Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

Nunua Majiko yote Ila kwenye matumizi Tumia Gesi na unapohisi Muda wa kujaza mtungi upo vibaya

Hamia kwenye umeme kwa wiki moja au mbili,hela ikishakaa sawa unaenda jaza mtungi wako gesi

maisha yanaendelea kwa kupikia gesi ila sikushauri uwe na Jiko la gesi peke yake wala pia siwezi

kukushauri uwe na Jiko la umeme peke yake,Nina uhakika hata Jiko la mkaa unalo na la kuni pia ikibidi

Kufupisha story unapokua una famlia na upo kwako sio kwenye nyumba za kupanga naongelea kwako

Majiko lazima yawe yote

1.La mkaa
2.La kuni
3.La Gesi
4.La Umeme

Haya majiko yote hapo juu hutakiwi kuyakosa kama kweli wewe una familia ukiwa kama baba/mama

hakikisha maswala ya jikoni umemalizana nayo isitokee sababu ya wewe kutopata chakula hapo home.
Mhhh jmn why majiko mawili
Bora anunue la gesi plate 3 na umeme plate 1 ya backup gesi ikiisha
 
Uzuri wa jiko la umeme hata ukiwa majalala ukinunua wa buku 5 mnapika bila stress.
Ila mtungi wa gesi ukiisha mzee baba elfu 55 lazma ikutoke na kama huna ndio unarudi kwenye mkaa au mnaenda kula mgahawani.
Sema umeme changamoto yake ni huku kukatika hovyo tu.
 
Nunua Majiko yote Ila kwenye matumizi Tumia Gesi na unapohisi Muda wa kujaza mtungi upo vibaya

Hamia kwenye umeme kwa wiki moja au mbili,hela ikishakaa sawa unaenda jaza mtungi wako gesi

maisha yanaendelea kwa kupikia gesi ila sikushauri uwe na Jiko la gesi peke yake wala pia siwezi

kukushauri uwe na Jiko la umeme peke yake,Nina uhakika hata Jiko la mkaa unalo na la kuni pia ikibidi

Kufupisha story unapokua una famlia na upo kwako sio kwenye nyumba za kupanga naongelea kwako

Majiko lazima yawe yote

1.La mkaa
2.La kuni
3.La Gesi
4.La Umeme

Haya majiko yote hapo juu hutakiwi kuyakosa kama kweli wewe una familia ukiwa kama baba/mama

hakikisha maswala ya jikoni umemalizana nayo isitokee sababu ya wewe kutopata chakula hapo home.
Aiseee bado mnapikia kuni zama hizi za gesi?.na mkaa juuu?.
Bado uwe na la umeme na la gesi?..mnapika nini hasa

ama mko wengi kiasi gani

the only cost efficient jiko ni gesi
Ukiwa na gesi say plate 3,umeme plate 1 ya backup na oven

Labda la kuchomea nyama as an extra nje

kuni na mkaa ya nini?.kupikia maharage?.tumika pressure cooker kwenye Gesi
 
Ungeonekana wa maana, kama ungejibu kama alivyo uliza kwenye mada yake.

Mambo ya familia ungemuachia mwenyewe.

Ni ushahuri tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Na yeye angeonekana wa maana kama ungesema tu anafamilia ya watu Kumi....ingetosha kushauriwa.
Matumizi ya gesi au umeme hatajwi determined kama unaishi na watoto wako au wa kufikia.
Hata asingetupa details za watoto tungemshauri tu.Kayataka mwenyewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Na yeye angeonekana wa maana kama ungesema tu anafamilia ya watu Kumi....ingetosha kushauriwa.
Matumizi ya gesi au umeme hatajwi determined kama unaishi na watoto wako au wa kufikia.
Hata asingetupa details za watoto tungemshauri tu.Kayataka mwenyewe...

Sent using Jamii Forums mobile app

Basi bhanaa,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari wana JF.

Nimejikuta njia panda, Naomba mwenye kujua anisaidie. Kwa familia ya watu 10, ni lipi jiko sahihi kwa maana ya gharama na matumizi yake kwa ujumla?

