wapalepale
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 259
- 56
kweli waajiriwa mna raha sana kuliko sie tuliojiajiri, mie na umama ntilie wangu bila kuamka saa 10 sipati nyama machinjioni ina maana siku iyo sina supu,mweee wateja wangu wote watahamia kwa mama kulusumu kwa iyo ata chapati zitadoda
Leo siku ilianza vibaya sana kwangu... full hasira lakini kwa coment yako imenifanya nicheke peke yangu! thanx for making my day