kinyoba
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,267
- 720
unaeza hata sasahivi mwanamke ndio anamuhonga jirani. 😀😀😀 aongee nao wote awakanyeMwambie mkeo akubali ili awe anakusaidia matumizi.
unaeza hata sasahivi mwanamke ndio anamuhonga jirani. 😀😀😀 aongee nao wote awakanyeMwambie mkeo akubali ili awe anakusaidia matumizi.
Basu kama mchepuko unao muache nae achepuke. Unadhani yeye hajui kuwa una mchepuko. Bahati mbaya huu ni ubnafsi na mfumo dume wa sisi wanaume. Ushari wangu wa awali ulikuwa muhimu kama huna mchepuko au umeumizwa kiasi hitamani tena mchepuko. Kwa hali ilivyo tusubiri nani atakuwa wa kwanza kuleta faida "ukimwi" nyumbni. Bahati mbaya mumetiwa upofu hata hamuangalii maisha ya mtoto wenu mwanaidi.mchepuko ninao
mkuu tuseme nilikuwa nao lakini haikuwa siriaz kiasi kwamba kwa sasa ni kama nimesitisha mawasiliano ili niweze kushughulikia hili suala. kwahiyo sina mchepuko kwa sasa.Basu kama mchepuko unao muache nae achepuke. Unadhani yeye hajui kuwa una mchepuko. Bahati mbaya huu ni ubnafsi na mfumo dume wa sisi wanaume. Ushari wangu wa awali ulikuwa muhimu kama huna mchepuko au umeumizwa kiasi hitamani tena mchepuko. Kwa hali ilivyo tusubiri nani atakuwa wa kwanza kuleta faida "ukimwi" nyumbni. Bahati mbaya mumetiwa upofu hata hamuangalii maisha ya mtoto wenu mwanaidi.
uhakika ninao ila najifahamu nina hasira za karibu tunaweza kupigana.nataka nimtumie mtu kwanza akamuonye kuna rafiki yangu kanishauri.ongea nae uyo jamaa kwa utaratb ila kma una uhakika wa kutosha
Haina haja ya kupigana kwa sababu ya mwanamke istoshe hakuna mwanamke katongozwa na kaachia papuchi mwenyewe . Dunia imejaa wnawake wengi usikate panga mwanaume mwenzio kwa sababu katembea na mkeo au demu wako .chakufanya mpige chini demu/ mkanye asifanye tena hivyoFanya utafiti, ukigundua tu kinachoendelea. Mchane makavu na ukiwa na ushahidi pia ikiwezekana mtandike.
Wife pia mpe kichapo baada ya kuhakiki.
Sina utani japo sijaoa ila uchungu wa mke unauma.
Kujenga ndo suluhisho la Malaya kutoka nje ya ndoa? Waliojenga wote wake zao hawavuliwi chupi nje?Jengaa nyumbaa acha kupangaaa,we unapanga nyumba yenye single boys alafu mkeo mama wa nyumbani unategemeaann??tena ukute mkeo ndo alimtaka
Hapa sshv niko baa.jana usiku niliwahi kulala!lakini usiku wa manane nikaamshwa na makelele ya wife kwamba naota niko na madem wangu!matusi huku mi nna wenge la usingizi sijui niliota nini hadi yeye ahisi kweli ndotoni nilikuwa na dem mwingine!kanirusha stimu kinoma ikabid saa 12 asubuhi niamke kitandani niingie bar na kula munde tu
Dah...safi sana....ila ukiwa lupango....mamake mwanaidi ataliwa hadi 0713 ...utajuta sana.....ukitoka huko baada ya miaka 30 sijui utamkuta mwanaidi yukoje....dahaisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho
aisee imenibidi nicheke tu...Mchukue jamaa muendee bar ya jirani mkiwa bia ya 9 na konyagi kubwa ikifika nusu ndiyo uanze mahojiano na umpe onyo, baada ya hapo kaongee na mkeo wakati unamalizia konyagi nusu iliyobakia alafu kikao kimalizike kwa sebene moja matata sana.