emmadeclassic
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 304
- 133
kasome lab kcmc or bugandoMsaada nmesoma PCB nina EDC koz gan naweza somea na vyuo ambavyo vko vzur kwa izo kozi. msaada kwa anayejua
kasome lab kcmc or bugandoMsaada nmesoma PCB nina EDC koz gan naweza somea na vyuo ambavyo vko vzur kwa izo kozi. msaada kwa anayejua
gpa 3.5 ndo inatakiwaNna diploma ya sec education GPA ya 2.9,nipo ktk mpango wa masomo,na cut off points ni 3.5,nifanyeje?
mhh may be kiu na st joseph but ni probMimi hapa nimemaliza kidato cha sita mwaka Jana nimepata GPA Ya 2.7 nimesomaPCB Yani Nina DBB+ napenda pia kuwa daktari niombe chuo IPI?
Shukran mkuu, je nawez nkapata course ingne tofautOmba nursing_st john una chance kubwa yakupata.
jamani wadau samahani naomba mnisaidie kuhusu hii form ya bodi ya mkopo ni lazima kuambatanisha cheti cha form six kwa maana mm nimemaliza mwaka huu na sina hicho cheti inakuaje??[/QUO
ndio kama sickle cell anaemia ni ishu wewe. we nenda kapime utapewa nakala kutoka huko hospitali kwa ajili ya ku prove tatizo lako na heslb wataamini.Msaada pls unapojaza form ya loan F6 2016 kuna kipengele unajaza details if u have disability or not naomba kujuwa disability unayotakiwa kujaza km unayo ni ile ambayo kama vile upofu,ububu,ulemavu wa miguu mikono e.t.c au unajaza disabilty if u have any health problems like sickle cell anaemia, chronic asthma attack, allergy like skin medicine e.t.c pls naomba msaada
Ok thanx one more question km pia una ugonjwa wa pumu unaorodhesha? Au zinachukuliwa disability kubwa tu?ndio kama sickle cell anaemia ni ishu wewe. we nenda kapime utapewa nakala kutoka huko hospitali kwa ajili ya ku prove tatizo lako na heslb wataamini.
pia kama wazaz wana disability au wamefariki ambatanisha nakala kutoka kwa dokta au cheti cha kifo kama mzazi hayupo duniani. ni vipengele vitakavyokusaidia kupata mkopo mwingi zaid.
unatuma nakala halisi za hostipat ila kile cheti cha kifo, ila kama form four, form 6 au diploma wewe unatuma photocopy
pumu sii fahamu vizur kivile ngoja waje waheshimiwa huku wakusaidie. ila najua ishu kama kiwete, ajali ilosababisha kupoteza kiungo cha mwili, upofu wa macho, hiv n.k unaambatanishaOk thanx one more question km pia una ugonjwa wa pumu unaorodhesha? Au zinachukuliwa disability kubwa tu?
o level math na phy umefanya vizur? angalia chuo kinataka watu gani subiri waachie hiyo guide book ufate masharti ya chuo unacho applymimi nina diploma ya computer science gpa 4.0 naweza pata telecommunication?
cbg in general wanapigwa chini na komb ya pcb ila naamini ukicheki na vyuo vya private labaratory unapata kama kairuki, imtu huko na uhakika ila uwe una mihela ya kumwaga bana na heslb hawakupi hela inayozid 3.1 million. pia kampaya wana labaratory ila sikushauri uende apo chamsiing cheki hali ya hewa sasa maana ni ungozi wa magu huu. ada ya hivo vyuo ni 6million na usheeWakuu nina chemistry-D...biology.. D geography... C cz gani ya afya inanihusu na chuo ganii
pia ukiwa mjanja MD unasoma kwa vyuo vya kairuk, imtu but kampala na ukakasi nayo halafu omba archibishop james. fanya hivi MD kairuki, MD imtu, MD archibishop james, labaratory imtu, labaratory kampala ila naogopa kampala kweli panahitaji moyo apo.#big gifte na mm ni CBG nina chem na bio-D geo-C so mean 2-11 napenda sana cz za afya so nasomea nn hapo
acheki vyuo vya private kama imtu, kairuki, archibishop james, st francis na bugando kwa umbaliMdogo wangu ana DDE PCB anaweza kuchukua MD?
we unapenda nini? jaribu ila duu naona ushindani uppo ila ukikosa una apply second applicationNina CED nmesoma EGM ....O LEVEL nina 1.12 ..nataka nikasome ardhi je nitapata? Na course gan nichukue nzur ...msaada tafathali
jaribu labaratory vyuo vya private ila pesa ni nzito mle hakikisha mfuko wako unatunamkuu naomba ushauri nimepata CCD ya cbg nataka coz nzur ya afya
kule kuna ushinda ila nakushauri hiyo kampala itoe weka bugando nina imani huwezi kukosa kimoja wapo, na possibility kubwa utapata imtuAah asante kaka but vp kwa bugando
jaribu labaratory ila omba vyuo vya privateMkuu Nina div three ya 13 nmesom PCB naweza som courses gan y afya
Ufaulu ni EDD respectively
zipo law halaf embu pitia comment za nyuma tushalieleza hili. im sory im tired siwez chambua tenaWakuuu naomba ushauru mie nimesoma HGK na nimepata division one ya point 8 yaan BCC he naweza chukua faculty Gan tofauti na education