Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,469
Gas ni nafuu
I swear sina jiko la mkaa na sina uzoefu nalo sanaUnataka niambia hadi leo hii hauna jiko la mkaa kwako?
wewe utakua hupiki vyakula na swala la upishi litakua limekupitia kushoto
haya hebu niambie Lady ukipikaga makande huwa unayapikia jiko gani?
Na anatumia gas ni 10000/= kwa mwezi hivyo waache wawambe ngomaKumbuka kwenye umeme anatumia taa,redio,fridge,pengine na AC kwa hiyohiyo 80K.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nafuu kwa sababu umeme huo huo anatumia taa,friji pasi tv deki,king'amuzi feni na mengineyo,vipi kuhusu gesi?80,000 mwezi vs 52,000 wiki tatu.
And u think 80,000 kwa mwezi ni nafuu zaidi, aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn hapa , umewatambulisha!!!Nyumbani kwangu nina watoto wanne, wawili wa kuwazaa, mmoja uncle wang na dada wa kazi, lakini Mara zote natambulisha Nina watoto 4 na hata wao wanajua kabisa wote hapa ni watoto wangu na imesaidia kuheshimiana na kupendana, Mimi na mke wangu hatujawahi kumtambulisha kwa kusema dada wa kazi au mfanya kazi au huyu uncle wangu eti mtoto wa Mdogo wangu!
Siku zote tunasema watoto wetu na wao wote wamezoea hivyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
kwako ni ya kizamani sana yawezekana ipo hivyo
Ndio mkuu. Watu kumi.
Watoto wanne. Baba na Mama. Dada wawili na watoto wa kufikia wawili.
Asante kwa ushauri.
Thank youuuKuna watu wakija kwangu wananiambia ' itabidi ujenge jiko la nje' nawauliza kwanini wanasema eti wakija watu wengi blah blah nabaki nawashangaa
Mara ngapi huwa yanalipuka?.Gesi ni Bomu lenye uwezo wa mlipuko TNT 4000C
Achana na gesi utalipua nyumba.
“Sustainable Portfolio Worth About 1.5 Millions/Month | 2020”
Ni sahihi yupo sahihi ,watoto wa kufikia ....!! Hawawezi kurithi na watoto ambao wana babaAcha ubaguzi ungeandika watoto 6 ungekufa???Eti watoto wanne na watoto wa kufikia wawili wote si watoto wanatofauti gani???? Style hiyo uloandika inaonyesha tu unawatenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo gesi kwa mwezi utatumia 69000 bado Ni cheapJiko la umeme nafuu zile zenye plate za induction zile ni energy server. Mimi nina familia ya watu 6 natumia umeme tuu gharama zake kwa mwezi ni 80,000 wakati nikitumia gas mtungi wa 52,000 natumia wiki tatu tuu. Mm naona umeme ni rahisi ukipata jiko ambalo ni energy server.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me mwenywe sijamuelewa sijui katumia hesabu ya darasa LA ngapHuoni kwa mahesabu hayo bado ges iko cheap???
Ndani ya miez mitatu
Gas-208000
Umeme-240000
hata mimi nilishangaa mtungi hukaa zaidi ya mwezi mmoja na nusuMtungi kukaa wiki 3 kwa matumizi ya familia ni uongo.
Labda anafanyia biashara ya chakula.
Kiuhalisia si kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kwamba wakimuhamishia tariff ya kiwanda anakuwa ameula! Maana tariff za viwanda zipo chini kuliko za matumizi ya domesticGas hbr ya mjini, umeme n ghar sana watakuhamishia tarifu ya umeme wa kiwand
Sent using Jamii Forums mobile app
LadyRed,
Kuna watu wakija kwangu wananiambia ' itabidi ujenge jiko la nje' nawauliza kwanini wanasema eti wakija watu wengi blah blah nabaki nawashangaa