Nataka kuchukua moja wapo weekend hii!
Gas ni rahisi zaidi kuliko umeme. Gas ya 50,000/= inatosha kwa mwezi lakini kwa umeme utatumia zaidi ya 100,000/= kwa mwezi. Nazungumzia hivyo kwa mtu asiyetumia mkaa kabisa yaani jiko hilo unapikia maragwe na makande. samahani kama wewe thio mpare
 
Na yeye angeonekana wa maana kama ungesema tu anafamilia ya watu Kumi....ingetosha kushauriwa.
Matumizi ya gesi au umeme hatajwi determined kama unaishi na watoto wako au wa kufikia.
Hata asingetupa details za watoto tungemshauri tu.Kayataka mwenyewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah.. nakuja PM tuyajenge. Huku umenishinda.
 
Aiseee bado mnapikia kuni zama hizi za gesi?.na mkaa juuu?.
Bado uwe na la umeme na la gesi?..mnapika nini hasa

ama mko wengi kiasi gani

the only cost efficient jiko ni gesi
Ukiwa na gesi say plate 3,umeme plate 1 ya backup na oven

Labda la kuchomea nyama as an extra nje

kuni na mkaa ya nini?.kupikia maharage?.tumika pressure cooker kwenye Gesi
Nyama ya kuchoma kwenye OVEN hata si ielewi kwanza

ukiwa mla nyama sana huwezi chomea nyama kwenye oven

mahotelini yenyewe nyama wanachoma in local ways ndio nyama inatoka Tamu

umeshawahi kula chipsi mayai iliyopikiwa kwenye gesi vs chipsi yai ya mkaa?

Jiko la kuni ni kwa ajili ya Event, Birthdays event zote sherehe sherehe zote tunatumia Kuni

Jiko la mkaa unapikia vitu vinavyochelewa kuiva kama makande,Ngararum,nk nk

Kuna vyakula ili usikie Taste na ujue umekila kweli hicho chakula Pikia Mkaa.
 
Mhhh jmn why majiko mawili
Bora anunue la gesi plate 3 na umeme plate 1 ya backup gesi ikiisha
Unataka niambia hadi leo hii hauna jiko la mkaa kwako?

wewe utakua hupiki vyakula na swala la upishi litakua limekupitia kushoto

haya hebu niambie Lady ukipikaga makande huwa unayapikia jiko gani?
 
Nunua Majiko yote Ila kwenye matumizi Tumia Gesi na unapohisi Muda wa kujaza mtungi upo vibaya

Hamia kwenye umeme kwa wiki moja au mbili,hela ikishakaa sawa unaenda jaza mtungi wako gesi

maisha yanaendelea kwa kupikia gesi ila sikushauri uwe na Jiko la gesi peke yake wala pia siwezi

kukushauri uwe na Jiko la umeme peke yake,Nina uhakika hata Jiko la mkaa unalo na la kuni pia ikibidi

Kufupisha story unapokua una famlia na upo kwako sio kwenye nyumba za kupanga naongelea kwako

Majiko lazima yawe yote

1.La mkaa
2.La kuni
3.La Gesi
4.La Umeme

Haya majiko yote hapo juu hutakiwi kuyakosa kama kweli wewe una familia ukiwa kama baba/mama

hakikisha maswala ya jikoni umemalizana nayo isitokee sababu ya wewe kutopata chakula hapo home.
Mkaa? Kuni?

Hayo ni mambo ya kizamani sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
CONTROLA,
Sijasema nyama ichomewe kwenye oven
Ts obvious majiko ya nyama ni ya nje wengi tunayajua

ambacho sielewi kuhusu kupikia mkaa ni ule mda wa kuwasha zima na kupikia nje..masizi mhh shughuli

Vinavyochelewa kuiva kuna pressure cooker mbona tunaivisha haraka tu...ladha ya chakula ni wewe tu na ujuzi wako wa kupika

nadhani basi tunatofautiana...gesi inaokoa sana mda
Mkaa basi labda unashinda nyumbani..imagine umerudi sa 10 unaanza shughuli ya mkaa kweli.?wkt gesi ndani ya saa 1 ushamaliza kiiiilaaa kitu

Shughuli ya watu wengi heri awepo caterer apike huko alete

nadhani kila mtu na namna anavyoona inafaa na mji ulivyokaa nk
 
Back
Top Bottom