Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

RRONDO jamani hata mie huku ikifika saa 1 au saa 2 usiku mashine haziwaki, friji moja inajizima.
Inabakia friza tu inajikokota.
Hapo ni mpaka saa 8 usiku ndo mambo yanakaa sawa.
Na wakati mwingine unaona mchana mambo yanabadilika.
Umeme Tz majanga sana.
Hilo la umeme ninalo hata kuunganisha sijaunganisha, huku nilipo umeme hauna nguvu kwa masaa 18 ya siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa lugha ya kawaida ni kuwa uwe unatumia umeme kuanzia laki kwa siku.
Bado sijafika huko ninaishia kwenye 15,000 kwa siku.
Kufikia Tariff ya kiwanda watakiwa utumie umeme zaidi ya unit 250 kwa siku yaani kwa mwezi 7500 units
Watakushushia bei kutoka 298 hadi 151 kwa unit


Viwanda vinalipa umeme bei ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RRONDO jamani hata mie huku ikifika saa 1 au saa 2 usiku mashine haziwaki, friji moja inajizima.
Inabakia friza tu inajikokota.
Hapo ni mpaka saa 8 usiku ndo mambo yanakaa sawa.
Na wakati mwingine unaona mchana mambo yanabadilika.
Umeme Tz majanga sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nimetoka home nimezima fridge, tangu jana haliwaki mfululizo dakika 10, ni on off! Umeme unasumbua sana ndio maana jiko la umeme wala sikujihangaisha kuliconnect lipo kama picha tu
 
RRONDO jamani hata mie huku ikifika saa 1 au saa 2 usiku mashine haziwaki, friji moja inajizima.
Inabakia friza tu inajikokota.
Hapo ni mpaka saa 8 usiku ndo mambo yanakaa sawa.
Na wakati mwingine unaona mchana mambo yanabadilika.
Umeme Tz majanga sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ikifika saa moja na kuendelea kila mtu anakuwa home, tv zote on,watu wanapika,wanapiga pasi,wengine wanawasha pump za maji, shughuli zote kwahio matumizi ya umeme yanakuwa juu sana mpaka kuanzia saa nne usiku ndio matumizi yanapungua tena
 
Ielezee tariff ya kiwanda unafuu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi ingia tariff ya kiwanda mpaka uwe mtumiaji mkubwa mno wa umeme , automatikally unakua na transfoma yako mwenyewe ya 33kV

viwanda wana tariff 2 , moja ni ya Tsh per unit, nyingine ni Tsh/kVAh, nashangaa hao wanaosema kiwanda ni rahisi uo urahisi unakujaje
 
Kama unataka unafuu jipange ununue cooking range ya beko ya kuanzia plate 4 inaweza kua mixed umeme na gas au gas pekee (zipo brand nyingi ila nna uzoufu na beko)

Mtungi wa 15kg unakaa miezi minne na wiki moja kwa matumizi ya kawaida ya familia ya watu wanne, kwa familia yako ya watu 10 unaweza kufikisha miezi miwili.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom