Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Mimi hapa nimemaliza kidato cha sita mwaka Jana nimepata GPA Ya 2.7 nimesomaPCB Yani Nina DBB+ napenda pia kuwa daktari niombe chuo IPI?
 
Kwahiyo hiyo kozi ya Water engineering ya chuo cha majin ubungo anaweza kupata ajira kweli?
 
Kwahiyo hiyo kozi ya Water engineering ya chuo cha majin ubungo anaweza kupata ajira kweli?
Sisi mkuu hatutoi ajira humu,lakini hiyo course ipo cruster 1,pamoja na course za afya.Kwa maana hiyo kuna chance kubwa yakupata kazi lkn sio kwamba lazima upate kazi,hatujui mpaka unamaliza itakuwa na uhitaji kiasi gani ukilinganisha na sasa.
 
mbona watanzania hampendi huambiwa ukweli. hayo maelezo yako hapo juu inaonyesha unaringa kabisa.
pia hujaombwa uje uombe ushari kwenye huu uzi sisi tunataka watu wenye nia ya dhati ya kusoma. majivuno yako baki nayo moyoni huku hadi 1 za 3 zipo wala humtishi mtu humu, we vipi
Mungu aponye ulimi wako tu
 
sijamaanisha hvyo,unawakatsha tamaa wenzako wanaotaka kujua,utakuta mwingne hata simu yenye internet hakuna na utakuta hata internet yenyewe inasumbua ,hvyo anakuja hapa kutaka msaada lakin ndugu yangu wew unamkatsha tamaa
kila mtu ana vision lakn kuna vkwazo vya kuifkia vision yako ,lakin sio kwamba hajui asomee nini chuo kikuu,inawezekana hata wewe baada ya kumaliza form four ulitaman kwenda advance lakin alama hazkutosha ukaenda diploma ili tu ufkie malengo yako
.hvyo sio wote wanaoenda vyuo vkuu now kwa koz za matakwa yao.
keep in your mind
na sorry kwa lugha niliyotumia kama imekukera

Lugha yako haikunikera, kutokua na simu au access ya internet inawezaje kuwa ndiyo sababu ya kutokujua usome nini katika hatua ya digrii ? Unataka uniaminishe kwamba ili mtu ajue kuwa anapenda kusoma ualimu, sheria, udaktari, usimamizi wa biashara, kilimo na mengineyo ni LAZIMA KWANZA awe na access ya internet ? Kwani wanaishi jangwani ? Hawawaoni hao walimu, madaktari na wengineo huko wanakoishi wakawa-inspire ?
Na kama unachokizungumza ni kweli, wanawezaje kuingia JF bila kuwa na access ya internet ?
Kitu ambacho pengine hatujaelewana ni kwamba mimi sikatai mtu kuomba ushauri kuhusu kozi ya kusoma, ila ninapata wasiwasi pale mtu anapokuja kuweka matokeo yake hapa na kuanza kusubiri ushauri, haonyeshi kuwa alikua na dira yoyote wala malengo juu ya mstakabali wake mwenyewe. Naona ingeleta tija zaidi mtu anaposema kwa matokeo haya ninaweza kusoma SHERIA mathalan, kwa sababu katika maisha nilikua natamani au nina ndoto ya kua mwanasheria na aulize pengine kuna fursa zipi katika hiyo nyanja na mengine kedekede yanayohusu hilo suala lake.

Nimetoa maoni yangu hapa umenijia juu ukinambia "WEWE NI DIPLOMA HALAFU UNAJIFANYA UNAJUA KILA KITU", labda ilihitaji niwe na digrii ya kwanza, ya pili au ya tatu ndio niweze kuzungumza haya.
By the way tuwaache wahitimu wa kidato cha sita wauishi huu msemo "ASIYEJUA AENDAKO, NJIA YOYOTE HUMFIKISHA" kwa sababu wewe umetaka.

Ni mtazamo wangu tu, samahani kwa waraka.
 
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.

Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.

Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.

Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.

Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.

Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.

Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.

Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Nimeipenda
 
Mimi hapa nimemaliza kidato cha sita mwaka Jana nimepata GPA Ya 2.7 nimesomaPCB Yani Nina DBB+ napenda pia kuwa daktari niombe chuo IPI?
omba udom, bugando, st fransis, archibosho james imtu kairuki
 
Lugha yako haikunikera, kutokua na simu au access ya internet inawezaje kuwa ndiyo sababu ya kutokujua usome nini katika hatua ya digrii ? Unataka uniaminishe kwamba ili mtu ajue kuwa anapenda kusoma ualimu, sheria, udaktari, usimamizi wa biashara, kilimo na mengineyo ni LAZIMA KWANZA awe na access ya internet ? Kwani wanaishi jangwani ? Hawawaoni hao walimu, madaktari na wengineo huko wanakoishi wakawa-inspire ?
Na kama unachokizungumza ni kweli, wanawezaje kuingia JF bila kuwa na access ya internet ?
Kitu ambacho pengine hatujaelewana ni kwamba mimi sikatai mtu kuomba ushauri kuhusu kozi ya kusoma, ila ninapata wasiwasi pale mtu anapokuja kuweka matokeo yake hapa na kuanza kusubiri ushauri, haonyeshi kuwa alikua na dira yoyote wala malengo juu ya mstakabali wake mwenyewe. Naona ingeleta tija zaidi mtu anaposema kwa matokeo haya ninaweza kusoma SHERIA mathalan, kwa sababu katika maisha nilikua natamani au nina ndoto ya kua mwanasheria na aulize pengine kuna fursa zipi katika hiyo nyanja na mengine kedekede yanayohusu hilo suala lake.

Nimetoa maoni yangu hapa umenijia juu ukinambia "WEWE NI DIPLOMA HALAFU UNAJIFANYA UNAJUA KILA KITU", labda ilihitaji niwe na digrii ya kwanza, ya pili au ya tatu ndio niweze kuzungumza haya.
By the way tuwaache wahitimu wa kidato cha sita wauishi huu msemo "ASIYEJUA AENDAKO, NJIA YOYOTE HUMFIKISHA" kwa sababu wewe umetaka.

Ni mtazamo wangu tu, samahani kwa waraka.
ok nmekuelewa ndugu.
 
Ushauri ni jambo la muhimu kwani vijana wengi hujikuta wakiingia mkenge ktk machaguo yao na wakija kushtuka hakuna namna tena.
 
yap nakukubali sababu uko vizuri na umeyaelewa maelezo yangu. pia nikupongeze kwa GPA kali hapo omba UDOM MD ya kwanza, halafu sababu kuna intake maalumu imetengewa kwa ajili ya diploma omba UDSM, MUHAS, KCMC, CUHAS/BUGANDO au ST FRANCIS morogoro
unapewa slot 5 za kujaza fata mtiririko nliokupa nakwambia hukosi ndugu amini nakuambia. ada vyuo vyya serikali ni million1.8 halaf kcmc ada ni milion 3.1 na 3.7 cuhac st francis ni 2.6m hizi takwimu zangu ni za mwaka jana sijajua kama wamepandisha,
karibu sana ukiwa na tatizo jingine
Thankx Mkuu! You have opened my eyes from deep sleep.
 
je
NIT hiyo kozi inaushindani sana, yani hapo hadi pcb, pcm, pgb, cbg, egm, hge na kombi zote kavu wanaruhissiwa kuomba na si unajua tena science inapewa kipaumbele. atleast ungekua umesoma hge na una divsin two ningeweza kukushauri omba. ila kweli transpot and logistic huipati kwa kozi yako.
fanya plan b
akiomba education hapo anaweza akapata
 
Back
Top Bottom