Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Msaada nmesoma PCB nina EDC koz gan naweza somea na vyuo ambavyo vko vzur kwa izo kozi. msaada kwa anayejua
 
Nimesoma HGE nimepata
Dv 1.8
History C
Geography C
Economics B
G/s E
Bam E
Nataka nikasome ardhi faculty kama mbili hiv nataka ni apply sasa sijuh comb yangu inaruhusu ni B.Sc.building economics na B.Sc in building survey na ushaur kidogo kuhusu izo course asante wakubwa...
Hyo competition ni kubwa alaf EGM na PCM ndo huwa wanapewa kipaumbele mana wamesoma Adv math

Kwa nin usijaribu Land valuation au Agricultural and Natural Resources Economics and Business ya UDSM
 
Wakuu nimepata div two hv HGL=CDD
bnafc nimeazmia kuapply
1. health services management~mzumbe
2.bachelor of art with special education~udom
3.general agriculture~sua

je naweza kupata naombeni ushaur wenu
 
Wakuu nimepata div two hv HGL=CDD
bnafc nimeazmia kuapply
1. health services management~mzumbe
2.bachelor of art with special education~udom
3.general agriculture~sua

je naweza kupata naombeni ushaur wenu
Utapata hiyo namba 2.
 
Malengo yako unaweza kuyatimiza, cha kufanya kama una uwezo nenda kaombe shule za private ukaanze advance hyo PCB
 
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/KIISLAMU - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D
Division 3 ya 23
Alafu sikupangiwa popote hebu nishauri nifanye nn malengo yangu ni kuwa daktari
Broo hapo unamkatisha tamaa tu huyi dogo bure, kuna watu wamefeli form 4 wakareseat form 6 wakapata dvisn 1,, cha msing n yy akienda akapige msul wa kutosha tu atatoboa kwa one mbona
hayo ni matokeo ya form four tena bora umekutana na mimi nikushauri, kwa ukweli wewe una uwezo wa kawaida. sikushauri uende form six kule ni kupoteza mda tuu ila kama una amin utapata division one basi nenda na iwe ya PCB hapo utaweza kujikinga kifua na kuomba kozi ya udaktari vyuo vya serikali kama muhasi, udsm na udom. ila kwa vyuo vya private pcb za division 2 hadi 3 unaenda iwe unataka udaktari, ufamasia au maabara. ila kwenu muwe mna pesa ada ni zaidi ya million 6. kwa vyuo vya imtu, hku, kairuki huko. kampala. ila vyuo kama archibishop james songea ada ni million 3 na ushee ivi, st francis morogoro ada ni million 3 kasoro. na jua kadri miaka ivavyozidi kwenda ada nayo inapata.
kcmc na bugando ata inakaribia million 3 ila lazima uwe umefaulu vizur pcb, ushindani upo man,

ushauri wangu achana na mambo ya advance sababu unautaka udaktari. kwan zinahitajika pcb za one ila unaweza kwenda kama utakuja kusoma vyuo vya private na hela yako juu. serikali inatoa mkopo kwa hela isiyozidi million 3.1 na hapo hiyo milliom3.1 ni full yan asilimia 100% sasa wewe kubata hiyo asimilia 100% inategemea kama umekidhi mahitaji na vigezo vyao, mfano kama umesoma serikalini kuanzia msingi, olevel na advance na vipengele vyao vingine unaweza pata asilimia 100% au usipate kabisa kama seriikali haina pesa hili ni swala la bahati ndugu. kuna mayatima waliambatanisha vyeti vyao na ulemavu wa wazazi wao lakini wapi hawakupata nawengine wakafunga safari hadi hadi bodi ya mkopo na hawakusaidiwa,
so ndugu we apply chuo cha diploma tena vya serikali wewe matokeo yakmo yanaruhusu kabisa na utapata nina imani.
nimejitahidi nimekuambia yote. ukiwa na tatizo zaid nicheki usiwe na hofu
 
Wakuuu naomba ushauru mie nimesoma HGK na nimepata division one ya point 8 yaan BCC he naweza chukua faculty Gan tofauti na education
 
PCM ana E za physics na Chemistry na D ya Maths naomba ushauri asome diploma ya fani ipi na iko chuo gani?
 
xawa mkuu ila hyo ya kwanza unaionaje cwezi pata kweli usinichoke kwa maswali yangu
Unaweza kupata,lakini ukishaweka tu kitu kinachoitwa education basi tegemea hiyo hiyo.Hata ukiweka last choice kuna lazima wakuchague education,kama unahitaji hiyo ya kwanza basi ondoa hiyo education.
 
Nina CED nmesoma EGM ....O LEVEL nina 1.12 ..nataka nikasome ardhi je nitapata? Na course gan nichukue nzur ...msaada tafathali
 
rudia kusoma tena ndugu yangu
Msaada pls unapojaza form ya loan F6 2016 kuna kipengele unajaza details if u have disability or not naomba kujuwa disability unayotakiwa kujaza km unayo ni ile ambayo kama vile upofu,ububu,ulemavu wa miguu mikono e.t.c au unajaza disabilty if u have any health problems like sickle cell anaemia, chronic asthma attack, allergy like skin medicine e.t.c pls naomba msaada
 
Wakuu nina chemistry-D...biology.. D geography... C cz gani ya afya inanihusu na chuo ganii
 
Back
Top Bottom