Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

unaweza mkuu samahani sana nilikosea kukujibu, umefanya vizuri, kozi zipo nzuri sababu marketi ndo kila kitu kinachohitajika ni competence yako, yani skills zako na kusaka madili ndo zitawashawishi waajiri wakupe kibarua, usiangalie tuu GPA kubwa bali angalia na ushawishi wako kwenye nyanja husika. kuna kozi kama agrobusiness hii kwa maono yanu ina futute nzuri ipo sua na ukiomba unapata hata udsm ipo
Nashukuru sana kaka, siku njema!
 
hayo ni matokeo ya form four tena bora umekutana na mimi nikushauri, kwa ukweli wewe una uwezo wa kawaida. sikushauri uende form six kule ni kupoteza mda tuu ila kama una amin utapata division one basi nenda na iwe ya PCB hapo utaweza kujikinga kifua na kuomba kozi ya udaktari vyuo vya serikali kama muhasi, udsm na udom. ila kwa vyuo vya private pcb za division 2 hadi 3 unaenda iwe unataka udaktari, ufamasia au maabara. ila kwenu muwe mna pesa ada ni zaidi ya million 6. kwa vyuo vya imtu, hku, kairuki huko. kampala. ila vyuo kama archibishop james songea ada ni million 3 na ushee ivi, st francis morogoro ada ni million 3 kasoro. na jua kadri miaka ivavyozidi kwenda ada nayo inapata.
kcmc na bugando ata inakaribia million 3 ila lazima uwe umefaulu vizur pcb, ushindani upo man,

ushauri wangu achana na mambo ya advance sababu unautaka udaktari. kwan zinahitajika pcb za one ila unaweza kwenda kama utakuja kusoma vyuo vya private na hela yako juu. serikali inatoa mkopo kwa hela isiyozidi million 3.1 na hapo hiyo milliom3.1 ni full yan asilimia 100% sasa wewe kubata hiyo asimilia 100% inategemea kama umekidhi mahitaji na vigezo vyao, mfano kama umesoma serikalini kuanzia msingi, olevel na advance na vipengele vyao vingine unaweza pata asilimia 100% au usipate kabisa kama seriikali haina pesa hili ni swala la bahati ndugu. kuna mayatima waliambatanisha vyeti vyao na ulemavu wa wazazi wao lakini wapi hawakupata nawengine wakafunga safari hadi hadi bodi ya mkopo na hawakusaidiwa,
so ndugu we apply chuo cha diploma tena vya serikali wewe matokeo yakmo yanaruhusu kabisa na utapata nina imani.
nimejitahidi nimekuambia yote. ukiwa na tatizo zaid nicheki usiwe na hofu
Kama chuo gani
Mana mm kwetu ndio mtoto wa kwqnza alafu wazazi wangu hawakusoma mpaka level za juu ila kwa uwezo wa kipesa tunao mungu anasaidia sasa hebu nishauri jinsi ya kuapply kwenye hcho chuo unachosema please....
Unaweza nisaidia kwa njia ya whatsapp
No. 0672191555

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
mimi nimepata DIVISION TWO YA POINT 10
ENG D
HISTORY C
KISWAHIL C
GS E
HKL
JE NITAPATA UDSM KWA KOZI YA BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION?
NAOMBA MNISAIDIE
 
Mkuu Kwani Kichwa Cha Habari si Kiko Hivi "Ushauri Kuhusu Ku apply Vyuo Vikuu 2016/2017".

Sasa Hujajua tu Kuwa Huu Uzi unawahusu Wale WaitList Wanaosubiri Kuingia Vyuo Viku?? au nawewe unataka kwenda Chuo?
Najua nyinyi ni wakubwa zangu nilipo mm mushapapita so sio vibaya kuwaomba ushauri
 
Kama chuo gani
Mana mm kwetu ndio mtoto wa kwqnza alafu wazazi wangu hawakusoma mpaka level za juu ila kwa uwezo wa kipesa tunao mungu anasaidia sasa hebu nishauri jinsi ya kuapply kwenye hcho chuo unachosema please....
Unaweza nisaidia kwa njia ya whatsapp


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
usijali ntakucheki kuwa na amnai hapa umefika. halafu ukituma namba za simu hakikisha unatumia mtu pm, usiziweke mtandaoni ni kubata sana.
nakushauri edit hiyo post au delete kabisa sio poa kwa usalama wako. uwe unampa mtu pm kabisa
 
mimi nimepata DIVISION TWO YA POINT 10
END D
HISTORY C
KISWAHIL C
GS E
JE NITAPATA UDSM KWA KOZI YA BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION?
NAOMBA MNISAIDIE
omba ndio utaweza pata kinachozingua ni ushindani tuu ila sidhani we unaingia
 
Chem E BIOS E na geo D bam Nina F naomba ushauri nikasomee nn mie nshaurini bas
 
omba ndio utaweza pata kinachozingua ni ushindani tuu ila sidhani we unaingia
NA MKUU JE UNAURUHUSIWA KUOMBA KOZI AINA MOJA KATIKA VYUO VYOTE VITANO
YAANI
UDSM-BAED
DUCE-BAED
SUZA-BAED
etc
msaada please
 
NA MKUU JE UNAURUHUSIWA KUOMBA KOZI AINA MOJA KATIKA VYUO VYOTE VITANO
YAANI
UDSM-BAED
DUCE-BAED
SUZA-BAED
etc
msaada please
ndio inawezekama kabisa.
unaruhusiwa kuomba mara mbili chuo kimoja kwa kozi tofauti
unaruhusiwa kuomba sio chini ya vyuo vitatu kwenye idadi ya vyuo unavyoomba
unaruhusiwa kuomba si chini ya vyuo vitatu au zaidi ya vyuo vitano unavyoomba kwa ujumla.
natumai hapo umeelewa
 
Mkuu na mimi mwenye E,D,D toka CBG kozi gani itanifaa?
horticulture, medical labaratory ila kwa vyuo vya private. education, IT ,nutrition ipo sua, forestry, food processing, na zile za kilimo. sasa sema ulikua unataka kuwa nani?
 
ingia www.tcu.go.tz halafu angalia upande wa announcement na matangazo kwa ujumla utaona habari imeandikwa admission book for student 2016/2017 click i download ndo yenyewe
ok nmeshakupata
but ile iko muda sasa but ukifungua inaandika will be released soon as possible
so bado ndugu
 
Back
Top Bottom