Ushauri: Jirani yangu anamtongoza mke wangu

Kaka, pole sana. Kaa ukijua wanawake ni viumbe dhaifu tunapaswa kuishi nao kwa uangalifu.
Kuna matatu. 1. Yawezekana mkeo anatongozwa Lakini hajampa, ila anajaribu kusovu issue hiyo kimya kimya bila kukuambia akujua hujagundua na ana uwezo wa kuisovu bila ya msaada wako.
Yawezekana mkeo tayari amesha meza ndoano ya jamaa, na anatafuta nafasi ili aanze mahusiano na huyo jamaa.
Ushauri wangu kwako, mwambie kuwa aache mahusiano na huyo jamaa. Mwambie taarifa za uhusiano wao unazo.
Kisha baada ya kumwambia, anza kuwa sirias na ikibidi uwe na majibu machache kwa mkeo. Atajirekebisha. Wanawake ndivyo walivyo.
3. Ondoka kwenye nyumba hiyo, nenda kapange kwenye nyumba yenye watu mchanganyiko sio ya watu wawili. Ukienda safari mkeo anabaki na jamaa huyo, si Rahisi kwa mwanamke kumwepuka jamaa huyo. Fikiria kama huyo jamaa angekuwa ni mwanamke single, mkeo asingekuwa na amani kama vile were usivyo na amani. Do that, brother.
 
"...ukihisi kusalitiwa kwenye ndoa ni dhahiri kuna mambo mawili aidha umesalitiwa kweli au unyonge unakufanya kufikiri hivyo...."

Nahau ya Kizambia
 
Tafuta evidence ukishapata achana na huyo Mwanamke laa sivyo ni kujitafutia mashaka
Mwanamke akipenda ni rahisi kujisahau kama ni mtu umeishi naye muda mrefu utamgundua tuu
 
pole mkuu ila jua kuwa kuolewa hakuzui kutongozwa bob! mtoto wa kike lazima atongozwe tu..
muhimu ni awe anajielewa la sivyo ndio hutokea mambo kama haya.

cha msingi ni wewe kufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuchukua maamuzi yaweza kuwa ni hisia zako tu kumbe mkeo bado anakulindia tunda lako.
 
Deal na mkeo aisee, muulize vizur, akikataa kukuambia ukweli, utafahamu tu, maana kama wameshaanza hawawezi kuacha mpka kitu kifanyike cha kushtua watu, endelea kudeal na simu yake tu, imiliki muda flan hivi lazima utafaham kwamba kuna kitu.
Kikubwa, mjifunze kuwa na hofu ya Mungu bhana, fundisha mkeo kuwa na hofu ya Mungu, hayo mambo hayatakuwepo, otterwise tutaingia matatizon...unaona sasa unawaza kwamba ukipata ukweli anafanya utaua.....hyo sio solution.....Muombe Mungu, kama kweli upo ndani ya mapenzi ya kweli ya Mungu, mwambie Mungu mke wanngu hujanipa wa kudandiwa na watu zaid yangu, hakuna kitu kitatokea...tuaminini Mungu yupo na anaongea na watu.
 
aisee huyu jamaa ananitafutia matatizo kiukweli nikithibitusha namtoa roho

Acha mawazo potofu mkuu. Dili na mkeo tu kwani huyo jamaa hana kosa. Pili, hakikisha unamtosheleza mkeo baada ya kubahatisha Mwanaidi umekuwa tatizo kitandani.
Ukimtoa roho kwa panga, elewa kuwa Mwanaidi atakosa malezi yako milele kwani weye utakuwa Segerea ukitumiwa na wazee wa jela.
Kule wanatakiwa wapelekwa walioua wakizisakanya sio waliokuwa wanaona wivu wako. Kule hawataki kujaziwa nafasi kwa ujinga
 
Usiangaike na kumtoa roho mtu!! Utaenda jela halafu watu wengine wapate nafasi nzuri ukiwa jela. Kuwa open kwa mkeo na huyo jamaa umwambie unajua kila kitu. Wakiendelea hapo sasa huyo mkeo hatakuwa na mapenzi tena na wewe, nitakushauri uachane nae kwa amani
 
Back
Top Bottom