikizo ya watu.
12. Ukiona unamfuatilia mwanamke na haziivi, usioe hata iwe vipi. Hiyo ni red light. Wewe jenga uhusiano mzuri tu na watu unaoona ni watu wema halafu mke/wake watakuja bila kutumia msuli.
13. Usioe kama huna uchumi wa kuweza kupata mahitaji ya msingi. Utaishia kujiona umelogwa kumbe ni mazingira tu.
14. Kuwa bahili sana wakati wa uchumba. Aidha, ukiona mwanamke hana huruma na hela yako, huyo hafai kuwa mke. Utalia. Mwanamke anayefaa kuwa mke anakuonea huruma na anaonea huruma mali/fedha zako kupotea ovyo.
15. Familia ni taasisi. Lazima taasisi iwe na mkuu wa taasisi mmoja na vision moja. Huyo ni mwanaume. Sikiliza ushauri ila anayetakiwa ku conclude ni wewe. Vinginevyo hamtoboi mwaka.
Niishie hapo kwa leo.
========
mleta mada hii ana wake watatu ambao ni marafikiri na wanashirikiana na kusaidiana kwa karibu sana.
======÷==
Facts 15 kuhusu ndoa ukizitumia zitakusaidia.
1. Ndoa japo ya mke mmoja, kwa mwanaume ni kujivika majukumu. Kama haupendi majukumu usioe, kama unapenda oa.
2. Usioe ( japo mke mmoja ) kwa kutegemea starehe. Kama unapenda starehe, unaweza kupata starehe zaidi bila ndoa kuliko ndani ya ndoa. Oa kwa malengo ya kuwajibika na sio kustarehe, ukikutana na starehe mbele ya safari chukulia kama bahati tu(bonus).
3. Usioe mwanamke ukikusudia akusaidie kwa namna yoyote ile. Ukifanya hivyo unajiandaa kuwa disappointed. Oa mwanamke/ wanawake ukiwa umejiandaa kisaikolojia kuwa wewe ndio utam/utawasaidia, kwa lugha nyingine utakuwa mtumishi wake/wao kwa 100℅ . Hapo ndoa haitakuangusha kwa kuwa utakuwa huna cha kupoteza.
5. Usioe ili upate sex. Hiyo ni sehemu ndogo sana ya ndoa na baada ya muda mwanaume akishamzoea mwanamke anamuona wa kawaida. Kumbuka pia kuna kuzeeka na kupoteza mvuto. Aidha, siku hizi sex ni soo cheap. Kwa hiyo kuoa kwa lengo hilo ni kuanza kwa mguu wa kushoto.
6. Usioe kama una asili ya uchoyo. Ukishaoa ni kama unakuwa umejicommit kugawa vitu vyako kwa watu wengine. So kama una roho ya ubinafsi utaishi kwa shida sana.Ili ndoa isikupe stress oa kama wewe ni "giver" .ila kama ni "taker" au "matcher" ndoa waachie wenzio au ujiandae kuishi kwa mateso maisha yako yote.
7. Kama una wivu sana usioe. Ukioa ili uweze kuishi kwa amani, unatakiwa usiwe na wivu sana kwa sababu unayemuoa pia alikuwa na uhusiano na watu wengine kwa namna mbalimbali na huko anakopita anakutana na mengi.Kuwa na imani na mke/wake zako maadam hujaona jambo la kukudhuru.
8. Usimchunguze sana mwanamke. Maadam hajakudhuru na anakuheshimu na hujamuona akifanya kitu kisichokuwa cha kawaida. Vinginevyo unachokitafuta utakipata.
9. Watoto wa mke wako, amini ni wako bila kutaka ushahidi wa ziada. Usichunguze wala kuhoji. Aidha, hata ukibaini si wako, usipaniki, wapende na uwaleee kiroho safi kwani watoto ni watoto tu.
9. Ukioa mke/ wake, usiwe laizess affair sana. Demokrasia haifanyi kazi kwa hawa wenzetu. Wakati fulani kuwa na misimamo mikali. Wakibaini wewe ni tia maji tia maji, wanachukua uongozi wa familia wao, na wao wana option moja tu; Kukutawala kidikteta.Na
10. Usioe mke zaidi ya mmoja ukilenga kustarehe bali oa ukilenga kujiongezea majukumu ya ziada. Hautajuta kwa namna yoyote na ikitokea wakiwa wa msaada kwako, itakuwa added advantage.Aidha, hao wanawake wajue kabisa kuwa hujawaoa ili kuwatumia bali kuwatumikia/kuwajenga. Hapo ni rahisi ku maintain nidhamu.
Bonus
11. Sio kila mwanamke anayefaa kuoa, usikimbilie kuoa bali kuwa makini sana unamuoa nani au unawaoa kina nani. Tumia zaidi akili kuliko hisia pia epuka mashinikizo ya watu.
12. Ukiona unamfuatilia mwanamke na haziivi, usioe hata iwe vipi. Hiyo ni red light. Wewe jenga uhusiano mzuri tu na watu unaoona ni watu wema halafu mke/wake watakuja bila kutumia msuli.
13. Usioe kama huna uchumi wa kuweza kupata mahitaji ya msingi. Utaishia kujiona umelogwa kumbe ni mazingira tu.
14. Kuwa bahili sana wakati wa uchumba. Aidha, ukiona mwanamke hana huruma na hela yako, huyo hafai kuwa mke. Utalia. Mwanamke anayefaa kuwa mke anakuonea huruma na anaonea huruma mali/fedha zako kupotea ovyo.
15. Familia ni taasisi. Lazima taasisi iwe na mkuu wa taasisi mmoja na vision moja. Huyo ni mwanaume. Sikiliza ushauri ila anayetakiwa ku conclude ni wewe. Vinginevyo hamtoboi mwaka.
Niishie hapo kwa leo.