Ushauri kati ya IPHONE 6 Plus na Samsung galaxy A8

Sahau mambo za kurushiana nyimbo au video kwa Bluetooth kila unapokutana na mwenye wimbo mzuri.

Mambo za kudownload video hovyo hovyo kisa ni ingizo jipya NO.

Customization,Mara home screen umeichoka mara unaweka picha lako sjui la mtoto hakuna.

Kuna storage kubwa ya simu Ila kuijaza sasa,sjui utaijazaje mana jinsi ya kuweka vitu humo ni changamoto.

Kubwa kuliko yote ni kulipia apps,mambo ya pro kule sio kipaumbele.

IPhone ili uifurahie usiwe umeishatumia os nyingine ukaizoea,vinginevyo utahisi usumbufu flani.

Kwa ufupi hujui kuitumia Iphone. Hayo mambo yote uliyo yataja Iphone ndio kabobea.
Kwa mtu anaye tumia Iphone:Samsung ni mtihani.
Uzuri wa IPhone inadumu muda mrefu bila ya Matatizo labda uwe unabadilisha mitindo wa simu mpya.Iphone naiambia ifanye nini hainiambii nifanye nini.
 
Tafuta mtu mwenye iPhone....

Muombe japo uishike kwa dakika mbili tu.....

Ufungulie na mziki kidogo kwenye earphone zake......

Hapo ndipo utakapojua kuwa kuna simu na kifaa cha cha mawasiliano.....

Kitu pekee ninachokutahadharisha ni kuwa iPhone zina addiction......so be careful....

dc7032a31cda82657f8494d91d940634.jpg
e3c366633a3c7baa38e7ad448492130f.jpg
 
Hizi A 8 kaka nimeona kama zipo chache vile madukani na bei yake sio ya mchezo nikahisi wanataka kunifanya mi wakuja mjini, na ile one plus 5 niliikosa mkuu naona bado hazijafika. Kikubwa napenda kununua simu latest version unakaa nayo hata miaka miwili bado inakua fresh unasahau hadi maduka ya simu
Karibu katika Dunia ya a8. Ila hapa nilipo hata Kava nimekosa kariakoo. Ndo raha ya kuwa na kitu pekeyako

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20170716-132026.png
Screenshot_20170716-132040.png
Screenshot_20170716-132051.png
Screenshot_20170716-132143.png

Binafsi nilipata shida kama ww kufanya choice ila nikaaangukia kwenye A8 na sijutii

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kibongo bongo nunua samsung maana unataka cmu upigie picha ubadilishe muonekano unaokuvutia kila wakat (customization)..
Ila kwa wazungu iphone kwanza ina safety ya privacy sana pia speed ya iphone huwez compare na misimu ya android...
In case of customization, free apps, cheap handset kwny manunuzi go to samsung
Ila kwa privacy, speed + heshima go to iphone

Post sent using JamiiForums mobile app
 
1- Kweli na pia sio kweli. AirDrop
2- Kuna Apps kibao zina download hizo video km vile app inaitwa Document na ipo App Store
3-Home screen unaweka picha yoyote ile utakayotaka. Wallpaper na pia kuna still wallpaper au live wallpaper unachagua mwenyewe
4-Storage zinajaa labda kama kwako unategemea kuweka full movies tuu kujaza simu na hauna data nyingine.
5- Sio apps zote ni za kulipia pia kumbuka ata Play Store zipo za kulipia na ukitaka za kulipia kwa bure pia iPhone kuna njia ya kuzipata.




Mwisho nimehisi vingi umeambiwa tuu kwa kukaririshwa na hujawahi kutumia iPhone (iOs) kabisa. Kama ulitumia basi ulikuwa hujui kuitumia na ulitaka itumia kwa mazoea.

Haijui achana naye!
 
Kivipi ulichokakutawaliwa Mkuu..?? Ninampango wa kuinunua hiyo iPhone 6s plus, Naomba kujua nn ulikichoka samahan sana kwa usumbufu..

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: efn
Kivipi ulichokakutawaliwa Mkuu..?? Ninampango wa kuinunua hiyo iPhone 6s plus, Naomba kujua nn ulikichoka samahan sana kwa usumbufu..

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kivipi ulichokakutawaliwa Mkuu..?? Ninampango wa kuinunua hiyo iPhone 6s plus, Naomba kujua nn ulikichoka samahan sana kwa usumbufu..

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kivipi ulichokakutawaliwa Mkuu..?? Ninampango wa kuinunua hiyo iPhone 6s plus, Naomba kujua nn ulikichoka samahan sana kwa usumbufu..

Post sent using JamiiForums mobile app
Mizik ad kwenye computer na computer iwe na itune #....chukua sumsung s8 mkuu iko poa sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app

Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app

Mkuu...iPhone nliipenda lkn nilvoipata duuh ata miez sita cjamaliza ....app nying tunazotumia kwenye android hazipo kama hii ya jf huipati,kudownlod masongs hakuna na hata matumiz mengine ya kawaida ni issue...

Post sent using JamiiForums mobile app
Ila nimeshangaa unai dis iPhone na hiyo sijui simu gani unatumia maana post moja jinsi inavyokusumbua mpaka umeituma mara tatu mkuu dah..!!


Back fo the point, Jamii forums kwenye App Store ipo na link ni hii hapa chini na pia hata ukisearch inakuja, sasa sijui ulikuwa unaitafutia wapi!!

JamiiForums on the App Store
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom