Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

Ila nimeshangaa unai dis iPhone na hiyo sijui simu gani unatumia maana post moja jinsi inavyokusumbua mpaka umeituma mara tatu mkuu dah..!!


Back fo the point, Jamii forums kwenye App Store ipo na link ni hii hapa chini na pia hata ukisearch inakuja, sasa sijui ulikuwa unaitafutia wapi!!

JamiiForums on the App Store
Mkuu tuache ushabik....umewah tumia iphone,...na kama NDIYO...matumiz yake yakoje ukilinganisha na sm zngine kubwa za android....??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tuache ushabik....umewah tumia iphone,...na kama NDIYO...matumiz yake yakoje ukilinganisha na sm zngine kubwa za android....??

Sent using Jamii Forums mobile app
49879bc930c6d6043ed4bb0c33786e78.png

Inategemeana na unachotaka au unachopenda kufanya katika simu yako..!!
Nimeweka na screenshot ya nlivyo ku quote ili ujue simu niliyoitumia kujibu post yako.
 
Kanunue iPhone mkuu achana na simu za Samsung ujiandae kwanza kwa gharama za kioo chenyewe au ikitokea imeharibika kitu kama MIC lazima uweke sain ili fundi anapotoa kioo kikivunjika ahusiki,. Alafu upande wa security ya android endapo imepotea lazima alieokota au kuiba ni rahisi sana kubadilishwa imei number na kutolewa kwa Samsung ID, ushauri kuhusu iPhone ni wengi hawajui kuzitumia kwa uvivu wa kutopenda kujifunza zaidi. Ila iPhone au kifaa chochote cha Apple ni Best ever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa android ni kwa sababu ina software nyingi na za bure. Pia haithibitiwi na hivyo sio salama. Ukiisha install hizo software wewe andaa kuflash mara kwa mara.
Ios the most stable. Intelligent and advanced os for mobile.
 
Nunua s8 au s8+ aiphones shida sana kutumia kwenye komputa ina masherti kibao
Japo natumia aiphone
 
Point za nini sasa!!!

Umesema sijawahi kutumia iOS nimekubali,bado huna amani.

Unataka tubishane mpaka nikwambie simu nimeinunua lini na ni aina gani,sipo hivyo.

Acha ubishi... umeambiwa ukweli mtupu
 
Hizi A 8 kaka nimeona kama zipo chache vile madukani na bei yake sio ya mchezo nikahisi wanataka kunifanya mi wakuja mjini, na ile one plus 5 niliikosa mkuu naona bado hazijafika. Kikubwa napenda kununua simu latest version unakaa nayo hata miaka miwili bado inakua fresh unasahau hadi maduka ya simu
Ni kweli zipo chache...bei ni kubwa kidogo lakini kama unavyojua tuna kawaida ya kununua majina yaliyozoeleka..na hii sio common sana hivyo hata wauzaji hawaweki sana as return ni pasua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app

Nahisi uliuziwa techno...nnatumia jf, nadowload nyimbo na video pia plus apps kibao kwenye iphone
 
Ni kweli zipo chache...bei ni kubwa kidogo lakini kama unavyojua tuna kawaida ya kununua majina yaliyozoeleka..na hii sio common sana hivyo hata wauzaji hawaweki sana as return ni pasua!

Sent using Jamii Forums mobile app
kibongo bongo huwa wauzaji hawaamui simu za kueka wanaamuliwa na ma agent, wanaletewa tu sample wao wanaeka na kuuza. simu nzuri kibao ambazo zingeuza hazipo madukani.
 
Kibongo bongo nunua samsung maana unataka cmu upigie picha ubadilishe muonekano unaokuvutia kila wakat (customization)..
Ila kwa wazungu iphone kwanza ina safety ya privacy sana pia speed ya iphone huwez compare na misimu ya android...
In case of customization, free apps, cheap handset kwny manunuzi go to samsung
Ila kwa privacy, speed + heshima go to iphone

Post sent using JamiiForums mobile app

Kwani Apple Store hakuna free app....!!??

Hebu ni app gani unayoitumia wewe wa android ambayo mimi nainunua huku Apple Store...!?
 
Sahau mambo za kurushiana nyimbo au video kwa Bluetooth kila unapokutana na mwenye wimbo mzuri.

Mambo za kudownload video hovyo hovyo kisa ni ingizo jipya NO.

Customization,Mara home screen umeichoka mara unaweka picha lako sjui la mtoto hakuna.

Kuna storage kubwa ya simu Ila kuijaza sasa,sjui utaijazaje mana jinsi ya kuweka vitu humo ni changamoto.

Kubwa kuliko yote ni kulipia apps,mambo ya pro kule sio kipaumbele.

IPhone ili uifurahie usiwe umeishatumia os nyingine ukaizoea,vinginevyo utahisi usumbufu flani.

Acha uongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom