Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

Hv tunaomba kujua ni kifungo gani kwa watu wa iphone maana nasikia hakuna uhuru kabisa, ufafanuzi please

Sent from my GT-N5100 using JamiiForums mobile app
redio unasikiliza online only na nyimbo ukidownload huwezi isikiliza kama kwenye android huwa tunatumia itune kuingiza nyimbo na hapa lazima uwe na computer na iyo program..... vilevile huwezi rusha nyimbo kupitia bluetooth kwa mtu wa android mwenye iphone mwenzio sana tu.... machache nayoyajua

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Tafuta mtu mwenye iPhone....

Muombe japo uishike kwa dakika mbili tu.....

Ufungulie na mziki kidogo kwenye earphone zake......

Hapo ndipo utakapojua kuwa kuna simu na kifaa cha cha mawasiliano.....

Kitu pekee ninachokutahadharisha ni kuwa iPhone zina addiction......so be careful....

dc7032a31cda82657f8494d91d940634.jpg
e3c366633a3c7baa38e7ad448492130f.jpg
ndio maana nimeinunua

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
redio unasikiliza online only na nyimbo ukidownload huwezi isikiliza kama kwenye android huwa tunatumia itune kuingiza nyimbo na hapa lazima uwe na computer na iyo program..... vilevile huwezi rusha nyimbo kupitia bluetooth kwa mtu wa android mwenye iphone mwenzio sana tu.... machache nayoyajua

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA

Kuna app unadownload nyimbo na kusikiliza free kama android.
Mambo ya kutumiana nyimbo kupitia Bluetooth ni mambo ya kizamani.
 
Kuna app unadownload nyimbo na kusikiliza free kama android.
Mambo ya kutumiana nyimbo kupitia Bluetooth ni mambo ya kizamani.
kipya kinyemi kaka sikua nafahamu vp redio

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
redio unasikiliza online only na nyimbo ukidownload huwezi isikiliza kama kwenye android huwa tunatumia itune kuingiza nyimbo na hapa lazima uwe na computer na iyo program..... vilevile huwezi rusha nyimbo kupitia bluetooth kwa mtu wa android mwenye iphone mwenzio sana tu.... machache nayoyajua

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
Ulinunua shingapi iphone yako?

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Kwa apps zetu za kibongo hakuna inayouzwa kwenye iphone store,watu tunatumia jf,fb,insta,badoo etc hizo ni free bado kwa games apple kuna games kali balaa. Kwa storage ni wewe iko ya gb 16 mpaka ya gb256
ITV, Millard ayo zipo
 
Kibongo bongo nunua samsung maana unataka cmu upigie picha ubadilishe muonekano unaokuvutia kila wakat (customization)..
Ila kwa wazungu iphone kwanza ina safety ya privacy sana pia speed ya iphone huwez compare na misimu ya android...
In case of customization, free apps, cheap handset kwny manunuzi go to samsung
Ila kwa privacy, speed + heshima go to iphone

Post sent using JamiiForums mobile app
Nilikuwa tayari nimeanda hela kwa ajiri ya iPhone 6 ila nimefuatilia hii maada kiukweli nimeahilisha sinunui iPhone tena nanunua kitu Samsung au huawei
 
Back
Top Bottom