geesten66
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 2,311
- 2,889
Kisa kum@aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
Kisa kum@aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
Dah....basi ukiendelea kulialia kwa mtindo huo...serikali itaanza kukupa chakula na matibabu bure piasikai bure nalipiwa na serikali

Dah...wanaume tunaoa ili tupate Farijiko na familia... Si vinginevyo.... Labda kama unapata vya zaidi...bwanamdogo na wewe utaoa hii mitihani omba sana Mungu akuepusha nayo
Hama hapo acha kujiumiza na stress.inaumiza sana.yani kuna muda nikimwangalia wife natamani nimmeze maana naona kama ananisanifu hivi. ila kuna muda utafika nitachukua maamuzi magumu sana we subiri
Na dogo anapewa menyu na anafuliwa nguo kwa gharama za mume.Jengaa nyumbaa acha kupangaaa,we unapanga nyumba yenye single boys alafu mkeo mama wa nyumbani unategemeaann??tena ukute mkeo ndo alimtaka
GoodNyie wanaume wa humu, kinachoshangaza ni nini? Mnadhani mkishaoa mnazuia wasitongozwe na wengine? Omba mke ajitambue. Atambue thamani yake. Kutongozwa sio dhambi wapendwa. Ni lazima kila anayemtongoza akwambie? Anyway, ongea na mkeo kwa namna ambayo si ya kumshutumu wala kumtuhumu ( in a friendly way)
inaumiza sana.yani kuna muda nikimwangalia wife natamani nimmeze maana naona kama ananisanifu hivi. ila kuna muda utafika nitachukua maamuzi magumu sana we subiri
Hamna haja ya kumtoa roho, ukimuua unaenda jela ambao tuko huru tutajipigia sana. Utakuwa una mkomoa nani? Kupigiwa hakukwepeki ila kwa nafasi yako jitahidi kumdatisha.aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
Kaka kumfuatilia mwanamke ni ngumu kama kukamua kicheche, lazima ulale chini.maana wenzetu wana siri sana tofauti na sisi wanaume. Ina short mm nishakubali kumfuatilia mwanamke haiwezekani tu. Labda awe nyumbani sio mfanya kazi.coz mwanamke mke wa mtu anakwambia kabisa nakuja nina nusu saa ama saa moja tu. Either mda wa chai ama lunch. Anagongwa anarudi kazini. Nakupa namba ya mtaalam ila mkasi wake sio wa kitoto ni laki nne. Nakwambia hakatizi akipanua paja tu keisha. Lazima umkute readhanded. Piga hiyo namba sema shida yako 0686 242 483Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
mteke ukiwa na mijaa miwili isiyojulikana then mkanye kwa ukali huku ukimpiga piga panga mgongoni. akirudia fukuza mkeWazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.