Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

jamani wadau samahani naomba mnisaidie kuhusu hii form ya bodi ya mkopo ni lazima kuambatanisha cheti cha form six kwa maana mm nimemaliza mwaka huu na sina hicho cheti inakuaje??
 
jamani nisaidieni ... mm nilikuwa nalipa kwa mpesa ila nimekosea na pesa imekatwa .. je inaweza kurejeshwa ??
 
Jmani wakubwa mm nna orgnal dploma ya accountancy ila nna Gpa ya *3.5*frst yr na 3.0scond yr na nmesah apply nacte...what should i do now naomb ishauri wa any pocble way npate dgree
 
Mkuu mm nina CED ..comb EGM ..Eti nisome kozi gani na ARDHI vp naweza kupata? Msaada jaman
 
Nna diploma ya sec education GPA ya 2.9,nipo ktk mpango wa masomo,na cut off points ni 3.5,nifanyeje?
 
Naomba ushauri nili apply vyuo vitatu must,DIT and Arusha tech coz civil engineering.. Matokeo yangu nina D phy,D chemist,B math,C English,C geog,A kiswahil,C history,F bios, nimemaliza uganda ila baada ya kubadilisha ktk mfumo Wa necta nimepata hayo matokeo
 
CSE points 4.0 nmesoma cbg nahitaj kujua course nzuri tofauti na afya na education tafadhalin nisaidien ktk hili.... Ahsant
 
Lakini nikijaribu bahati yng sio mbaya? Ukilinganisha na ufaulu wa mwaka huu especially zanzibar watu 101 schule yetu tunaenda 44 pia ukilinganisha na admission ya wanafunzi wanaopokea naweza kujaribu? Na course ipi nyengine ukiacha naweza kupata ukiacha education
Jaribu coz hta mm ntajaribu japo ni cbg en nna CE
 
Nimesoma HGE nimepata
Dv 1.8
History C
Geography C
Economics B
G/s E
Bam E
Nataka nikasome ardhi faculty kama mbili hiv nataka ni apply sasa sijuh comb yangu inaruhusu ni B.Sc.building economics na B.Sc in building survey na ushaur kidogo kuhusu izo course asante wakubwa...
 
Naomba ushauri nili apply vyuo vitatu must,DIT and Arusha tech coz civil engineering.. Matokeo yangu nina D phy,D chemist,B math,C English,C geog,A kiswahil,C history,F bios, nimemaliza uganda ila baada ya kubadilisha ktk mfumo Wa necta nimepata hayo matokeo
Nenda Dit mkuu ila ukaze
 
Nimesoma HGE nimepata
Dv 1.8
History C
Geography C
Economics B
G/s E
Bam E
Nataka nikasome ardhi faculty kama mbili hiv nataka ni apply sasa sijuh comb yangu inaruhusu ni B.Sc.building economics na B.Sc in building survey na ushaur kidogo kuhusu izo course asante wakubwa...
 
Nimesoma HGE nimepata
Dv 1.8
History C
Geography C
Economics B
G/s E
Bam E
Nataka nikasome ardhi faculty kama mbili hiv nataka ni apply sasa sijuh comb yangu inaruhusu ni B.Sc.building economics na B.Sc in building survey na ushaur kidogo kuhusu izo course asante wakubwa...

Tafuta guide book ya TCU ya mwaka jana uangalie wakati ukisubiri ya mwaka huu,mara nyingi hazitofautiani sana
 
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.

Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.

Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.

Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.

Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.

Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.

Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.

Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Nina CED mkuu. Nimesoma EGM .olevo Nina 1 .12 vipi naweza kusomea nn chuo na VP ardhi naweza kupata? Ila education no tafadhali
 
Back
Top Bottom