isaacaugust
Member
- Jul 9, 2016
- 99
- 30
Msaada nmesoma PCB nina EDC koz gan naweza somea na vyuo ambavyo vko vzur kwa izo kozi. msaada kwa anayejua
Hyo competition ni kubwa alaf EGM na PCM ndo huwa wanapewa kipaumbele mana wamesoma Adv mathNimesoma HGE nimepata
Dv 1.8
History C
Geography C
Economics B
G/s E
Bam E
Nataka nikasome ardhi faculty kama mbili hiv nataka ni apply sasa sijuh comb yangu inaruhusu ni B.Sc.building economics na B.Sc in building survey na ushaur kidogo kuhusu izo course asante wakubwa...
Unaweza lakini hutopataUshauri nimrmaliza form six
Nimepata physics d,chemistry d na math e je naweza apply udsm?
Utapata hiyo namba 2.Wakuu nimepata div two hv HGL=CDD
bnafc nimeazmia kuapply
1. health services management~mzumbe
2.bachelor of art with special education~udom
3.general agriculture~sua
je naweza kupata naombeni ushaur wenu
Broo hapo unamkatisha tamaa tu huyi dogo bure, kuna watu wamefeli form 4 wakareseat form 6 wakapata dvisn 1,, cha msing n yy akienda akapige msul wa kutosha tu atatoboa kwa one mbonaCIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/KIISLAMU - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D
Division 3 ya 23
Alafu sikupangiwa popote hebu nishauri nifanye nn malengo yangu ni kuwa daktari
hayo ni matokeo ya form four tena bora umekutana na mimi nikushauri, kwa ukweli wewe una uwezo wa kawaida. sikushauri uende form six kule ni kupoteza mda tuu ila kama una amin utapata division one basi nenda na iwe ya PCB hapo utaweza kujikinga kifua na kuomba kozi ya udaktari vyuo vya serikali kama muhasi, udsm na udom. ila kwa vyuo vya private pcb za division 2 hadi 3 unaenda iwe unataka udaktari, ufamasia au maabara. ila kwenu muwe mna pesa ada ni zaidi ya million 6. kwa vyuo vya imtu, hku, kairuki huko. kampala. ila vyuo kama archibishop james songea ada ni million 3 na ushee ivi, st francis morogoro ada ni million 3 kasoro. na jua kadri miaka ivavyozidi kwenda ada nayo inapata.
kcmc na bugando ata inakaribia million 3 ila lazima uwe umefaulu vizur pcb, ushindani upo man,
ushauri wangu achana na mambo ya advance sababu unautaka udaktari. kwan zinahitajika pcb za one ila unaweza kwenda kama utakuja kusoma vyuo vya private na hela yako juu. serikali inatoa mkopo kwa hela isiyozidi million 3.1 na hapo hiyo milliom3.1 ni full yan asilimia 100% sasa wewe kubata hiyo asimilia 100% inategemea kama umekidhi mahitaji na vigezo vyao, mfano kama umesoma serikalini kuanzia msingi, olevel na advance na vipengele vyao vingine unaweza pata asilimia 100% au usipate kabisa kama seriikali haina pesa hili ni swala la bahati ndugu. kuna mayatima waliambatanisha vyeti vyao na ulemavu wa wazazi wao lakini wapi hawakupata nawengine wakafunga safari hadi hadi bodi ya mkopo na hawakusaidiwa,
so ndugu we apply chuo cha diploma tena vya serikali wewe matokeo yakmo yanaruhusu kabisa na utapata nina imani.
nimejitahidi nimekuambia yote. ukiwa na tatizo zaid nicheki usiwe na hofu
xawa mkuu ila hyo ya kwanza unaionaje cwezi pata kweli usinichoke kwa maswali yanguUtapata hiyo namba 2.
Unaweza kupata,lakini ukishaweka tu kitu kinachoitwa education basi tegemea hiyo hiyo.Hata ukiweka last choice kuna lazima wakuchague education,kama unahitaji hiyo ya kwanza basi ondoa hiyo education.xawa mkuu ila hyo ya kwanza unaionaje cwezi pata kweli usinichoke kwa maswali yangu
Huyo mpeleke Mining or Mechanical na pia Water system and Irrigation engineering inalipa sana.PCM ana E za physics na Chemistry na D ya Maths naomba ushauri asome diploma ya fani ipi na iko chuo gani?
Kachukue Law.Wakuuu naomba ushauru mie nimesoma HGK na nimepata division one ya point 8 yaan BCC he naweza chukua faculty Gan tofauti na education
Omba nursing_st john una chance kubwa yakupata.Mkuu Nina div three ya 13 nmesom PCB naweza som courses gan y afya
Ufaulu ni EDD respectively
[Nashukuru mkuuKachukue Law.
Msaada pls unapojaza form ya loan F6 2016 kuna kipengele unajaza details if u have disability or not naomba kujuwa disability unayotakiwa kujaza km unayo ni ile ambayo kama vile upofu,ububu,ulemavu wa miguu mikono e.t.c au unajaza disabilty if u have any health problems like sickle cell anaemia, chronic asthma attack, allergy like skin medicine e.t.c pls naomba msaadarudia kusoma tena ndugu yangu