Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

Sure huwa inatia kiburi sana moyoni kua umechagua chuma pia inafariji kua umepata mtu muaminifu ...

ila sasa mbaya ni pale unapokubali hii kitu alafu unapita muda mrefu bila kukuhadithia tena kuhusu kutongozwa. Hapo ndio utabaki na 21 questions kama 50 cent
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sasa hapo wengine ndo hujiaminisha kuwa walomtongoza awamu hii atakuwa amewakubalia
 
Kama una kaanae nyumba moja,na vyanzo vyako vimekuthibitishia,Fanya haya.
CHUKUA NGUA YAKE MSHIKAJI IWE YA NDANI,SOCKIS,AU CHOCHOTEKILE ILA MSHIKAJI AJUE,KISHA KATUPE POPOTE BIRA KUFANYA KITU.UKIKOSA NGUO ATA UNYAYO,CHOTA MCHANGA SEHEMU ALIPO KANYAGA.UTAKUA UMEMALIZA.
MAJIBU BAADA YA KUFANYA HIVYO..ATAJUA WW UMEENDA KUMROGA,NA ATA MALIZA WAGANGA MPAKA KIFO,AU KUHAMA KABISA.HAPO UTAPATA AWENI.
 
aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
Ndugu acha kutamka kumtoa mtu roho,ulinaweza tokea kwel maneno huumba utamtoa roho utaenda magereza watu watabaki wanamtufuna vizur zaidi na utapata hasara zaidi kua mvumliv endelea kumfuatilia kwa siri zaid...
 
aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
Ndugu acha kutamka kumtoa mtu roho,ulinaweza tokea kwel maneno huumba utamtoa roho utaenda magereza watu watabaki wanamtufuna vizur zaidi na utapata hasara zaidi kua mvumliv endelea kumfuatilia kwa siri zaid...
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] sasa hapo wengine ndo hujiaminisha kuwa walomtongoza awamu hii atakuwa amewakubalia
Hahahah!!

Hilo ndio swali kuu na jibu lake huwa ndio hilo lazima ubaki na mgogoro wa nafsi maana ata kuuliza tena ni uboya
 
Tujitahidi kutunza faragha zetu. Sishauri kabisa mtu kupanga nyumba anayo share na familia nyingine. Hizi zinaweza kusababisha miingiliano isiyofaa sana kwa sababu ya ukaribu unaosababishwa na mazingira.
 
Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.

Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
We Mwanaume gani unaogopa kupigana???, wanaume wa daslam bana!
 
Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.

Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
Fanya uchunguzi Wa kijasusi kisha ukipata jibu chukua maamuzi kama unayo,ila usimfuate Atakuona Fala Na sio kanuni za mwanaume kwenda kuomba huruma Kwa mgoni wako.
 
kama anatembea na mkewangu nipo tayari kwa lolote
Ayaa basi kama upo tayar kwa lolote haina haja ya kuomba ushaur !!au ulitaka ushauriwe utumie panga,shoka au kisu? Yaan mm naona magereza inakuita na mkeo atakuletea msosi weekend 2 tu na utaozoe magereza.. Kua mtulivu na mvumiliv ww na mwanao ni wa dhaman kulko huyo anayekusalit
 
Pole sana mkuu. Kama vyanzo vyako vimekutonya na mkeo kapiga kimya, hapo ameshaliwa. We mbane sawasawa ktk mahojiano ukweli utaupata.
 
Back
Top Bottom