the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,929
Inategemea muhusika unapenda nini,kama unapenda kucheza na technology kuweka mziki docs kwa itunes,hakuna sharing za hovyo chukua iphone sema kama technology iko kando utateseka na iphone maana huwezi weka mziki vituo vya mtaani haaa haaa,mm napenda vitu complicated na unique natumia iphone hiyo unayoitaka nanso far iko good