JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,450
- 2,498
Pole mkuu,
Mfumanie upate ushahidi halafu mwachie mke wewe tafuta mwingine.Wazee kama nilivyowadokezea hapo juu.huyu jamaa tuko nae nyumba moja (2 in 1) ni bachela ila kwa uchunguzi nilioufanya kwa muda jamaa anamtongoza wife japo mkewangu hajaniambia ila vyanzo vyangu vimenithibitishia kwamba jamaa anamtongoza wife na huenda hata keshamtafuna ila sina kidhibiti.
Sasa hebu mnishauri cha kufanya nilitaka kumfuata ila nikaona tunaweza kupigana.
Yameisha mkuu nimesolveMfumanie upate ushahidi halafu mwachie mke wewe tafuta mwingine.
Basi mkuu tumemaliza. Nawashukuru wote kwa ushauri wenuWe jamaa ni fala
Hahahaha kuchinja tenaChinja
Basi tatizo limekwishaKama wife hajakwambia ujue tayar,wakiitoa huwa hawasemi
Ahsante nashukuru yamekwishaPole mkuu,
Kwa manufaa ya wababa wanaomegewa wake Umesolve vipi ?Yameisha mkuu nimesolve
Usijifanye swala limekwisha kumbe unateketea na tai shingoni.Basi tatizo limekwisha
Kweli mkuu atusaidie kalimaliza vipiUsijifanye swala limekwisha kumbe unateketea na tai shingoni.
Wewe unachepuka nje ila wewe mkeo kuliwa na jamaa umeandika gazeti, usichopenda kufanyiwa usimfanyie pia mwenzako.mchepuko ninao