Wanawake huwa hawashindwi kitu na kumchunga haisaidii
Nilikuwa natoka dodoma kwenda singida na mdada mmoja aliyeumbika balaa tumekaa siti moja ktk Basi.
Akaniambia kuwa anaenda kumsalimia mumewe aliyeko huko kikazi.na kiukweli nilimuonea wivu mshikaji maana sio kwa uzuri ule
Tulipofika maeneo ya kambi ya wakoma ktk kilima gari ikashindwa kupanda ikabidi abiria tushuke tutembee kwa miguu wakati gar inapanda yenyewe
Mrembo akachoka akaniomba nimshike mkono.
Tulivyofika singida akanipa contacts halafu akanipigia baada ya sa akanielekeza hotel aliyopo na mumewe akanipa maelekezo kuwa nichukue chumba cha pili baada ya chao.
Basi jamaa akienda kazin demu anahamia kwangu namgonga hadi saa Tisa anarudi rumu kwake mumewe alikuwa anarud sa 10
Siku anarudi domu na mm nikawa nimemaliza shughuli tukarudi wote!