Ushauri; Kazi inaelekea kunishinda

kweli waajiriwa mna raha sana kuliko sie tuliojiajiri, mie na umama ntilie wangu bila kuamka saa 10 sipati nyama machinjioni ina maana siku iyo sina supu,mweee wateja wangu wote watahamia kwa mama kulusumu kwa iyo ata chapati zitadoda

Leo siku ilianza vibaya sana kwangu... full hasira lakini kwa coment yako imenifanya nicheke peke yangu! thanx for making my day
 
Aisee mkuu we vumilia while looking your way out,zipo organizations nyingi mostly private owned orgs wanatreatment hizo,so kuwa mpole piga kazi while unatafuta nyingine usiache kabla hujapata nyingine.Pole sana,i experienced the same issue na kampuni fulani hivi kipindi fulani.
Wakuu mimi ni mgeni katika masuala ya ajira. Nimegraduate mwaka huu pale UDSM, na nimepata kazi wiki mbili zilizopita katika kampun moja pale Posta. Hawa jamaa wanataka nifike kazin saa moja asubuh na niondoke saa 12. Kulingana na eneo ninaloishi nalazimika kuamka saa 11 na kurudi nyumban saa 2 mpaka 3 usiku<MBEZI>. Pia wanafungua ofis mpaka jumapili, kinachosikitisha hakuna hata overtime pamoja kutoa mshahara kiduchu. Hivi wengine ndivyo mnavyofanya kazi hivi? Naomba ushaur katika hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom