Ushauri; Kazi inaelekea kunishinda

Ushauri; Kazi inaelekea kunishinda

Kazi std ni masaa 8 kwa siku x 5 days per week, hii hufanya kuwa jumla kuwa masaa 40 kwa wiki. Ukitakiwa ufanye overtime ni maximum 10 ours per week, hivo jumla maximum ni masaa 50 kwa wiki. Nje ya hapo ni unyonyaji na utumwa.
Wewe mdanganye tu, ajira ngumu kupatikana. Utatembea na bahasha za khaki zikiwa na certifictaes hadi zitageuka rangi na kuwa nyeusi na bado hujapata hata kibarua. Vumilia kijana
 
.........haya,kuwa uyaone!!!yaani unatoka chuo tu unaleta pozi hivyo?*****,me naamka sa tisa alfajiri,ofsini natakiwa saa moja kamili.kurudi,nafika home sa nne(Kiluvya). Huu mwaka wa saba sasa(masters holder),am i a fool?nyie ndio mlikuwa mnatumia madesa chuoni na wala hamjui kutoboa ozone na mna wajomba kibao vyuoni!!!hvivi mungu,kwa nini ulimfanya huyu amalize chuo?angefeli,afanye maisha ya mtaa
 
mkiambiwa wavivu mnasema mmetukanwa mnadharauliwa. hivi wewe kuamka saaa 11 asbui unaona ni tatizo? kurudi saa 2 usk unaona ni tatizo?? halafu hata kazi hujui bado ndo unajifunza, lakini unaanza na mtazamo hasi, ukirudi nyumbani saa kumi na nusu jioni unaweza kutuambia utakuwa unafanya nini???, au unaweza kutuambia kikubwa unachofanya weekend ambacho gharama yake ni wewe kukimbia kazi?.

iache hiyo kazi, itakufundisha kazi

Mkuu hapo sio swala la uvivu, hata maroboti huwa yanapumzishwa. Hata kama angekuwa analipwa vizuri kiasi gani lakini kazi bila hata singo day a week kujirestisha in peace ( Sorry namaanisha kujipumzisha) nikujipunguzia siku za kuishi kwa uchovu ambao baadaye utapelekea msongo wa mawazo. Jamaa anatakiwa aanze kutafuta ustaarabu mwingine. But asiache kabla hajapata kazi.
 
Kwani we hukusaini nao mkataba?walikuelewesaha kazi zako ni zipi na makubaliano mengine.mlikubaliana mshahara utakaolipwa?Je uliwauliza ukifanya kazi nje ya mkataba itakuwa vp?Kuna mdau katoa maoni mazuri sana, soma sheria,fuata mkataba wako wa kazi, ukishindwa usikurupuke, usije ona cha moto. Kazi inataka uelewa na uvumilivu mzee ukizingatia hata mwaka mmoja hauna,kwanza una bahati ya kupata kazi bila kusota, suala la mshahara mdo ni makubariano yenu, unauona mdogo kwa kuwa umeshapata kazi, wakati huna kazi ulikuwa unatamani hata mshahara pungufu ya huo. Sasa waweza anza kutafuta kazi nyingine kln bila kuonesha kiburi kwa bosi wako hata kidogo, ukipata sehemu nyingine fuata taratibu zote, waage na uondoke kwa amani.
 
Im afraid to say that your fool but you dont know your rights. masters holder hujui haki zako
sheria zipo kwa ajili gani? kulinda haki na maslahi ya mfanyakazi. mda wa kazi ni saa 8 au 9 zaidi ya hapo lazima ulipwe overtime
someni hiyo sheria na waambieni waajiri wenu kama wanafanya kinyume na hapo: watanzania tunateseka au kunyonywa kwa vile hatuji haki zetu..ofisi zenu hazina watu wa Human resource? hakuna kitengo cha kuripoti kero? amkeni we na masters miaka 7 hujui haki zako? kwani hakuna kazi sehemu nyingine kama unauzika utapata kazi.
tembeleeni watu wa CMA(comimission for Mediation and Arbitration) kila wilaya wana ofisi watawapa shauri zaidi na hatua za kufuata
serikalini wanajua hilo ndio maana kazi zinaaza saa 1.30 hadi 9.30 sio uvivu wanaheshimu muda wa kufanya kazi.
bora kudai haki kuliko uteseke huku elimu unayo.
nkirudi maskani ntakuwa nawasaidia wahanga bure kiushauri na hatua za kuchukua
.wake up demand for your rights angalia mkataba wako saa za kazi zimeanishwa hapo kama kinyume na sheria za kazi ni njia nzuri za kudai fidia hapo.


.........haya,kuwa uyaone!!!yaani unatoka chuo tu unaleta pozi hivyo?*****,me naamka sa tisa alfajiri,ofsini natakiwa saa moja kamili.kurudi,nafika home sa nne(Kiluvya). Huu mwaka wa saba sasa(masters holder),am i a fool?nyie ndio mlikuwa mnatumia madesa chuoni na wala hamjui kutoboa ozone na mna wajomba kibao vyuoni!!!hvivi mungu,kwa nini ulimfanya huyu amalize chuo?angefeli,afanye maisha ya mtaa
 
Komaa mdogo wangu usikirie kuacha kazi hata sisi kaka zako taabu hizo tunazipata sana cha msingi kuwa mvumilivu huku ukitafuta kazi sehemu nyingine. Usituone tunakaa viti virefu ukadhani hatuna machungu ila ni njia ya kuyapooza.
 
Angalia kwenye website ya bunge, documents part.
Mtoa mada, kwa sasa unaweza kuwaandikia barua idara ya kazi na kuwachomea waajiri wako. Wala usithubutu kwenda physically,manake nao watakuunguzia na utaikosa kazi. Kwa sasa,niamini, cv yako hairuhusu ww kuwa na jeuri kazini. Kuna level utafika ya kudengua na kufanya maamuzi ww.tembelea jukwaa la kazi uone wenzio walivyo desperate na kazi. Endelea kusaka kazi,inshaallah
naomba softcompy mkuu kama vipi ni pm aseee..
 
Wavivu wote ndo tunapenda kuajiriwa manake utaangaliwa kama mtoto. Utakapojiajiri na kugundua nikilala hadi saa moja napoteza chance ya kutengeneza sh kadhaa, utaruka kitandani saa tisa! Hakuna kudanganya unaumwa ili uende kwenye ngoma kwa jirani manake unajua itakula kwako jinsi gani!ni kujituma full time, waulize wanaouza vocha na magazeti ubungo manake lazma wawahi high trafic
Hahaa haa!!! Hii kali mzee komaa nao tuu upate cha kuandika kwenye CV yako, chukulia kwamba bado upo shule. Mimi nipo kwenye hatua za awali za kujiajiri lakini still nafanya kazi za kuajiliwa kwasababu bado siko kwenye mazingira mazuri ya ku-take risk kwa 100% ila naamini maisha mazuri wanaishi watu walio jiajiri
 
.........haya,kuwa uyaone!!!yaani unatoka chuo tu unaleta pozi hivyo?*****,me naamka sa tisa alfajiri,ofsini natakiwa saa moja kamili.kurudi,nafika home sa nne(Kiluvya). Huu mwaka wa saba sasa(masters holder),am i a fool?nyie ndio mlikuwa mnatumia madesa chuoni na wala hamjui kutoboa ozone na mna wajomba kibao vyuoni!!!hvivi mungu,kwa nini ulimfanya huyu amalize chuo?angefeli,afanye maisha ya mtaa

inaonekana ulikuwa bingwa wa kudesa, kwani kutoboa ndiyo kufaulu? Mkuu sijawahi kukesha na sijawahi kufeli hata siku moja, master's yako haijakusaidia kwa fikra kama hizo.
 
Kwa sheria za Tanzania hairuhusiwi kumfanyisha mtu kazi masaa mengi hivyo, tafuta sehemu ya kuhamia fasta, mwajiti mnyonyaji hatakusaidia kitu.
 
Kwa sheria za Tanzania hairuhusiwi kumfanyisha mtu kazi masaa mengi hivyo, tafuta sehemu ya kuhamia fasta, mwajiti mnyonyaji hatakusaidia kitu.

mkuu masaa mengi sana haya, ngoja niendelee kupambana kwan sijaridhika hata kidogo
 
Wakuu mimi ni mgeni katika masuala ya ajira. Nimegraduate mwaka huu pale UDSM, na nimepata kazi wiki mbili zilizopita katika kampun moja pale Posta. Hawa jamaa wanataka nifike kazin saa moja asubuh na niondoke saa 12. Kulingana na eneo ninaloishi nalazimika kuamka saa 11 na kurudi nyumban saa 2 mpaka 3 usiku<MBEZI>. Pia wanafungua ofis mpaka jumapili, kinachosikitisha hakuna hata overtime pamoja kutoa mshahara kiduchu. Hivi wengine ndivyo mnavyofanya kazi hivi? Naomba ushaur katika hili.
Wewe si msomi?angalia mkataba wako wa ajira unasemaje (pamoja na sheria za kazi)kama kuna sehemu umekiukwa dai chako.Kama vipi utapoteza kila kitu.Soma na elimika.
 
kwa upande mmjoja hii inaweza kutafsiriwa kama uvivu lakini kwetu sisi wenye utalaam wa kuongoza raslimaliwatu naona kama mwajiri anakiuka kanuni. Post ya kijana inaonesha hajaridhika na mchango anaoutoa na kile anachokipata. Kuanzia saa 1-12 jioni ni masaa kumi na moja kazini. Kulingana na sheria ya kazi mtu huyu anafanya ziada ya masaa 3kila siku. Na kwa vile anafanya siku saba za wiki anafanya kazi karibia masaa 77. Mwajiri anapaswa kuboresha maslahi na kulipa overtime.

Bila shaka mwajiri huyu ni muhindi hao ndo wanapenda kunyonya watu. Namshauri kijana apime upepo. Anaweza kutumia dhana ya "opportunity cost" kufanya maamuzi.
[FONT=TimesNewRoman,Bold][FONT=TimesNewRoman,Bold]
Soma kifungu cha sheria ya kazi hapa chini na kama unaonewa chukua hatua.​
[/FONT]​
[/FONT][FONT=TimesNewRoman,Italic][FONT=TimesNewRoman,Italic]Employment and Labour Relations [/FONT][/FONT][FONT=TimesNewRoman,Bold][FONT=TimesNewRoman,Bold]2004
19
[/FONT][/FONT]-(1) Subject to the provisions of this Sub-Part, an employershall not require or permit an employee to work more than 12 hours inany day.
Hours ofwork​
(2) Subject to this Sub-Part, the maximum number of ordinary daysor hours that an employee may be permitted or required to work are-(a) six days in any week;(b) 45 hours in any week; and(c) nine hours in any day.(3) Subject to this Sub-Part, an employer shall not require or permitan employee to work overtime-(a) except in accordance with an agreement; and(b) more than 50 overtime hours in any four week cycle.(4) An agreement under subsection (3) may not require an employeeto work more than the 12-hour limit contained in subsection (1).(5) An employer shall pay an employee not less than one and onehalf​
times the employee's basic wage for any overtime worked
 
kweli waajiriwa mna raha sana kuliko sie tuliojiajiri, mie na umama ntilie wangu bila kuamka saa 10 sipati nyama machinjioni ina maana siku iyo sina supu,mweee wateja wangu wote watahamia kwa mama kulusumu kwa iyo ata chapati zitadoda
 
ushauri kwa mtoa mada,usiache kazi bila kuwa umepata kazi nyingine utajuta
 
.........haya,kuwa uyaone!!!yaani unatoka chuo tu unaleta pozi hivyo?*****,me naamka sa tisa alfajiri,ofsini natakiwa saa moja kamili.kurudi,nafika home sa nne(Kiluvya). Huu mwaka wa saba sasa(masters holder),am i a fool?nyie ndio mlikuwa mnatumia madesa chuoni na wala hamjui kutoboa ozone na mna wajomba kibao vyuoni!!!hvivi mungu,kwa nini ulimfanya huyu amalize chuo?angefeli,afanye maisha ya mtaa

Mkuu if a masters degree has only gotten you to this level of thinking,You need a PHD i think. I'd rather die with my bachelor's than having this sort of thinking with a master's.Pole sana.Tafuta ile signature ya invisible ina maneno ya busara sana kuhusu watu kama wewe.
 
Usifanye mchezo na kazi.kitaa ni noma! Kutafuta kazi ni kazi,na ukipata kazi usichoke kufanya kazi ,ukitaka kuona kazi we acha kazi uone kazi. Before u quite try!! Kitaa ni pachungu zaidi ya shairi.dont get lost easily.
 
Usifanye mchezo na kazi.kitaa ni noma! Kutafuta kazi ni kazi,na ukipata kazi usichoke kufanya kazi ,ukitaka kuona kazi we acha kazi uone kazi. Before u quite try!! Kitaa ni pachungu zaidi ya shairi.dont get lost easily.
Underlined............
 
Back
Top Bottom