HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,994
- 102,833
Akinunua pressure cooker kazi inakuwa imeishajarib jiko la umeme wakupandishe tariff iwe ya kiwanda
la hasha tumia Induction Cooker, ya 2000 Watts inaivisha nyama (kilo moja) ndani ya dk 20 tu, iko fasta sana
Hujasikia kuna watu hufaulu ila hawajui soma wala kuandika?80,000 mwezi vs 52,000 wiki tatu.
And u think 80,000 kwa mwezi ni nafuu zaidi, aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Majiko na vifaa vya umeme vya zamani vilikuwa vyatumia umeme mwingi sana. Siku hizi vifaa vyote vinatumia umeme kidogo ndo maana hata viwanda vinaachana na matumizi ya kuni na kuweka umeme au gesiGesi plate 4 ndo mpango mzima
Iko fasta sana na gharama ni nafuu
umeme nakumbuka tulikua nalo zamani ni ishuuu hizo billi ilibidi kukaa na Tanesco vizuri
Jioni umeme unakua hauna nguvu basi hamuivishii.,sijui cz kila nyumba unakua unatumika.. ss sijui siku hizi labda yako tofauti
Huoni kuwa kwenye umeme imejumlisha matumizi yote ya vifaa vyake80,000/= kwa mwezi umeme
v/s
52,000/= kwa wk tatu gas
Pia unasema ni nafuu wewe lazima ni kishoka TANESCO
ukikua utaelewaKwanini ule au upike vyakula vigumu at first place?
Gesi au Mkaa inakuwa kwa dharuraUzuri wa jiko la umeme hata ukiwa majalala ukinunua wa buku 5 mnapika bila stress.
Ila mtungi wa gesi ukiisha mzee baba elfu 55 lazma ikutoke na kama huna ndio unarudi kwenye mkaa au mnaenda kula mgahawani.
Sema umeme changamoto yake ni huku kukatika hovyo tu.
Kwani mleta mada alisema hao watoto wawili wametoka wapi?Nimegundua Mleta mada alishachapiwa mke daah watoto wawili wa kufikia inauma hadi anawataja na kuwatenga na wanae
Kwenye mada,gas ni bora ila umakini unahitajika katika kuutunza mtungi
Unajua matumizi yake hadi ubishe?Mtungi kukaa wiki 3 kwa matumizi ya familia ni uongo.
Labda anafanyia biashara ya chakula.
Kiuhalisia si kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kutokea inaweza kaa hata miaka 10 hujasikia mtaani mtungi umeripukaGesi ni Bomu lenye uwezo wa mlipuko TNT 4000C
Achana na gesi utalipua nyumba.
“Sustainable Portfolio Worth About 1.5 Millions/Month | 2020”
Umeme huo huo umewasha taa na fridgeHapo gesi kwa mwezi utatumia 69000 bado Ni cheap
Tariff za viwanda hadi ufikie 7500 Units kwa mweziSiyo kwamba wakimuhamishia tariff ya kiwanda anakuwa ameula! Maana tariff za viwanda zipo chini kuliko za matumizi ya domestic
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hizo pressure cooker uchemshie maharage kwenye gas si unamaliza gesiAiseee bado mnapikia kuni zama hizi za gesi?.na mkaa juuu?.
Bado uwe na la umeme na la gesi?..mnapika nini hasa
ama mko wengi kiasi gani
the only cost efficient jiko ni gesi
Ukiwa na gesi say plate 3,umeme plate 1 ya backup na oven
Labda la kuchomea nyama as an extra nje
kuni na mkaa ya nini?.kupikia maharage?.tumika pressure cooker kwenye Gesi
Umeme gani Unit 3 ni 2500?Kwa Ufupi.
Unafuu.ni kuwa jiko la multiple 2plate gas ___2plate umeme + Ovena.
faida yake
gesi kunawakati inaisha chakula hakijaiva unahamishia kwenye umeme unmaliza mapishi.
Umeme kuna mda unakuwa low voltage + kukatika au kufanyiwa matengenezo line means... huwezi kupika
Matumizi.
Unit.za umeme kwa Siku maximum
Asubuhi.mchana na Jioni. 3unit= 2500/*30------75000
Ges. Mtungi wa 53k unaweza kutembea nao mpka mwezi na nusu.
NB: gharama huweza kuongezeka kutokana na mtumiaji .
Pia. Nimuhimu kuhakikisha Usalama Unazingatiwa ili kuepuka Ajali za moto.
Gesi ni hatari umeme pia ni hatari .
Kwani mtoto akiwa wa kufikia kuna tatizo? Nadhani wewe ndio unataka kuweka tatizo.Mkuu huo mchanganuo wako wa watoto si sahihi..haikua na ulazima wa kusema wawili wa kufikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunapenda shida.
Angekuwa anawatenga asingeishi nao. Mtu ameshangaa hiyo familia ya watu kumi imewezekanaje na yeye kamjibu mchanganuo Kama ulivyo ulitaka adanganye ili iwaje? Usitake kukuza mamboAcha ubaguzi ungeandika watoto 6 ungekufa???Eti watoto wanne na watoto wa kufikia wawili wote si watoto wanatofauti gani???? Style hiyo uloandika inaonyesha tu unawatenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha we naye hesabu ina tatizo. Gesi wiki 3 Umeme wiki 4... hesabu ni janga la taifa Mkuu; msamehe bure.
Tunakupima kwa maandishi yako Mkuu.Hii ni hisia yako tu.
Ningewatenga ningekaa nao?
Hapo naonesha watu wa kiuno changu ma wasio wa kiuno changu basi.