Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

1- Kweli na pia sio kweli. AirDrop
2- Kuna Apps kibao zina download hizo video km vile app inaitwa Document na ipo App Store
3-Home screen unaweka picha yoyote ile utakayotaka. Wallpaper na pia kuna still wallpaper au live wallpaper unachagua mwenyewe
4-Storage zinajaa labda kama kwako unategemea kuweka full movies tuu kujaza simu na hauna data nyingine.
5- Sio apps zote ni za kulipia pia kumbuka ata Play Store zipo za kulipia na ukitaka za kulipia kwa bure pia iPhone kuna njia ya kuzipata.




Mwisho nimehisi vingi umeambiwa tuu kwa kukaririshwa na hujawahi kutumia iPhone (iOs) kabisa. Kama ulitumia basi ulikuwa hujui kuitumia na ulitaka itumia kwa mazoea.

Ajawai kutumia iphone,kapigiwa stori tu.
 
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app

b7703c1588efdad019d3614b920b8c0a.jpg
kama haujawai kutumia bora ukae kimya tu,kuliko kujidhalilisha.
 
Simu za iphone ni standard moja dunia nzima. Iphone unayotumia wewe ni sawa na iphone inayotumiwa na Warren Buffet.

Ila ukija simu za Android, kuna makundi kibao.
Mara simu za China pekee, simu za US & EU, simu za Afrika.

Hata ukiwa unatafuta kifaa, unahangaika kupita maelezo.

Yani shida tupu.
 
Ukitaka simu ya kukutawala nunua Iphone....ukitaka simu ya kuitawala nunua Android.!

Ni kweli Mkuu. iPhone ni nzuri sana na inadumu kuliko android ila tatizo huwi huru kama android.
 
Sahau mambo za kurushiana nyimbo au video kwa Bluetooth kila unapokutana na mwenye wimbo mzuri.

Mambo za kudownload video hovyo hovyo kisa ni ingizo jipya NO.

Customization,Mara home screen umeichoka mara unaweka picha lako sjui la mtoto hakuna.

Kuna storage kubwa ya simu Ila kuijaza sasa,sjui utaijazaje mana jinsi ya kuweka vitu humo ni changamoto.

Kubwa kuliko yote ni kulipia apps,mambo ya pro kule sio kipaumbele.

IPhone ili uifurahie usiwe umeishatumia os nyingine ukaizoea,vinginevyo utahisi usumbufu flani.

Hujawahi tumia iPhone mkuu nyamaza tu maana sio kwa uongo huo.
 
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app

Acha kudanganya watu wewe! Jf hiyo hapo kwenye iPhone yangu. Na ndo natumia
be360943674831d8d389849aeff8aacc.jpg
 
Hv tunaomba kujua ni kifungo gani kwa watu wa iphone maana nasikia hakuna uhuru kabisa, ufafanuzi please

Sent from my GT-N5100 using JamiiForums mobile app

Uhuru wanao usemea watu wa android n ishu ya kudowndload app kwenye google, mtu kukutumia setup direct unafanya install wana milolongo ming kwenye kushare Bluetooth na kingine n kuingia kwenye torrent ku download movies
 
Uhuru wanao usemea watu wa android n ishu ya kudowndload app kwenye google, mtu kukutumia setup direct unafanya install wana milolongo ming kwenye kushare Bluetooth na kingine n kuingia kwenye torrent ku download movies
Ooh okay, lakini nafikiri labda wana namna nyingine ya kufanya hayo yote au hawana kabisa uhuru huo?
 
Uhuru wanao usemea watu wa android n ishu ya kudowndload app kwenye google, mtu kukutumia setup direct unafanya install wana milolongo ming kwenye kushare Bluetooth na kingine n kuingia kwenye torrent ku download movies
-unaweza sideload apps kwenye iphone pia
-bluetooth share 2017 haina maana unless unashare na kifaa kisicho na wifi, wifi ina speed zaidi ya mara 100 ya bluetooth.
 
Back
Top Bottom