Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,590
PointNyie wanaume wa humu, kinachoshangaza ni nini? Mnadhani mkishaoa mnazuia wasitongozwe na wengine? Omba mke ajitambue. Atambue thamani yake. Kutongozwa sio dhambi wapendwa. Ni lazima kila anayemtongoza akwambie? Anyway, ongea na mkeo kwa namna ambayo si ya kumshutumu wala kumtuhumu ( in a friendly way)