Nimekaa na wife akanieleza ni kweli jamaa alimtongoza lakini hakukubali na akawa tayari kama nitakubali tuweke mtego kwa kumtumia yeye ili nimkamate nikaona haina maana nikapotezea.Kwa manufaa ya wababa wanaomegewa wake Umesolve vipi ?
Limekwisha mkuu ni kweli alikuwa anamtongoza lakini hakufanikiwa.na jamaa mwenyewe keshaoa tayariUsijifanye swala limekwisha kumbe unateketea na tai shingoni.
HahahahaBabake mwanaidi naomba namba za mkeo nimkanye. Ila mimi sio huyo jirani yako.
Nimemaliza na wife na nikampa mtihani mdogo tu kwa ushauri niliopewa na best yangu mmoja na wife akakubaliana na Mimi so sikuona haja ya kuendelea na malumbano tumelimaliza.Kweli mkuu atusaidie kalimaliza vipi
Nimeachana nao bossWewe unachepuka nje ila wewe mkeo kuliwa na jamaa umeandika gazeti, usichopenda kufanyiwa usimfanyie pia mwenzako.
Njia nyepes ya kugundua kama jamaa anakugongea ni kumspy tu, dukua mawasiliano ya mke wako.Nimeachana nao boss
Mkeo keshakolea,otherwise angekwambiaWazee kama nilivyowadokezea hapo juu.
Huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza mke wangu.
Japo mke wangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza mke wangu na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
Haaaa haaaaa!mtoto ni wakwangu nauhakika
unazidi kunipa sababu za kutosha za kubaki pekee, miaka mingi au milele kabisaSio kweli.hata ukiangalia wanaoishi maisha marefu hawana wake
dah..kwa nn ndugu?Mi najuta kuoa.bora ningebakia singo boy tuu
Usijifanye swala limekwisha kumbe unateketea na tai shingoni.
Nimekaa na wife akanieleza ni kweli jamaa alimtongoza lakini hakukubali na akawa tayari kama nitakubali tuweke mtego kwa kumtumia yeye ili nimkamate nikaona haina maana nikapotezea.
Mkuu kama una uhakika anamtongoza mkeo, muulize na umkanye mkeo kama hutaki kuachananae usitake kujua kama kaliwa au la, pia huyo jamaa Mjulishe kua unajua anachofanya na mkeo na umtishe kua kitakachomkuta kama ataendelea atajua mwenyewe,inaumiza sana.yani kuna muda nikimwangalia wife natamani nimmeze maana naona kama ananisanifu hivi. ila kuna muda utafika nitachukua maamuzi magumu sana we subiri
Unaweza weka mtego ukakosea timing ukakuta pichu iko magotini na papuchi ishalowanishwa na kesharutubishwa. Kuna vitu inaitwa impossible attemptsNimekaa na wife akanieleza ni kweli jamaa alimtongoza lakini hakukubali na akawa tayari kama nitakubali tuweke mtego kwa kumtumia yeye ili nimkamate nikaona haina maana nikapotezea.