Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

I swear sina jiko la mkaa na sina uzoefu nalo sana

napikia gesi
Makande yanaiva kaa pressure cooker haraka tu kwenye gesi

na kuhusu kupika napenda sana kupika..napika vitu vingi sana tu..perhaps una mazoea na jiko la mkaa
Gesi iko vizuri sana tu..inaokoa muda na unapikia ndani kwa usafi...mkaa lazma upikie nje

nilifundishwa kupika zama za jiko la umeme hadi gesi
Una familia??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumbani kwangu nina watoto wanne, wawili wa kuwazaa, mmoja uncle wang na dada wa kazi, lakini Mara zote natambulisha Nina watoto 4 na hata wao wanajua kabisa wote hapa ni watoto wangu na imesaidia kuheshimiana na kupendana, Mimi na mke wangu hatujawahi kumtambulisha kwa kusema dada wa kazi au mfanya kazi au huyu uncle wangu eti mtoto wa Mdogo wangu!

Siku zote tunasema watoto wetu na wao wote wamezoea hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mmeajiri mtoto underage kama mfanyakazi. Mfanyakazi angekua amekuzidi umri ungemtambulishaje? Mfano wangu kanizidi miaka 6

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo jiko la umeme la energy sever linaitwaje ni kampun ipi na ina watt ngap naomba kujuzwa sasa iv kama hujanunua kitu cha energy saver inakula kwako hata mafriji yapo
Inaitwa Indesit four plates pamoja na oven. Watt nitaangalia baadae.
1580961676005.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiko la umeme nafuu zile zenye plate za induction zile ni energy server. Mimi nina familia ya watu 6 natumia umeme tuu gharama zake kwa mwezi ni 80,000 wakati nikitumia gas mtungi wa 52,000 natumia wiki tatu tuu. Mm naona umeme ni rahisi ukipata jiko ambalo ni energy server.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie naona bado Umeme ni nafuu kwa kiasi chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubaguzi ungeandika watoto 6 ungekufa???Eti watoto wanne na watoto wa kufikia wawili wote si watoto wanatofauti gani???? Style hiyo uloandika inaonyesha tu unawatenga

Sent using Jamii Forums mobile app
We naye acha kuzingua. Hao si watoto wake ndo maana kaonesha kabisa kuwa si wake...
Mbona wote ni watu hujaongelea alipowatenga watoto na baba na mama na hao wadada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumbani kwangu nina watoto wanne, wawili wa kuwazaa, mmoja uncle wang na dada wa kazi, lakini Mara zote natambulisha Nina watoto 4 na hata wao wanajua kabisa wote hapa ni watoto wangu na imesaidia kuheshimiana na kupendana, Mimi na mke wangu hatujawahi kumtambulisha kwa kusema dada wa kazi au mfanya kazi au huyu uncle wangu eti mtoto wa Mdogo wangu!

Siku zote tunasema watoto wetu na wao wote wamezoea hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio unafiki wa Watanzania. Unawaita watoto wako ila matumizi na shule kila mmoja anasoma kivyake....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom