NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,246
omba hizi:Baada ya matokeo kutoka kwa kwel cielewi hata niende kozi ipi sababu yametoka nje ya malengo kabsaa! ushauli tafadhal koz gani yenye sokn kwenye ajira itakayonifaa kutokana na ufaulu wangu wa E-Chem, D-georg & bios D
1. animal science-sua
2. agriculture general -sua
3. agronomy-sua
4. education-udzm
5. education -duse